SOMO; MAOMBI YA UKOMBOZI WA ARIDHI
SOMO: MAOMBI YA UKOMBOZI WA ARIDHI. Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Jifunze kitu kupitia haya maombi. Aridhi Usipokuwa na nguvu ya kuitawala Adui na roho zitakutesa Sana. KILA Jambo liwe la Baraka au Laana Hushirikishwa Aridhi Adui anayetaka aharibu maisha yako hawezi kukudhuru endapo Aridhi na Anga ukiwa umevimiliki Ndiyo maana maandiko yanasema Ibarahimu Mungu alipotaka kumbariki alimwambia ondoka katika aridhi ya Baba Yako na mama yako na Jamaa uende mpaka nitakapokupa. Kwanini Asigembariki pale kutokana aridhi ya hapo alipokuwa Ibrahimu haikuwa aridhi iliyoandaliwa kwa ajili ya Baraka zake ilikuwa imebemba laana tu. SOMA👉Mwanzo:12 MUNGU Akasema Mwanzo 1:28 [28]Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi. Nataka nikuambie ukitaka kumiliki Mfano. Kazi Biashara Pesa Kilimo Majumba. HUDUMA...