SOMO; CHAZO NI NGUVU CHACHE
✍🏾✍🏾🔥🔥SOMO; CHAZO NI NGUVU YA ROHONI SIO YA MWILINI🔥👏🏽👏🏽 Shalom Mwanangu Karibu Katika SOMO LA LEO CHAZO CHA KUSHINDWA NA ADUI NI NGUVU ZA KIROHO KUWA CHINI Tufunue Biblia Zetu Tusome Vitabu hivi; 1Timotheo;4;8 Marko:1;43, 3;27, 5;4 Warumi;4;20 1Wakoritho;1;27 Zaburi;18;1-39 Kutoka;1;20 Waefeso;4;13 ✍🏾✍🏾🔥🔥 UTANGULIZI🔥👏🏽👏🏽 Karibu Leo Tujiulize Kwanini Tunazidi Kupingwa Kiroho hatukui kiroho bado Shetani ameendelea Kututumikisha na kila kukicha Tunatamani Tutoke Kwenye Mateso haya lakini Tunaishia Kujipa moyo Bado Tunazidi Kuelemewa na inaonekana hata mbinu anayoitumia Shetani bado Kwetu Kama watoto wa Mungu inatupa shida njisi ya ustad wake na umahili wake wakututandika Bado unanguvu Kwa Sababu ngani Shetani Anazidi kutupatia magonjwa kutupatia Mateso minyororo mpaka imefikia Kumshusha uwezo wa utendaji wa...