Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari 20, 2024

SOMO;NAMNA YA KUIFANYA IMANI ILETE MATOKEO

SOMO: NAMNA YA KUIFANYA IMANI ILETE MATOKEO; ,,,,,,,,,'''''""""""""",,,,,,,,,,,,^^^^^^^^^^ UTANGULIZI; Naitwa Pastor Richard Kutoka Kanisa la Holy Spirit church Tanzania Moto wa Yesu Watu wengi Wana Imani Lakini Hawana Imani Yenye Kuwapa Matokeo Ya Kile Wanachokiamini Watu Wengi Huweza Kuomba Vizuri Lakini Imani Ya Kuwapa Wanachokiamini hapo ndipo palipo shinda.. Imani hubembwa na mtu mmoja Anayekuwa anauhitaji wa Kuamini Jambo fulani Akifanya au Akiomba Ataona matokeo  Imani huwa si kubashiri au Kutumaini Kitu Ambacho huna uhakika nacho. WATU WENGI HUJUA IMANI NI HAKIKA YA MAMBO YATARANJIWAYO 👇👇👇👇👇 Waebrania 11:1 [1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.  WACHACHE HUJUA IMANI NI UKAKI WA KILE UNACHOKISIKIA AU KUKITAMKA SAWA NA ANDIKO HILI 👇👇👇👇🌴🌴🌴🌴🌴 Warumi 10:17 [17]Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo.  Kwa Lugha rahisi Anaman...

SOMO: Maombi Ya kukomboa familia

SOMO: MAOMBI YA UKOMBOZI WA FAMILIA  ZETU Kila mmoja aombee familia  Karibu katika maombi Ya Ukombozi wa familia Haya ni maombi yanayongusa maeneo makubwa matatu ukoo familia Taifa unapoingia kukomboa Jipange uwe na Sadaka kuanzia 50000 kima cha chini kama unakuwa hauna usiuchokoze huu ufalme.       Zingatia Haya Kabla hujaomba ________^%%%%÷÷÷%%______ 👉Tafadhali kama hujaelewa usiombe unipigie  Simu ueleweshwe 👉Unatakiwa tenga muda tulivu uombe 👉Maombi haya yaitaji utilizing Sana 👉Utakuwa na Sadaka yako Kwa Uzito wa ukombozi wa familia yako TUYAJUE HAYA KWANZA KABLA YA KUANZA KUOMBA Familia ni nini? NI KUNDI Linalomjumuisha mama baba na watoto. HAKI HUOKOA FAMILIA  Mwanzo 7:1 ''  BWANA akamwambia Nuhu, Ingia wewe na JAMAA yako yote katika safina; kwa maana nimekuona wewe u mwenye haki mbele zangu katika kizazi hiki.'' Hiki Kitabu kinaongelea mzazi aliyepata haki mbele za Bwana Kwa Kukaa Vizuri na Kumtengemea Mungu na Mungu alipotaka Kuagamiza...