Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni 19, 2020

SOMO;MILANGO WANAYOINGILIA MAJINI NA KUMTESA MWANADAMU

SOMO✍️MILANGO WANAYOINGILIA MAJINI NDANI YA MTU NAKUMTESA. Mathayo;13;14,10;27 ✍️Waefeso:5;12,32✍️Zaburi:25:14, 44;21, 64;2 Maombolezo;3;33, 2wakoritho:10;3-7 @Pastor Richard Kutoka Morogoro veta Dakawa @2020June 19 Simu+255759861768 Piga saa,12;00-8:00Usiku ✍️✍️MAANA YA MAJINI✍️✍️ 🍓🍓MAJINI Ni roho walioumbwa kwa Moto na walikuwa malaika miaka milioni 3 iliyopita huko mbinguni walitupwa chini Pamoja na Baba Yao Shetani (Lucifa) Jini mmoja huweza kuishi miaka 2500 Anakufa pia MAJINI huwa wanauwezo Mkubwa wa kumtesa mwanadamu ✍️✍️Watu wote wanaokuwa wanateseka au Kupitia wakati wowote wa kushindwa  huwa Ndani Yao kunakuwa na Jini au roho yakuwazuia Kufikia katika Lengo au kusundi njema. ✍️✍️✍️MAJINI HUTUMIWA NA WATU KUWATESA WATU✍️✍️ MAJINI hutumiwa na watu wabaya kukutesa wewe Na...