✍🏾SOMO: NJISI YA KUMFUNGUA MTU ANAYETESEKA KUPITIA KINYWA CHAKE
✍🏾✍🏾SOMO: NJISI YA KUMFUNGUA MTU ANAYETESEKA KUPITIA KINYWA CHAKE AMEKUWA NA KINYWA KICHAFU KILA MTU ANAPISHANA NAE✍🏾✍🏾 Warumi;3;19;2Wakoritho:11;10 ✍🏾✍🏾Mathayo:12;34✍🏾✍🏾Luka:6;45 Mithali;10;5-32 👉🏽👉🏽✍🏾✍🏾✍🏾 UTANGULIZI🌳🌳🌳🌳 BWana Yesu Atukuzwe Wanangu Pole na Hongereeni kwa Kuzidi Kuponywa na Kukua Kiroho Mimi Kwa Wageni Ambao ndio mmejiunga katika Ukurasa wangu Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Karibu Leo Nataka Nikamfungue yule Ambae AMEKUWA na Kinywa kinachotoa Lugha chafu Kauli chafu dharau na Mambo ambayo ya uchonganishi hachoki kungombanisha watu Ameitwa Kidudu mtu AMEKUWA kinyonga Anabad...