MAOMBI YA KUJIONDOA NA MIZIMU
🏌️🏇🤰JINSI YA KUOMBA KUJIKOMBOA KWENYE ROHO ZA MIZIMU🏇🗣️🧗 Karibuni Katika Maombi Haya na maelelezo yakuomba Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta dakawa Simu Piga Jioni Saa 12:00 Jioni Kwa Msaada Zaidi WhatsApp+255759861768👉🏿👉🏿 YouTube 👉🏿https://youtu.be/NCJuVrn7MJk MSTARI WA KUSIMAMIA AU NENO LA KUDAI HAKI YAKO Wagalatia : 6: 5 Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe UFAFANUZI WA MAOMBI HAYA HASA NENO👉🏿MIZIMU Mizimu Ni Nini,,?Ni Roho za Ukoo Inayoishi na mtu ndani Yake kwa uhalali ya kudai ukoo wake inaanza Kupata nguvu Kutoka kizazi Cha nne ukihesabu Kutoka ulipo Mfano:Richard Ni mimi👉🏿Julius Ni Baba👉🏿Linda Ni Baby👉🏿Kushoka Ni Ukoo wangu. Huyu Jinsi Alivyokuwa yeye huweza kumwigia kila mwanaukoo wake nakudai aishi nakuhagaika Kama hii roho itakavyo Huyu Kama alikuwa chifu lazima kwenu watapatikana viongozi Kama alikuwa mganga lazima kwenu watapatikana waganga Kama kwenu huwa mnakufa kwa ugonjwa Fulani itafata ukoo.Maisha Yoyote yanayof...