Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Novemba 13, 2020

MAOMBI YA KUJIONDOA NA MIZIMU

🏌️🏇🤰JINSI YA KUOMBA KUJIKOMBOA KWENYE ROHO ZA MIZIMU🏇🗣️🧗 Karibuni Katika Maombi Haya  na maelelezo yakuomba Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta dakawa Simu Piga Jioni Saa 12:00 Jioni Kwa Msaada Zaidi WhatsApp+255759861768👉🏿👉🏿 YouTube 👉🏿https://youtu.be/NCJuVrn7MJk MSTARI WA KUSIMAMIA AU NENO LA KUDAI HAKI YAKO Wagalatia : 6: 5 Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe UFAFANUZI WA MAOMBI HAYA HASA NENO👉🏿MIZIMU  Mizimu Ni Nini,,?Ni Roho za Ukoo Inayoishi na mtu ndani Yake kwa uhalali ya kudai ukoo wake inaanza Kupata nguvu Kutoka kizazi Cha nne ukihesabu Kutoka ulipo Mfano:Richard Ni mimi👉🏿Julius Ni Baba👉🏿Linda Ni Baby👉🏿Kushoka Ni Ukoo wangu. Huyu Jinsi Alivyokuwa yeye huweza kumwigia kila mwanaukoo wake nakudai aishi nakuhagaika Kama hii roho itakavyo Huyu Kama alikuwa chifu lazima kwenu watapatikana viongozi Kama alikuwa mganga lazima kwenu watapatikana waganga Kama kwenu huwa mnakufa kwa ugonjwa Fulani itafata ukoo.Maisha Yoyote yanayof...

IJUE NDOTO YAKO

🥦🥦IJUE NDOTO YAKO INAMAANA GANI?🥦🥦 🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌 Karibuni Katika Kipindi Kinachokupa Maarifa na Kujua ndoto yako inakujulisha Nini na unatakiwa ufanye. Naitwa Pastor Richard Naishi Morogoro Veta dakawa Kanisa la Roho Mtakafu Simu piga jioni Saa 12 00Jioni Namba+255759861768 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪 Tufunue Biblia Zetu:👥Ayubu:33;14-15 Mwanzo:37;10-20 Matendo:2:17 👉🏿MAANA YA NDOTO NI Taarifa Ambayo mhusika aliyeota hupewa na Mungu au Shetani KUPITIA majeshi Yake ya majini,ma...