MAFUNDISHO YA WACHUNGAJI
🔥🔥Mafundisho Ya Wachungaji🔥🔥
Njisi ya kumkomboa MTU ateswaye na Vifungo vifatavyo
.1;,Haolewi/Haoi /Anayeumizwa
2;Mwenye majini/Mapepo/uchawi/uganga/
☝🏽☝🏽Tahadi Kwanza Umjenge kiimani na kumfundisha neno.
☝🏽☝🏽Mwondoe hofu nawe ondoa maswali sijui atapona au sijui atafunguliwa nk
🔥🔥Hatua zakumuwashia fire🔥🔥
✍🏾 Jiamini
✍🏾Tafuta mistari Wenye nguvu
✍🏾Ita damu ya Yesu
✍🏾Tamka kwa Amri sauti iliyokaza sio kulegeza
✍🏾Jina taja Yesu mnazareth
✍🏾Usiwe na hofu
✍🏾Ukiona korofi likate mikono/miguu
Halafu charaza fimbo za Yesu mnazareth rukisha kichurachura
Harafu liamru litoke lisirud
✍🏾Tambua wewe ni Mchungaji wangu kama njisi nilivyo na umoja Mimi na Baba yangu Tabua hata wewe Amekushika
🖐🏼🖐🏼Maeneo ya Kumshika mwenye Pepo
1;Kwenye utosi
2;Kifuani
3:Mikononi
4;Mtazame machoni tu
🤛🏽Pambano LA kwanza Hakikisha unapambana
Ukiwa umejiweka katika uwepo
🤛🏽Gumi ya pili komboa jina lake mteganishe na minyororo
🤛🏽Hakikisha Gumi unalega kumkomboa ufahamu wake
☔☔Komboa pesa zake uchumi ndoa Yake
Endelea na mapambano kuhakikisha Unashida
🔥🔥🔥Huwa yanatoka kwa njia
1;Kupiga kelele
2;Kupiga miayo sana
3;Kusema tuna toka
4;kutapika
5!kutema mate
6;kulia
7! Mwili kuchoka kulengea maungo
8! Kuongea
9! Kimya kimya
🔥🔥Amri ambazo utamke🔥
1: njoo njoo njoooo
2!Nag.ooo nag.oaaaa
3;Nafutaa nafutaaaa
Nk
🌳🌳By Pastor Richard
Tovoti
Bofya
www.mchungajirichardi.blogspot.com
Maoni
Chapisha Maoni