SOMO: DALILI ZA MTU ANAETESWA NA UCHAWI WA MAJINI
SOMO; DALILI ZA MTU ANAETESWA NA UCHAWI WA KUTUMIA MAJINI Tufunue Biblia Zetu Tusome;Luka:9;1-2 Hesabu;23;23 Isaya;47;10-13 ✍️✍️✍️✍️ UTANGULIZI✍️✍️ Karibu ninayekuletea SoMo Hili Ninaitwa Pastor Richard nielimu inayoenda Kukusaidia Kutoka kwenye Vifungo vya kichawi maana wachawi wametapakaa kuleta Uharibifu wa maisha Yetu nasi Tunafungwa Ufahamu na kututesa endapo Tunaposua sua kusimama na Maombi Tunajikuta Tunapitia matatizo mbalimbali yanayosabambishwa na Ufalme wa WAGANGA na wachawi Karibu Ujiagalie unazo dalili hizi Kama ndio jua wamekunasa wachawi Tumia namba Zangu Pastor Richard unipingie Jioni+255759861768 au fika kanisani Morogoro veta Dakawa Mara nyingi wachawi Hufanya Uharibifu na Kukufunga usiku 1;Mfano unaweza kuwa unaota mara kwa mara unalishwa vitu usingizini au unapewa madawa na wakati mwingine unakuta asubuhi umechanjwa c...