Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba 6, 2017

MAOMBI HUJIBIWA KWA MUDA GANI

Picha
✍🏾✍🏾 *MTU HUJIBIWA* *BAADA YA MUDA GANI*🔥🔥🔥 Ukimuombea/Ukiomba majibu huletwa baada ya Muda GANI..? Miongozo Biblia Kutoka;23;30 Nitawafukuzisha kidogo kidogo watoke mbele Yako *Obadia* :1:17.   KUMB. TORATI. 7;1-2 HABAKUKI; 2;3 * ✍🏾✍🏾Watoto wengi wamefikia wakati wanajichanganya nakukata Tamaa WATU  MAJIBU HUJIBIWA KULiNGANA na Uvumilivu na Subira  Yako Watu ambao huwa hawajibiwi wasio kuwa na Imani Wenye kukata tamaa Wenye kupuuza neno ✍🏾✍🏾MUNGU HUJIBU BAADA YA Muda huu toka uombewe. *1⃣Dakika* Muda WA dakika kazaa unapokea  majibu hupokea MTU. *2⃣Siku* Muda WA siku kazaa MAJIBU yako hupokea na kutendewa *3⃣Wiki* Muda WA wiki Tu MTU hupokea majibu Anapombewa *4⃣Miezi* Muda WA Miezi tu huwa lazima MTU afuguliwe ajibiwe Kila anapoombewa MTU. *5⃣Mwaka* Muda WA mwaka tu HUJIBIWA MTU na kufuguliwa...

Mwaka 2018 Mambo yawe mapya Mtazamo mpya Holy sprit Mpya upako mpya na Nguvu isiyoyakawaida

Picha
N akuombea Uvuke ukiwa na Afya mpya Kazi Ajira Mme Upako WA Maombi Holy Spirit Ministry Mpya Pastor Richard Akawe mshindi   na kuinuliwa zaidi Kuharibu Kazi za shetani kila Tatizo likawe chini Yangu mwaka WA Baraka Tena Nguvu ya Roho ukitembea na wanangu   wote kila shida zikatatulike Mwisho WA kulia   kwako

WENYE HERUFI E NJISI YA KUFAnikiwa

✍🏾✍🏾Njisi YA KUFANIKIWA Wenye Majina Ya HERUFI E HAYA FATENI ILI Mkawe Washindi 1-kuweni wenye kujitoa kwenye maswala ya Mungu 2-Kuweni Watu Wenye Msimamo 3-Pendeni Mungu na kushika 4-Epukeni Kutengemea Kusaidiwa 5-Jitume kujishughulisha chochote 6-Usiwe kigeu geu wakuhama hama na MTU usiye tulia 7-Wajitume kufanya kazi waepuke kutengemea MTU katika kazi zao MWENYE JINA HILI HARUSiWI AWE NA URAFIKI NA MTU AU ABWETEKE ASIFANYE KAZI ASimame YEYE KAMA YEYE NGUVU ZAKE ELIMU YAKE NDIVYO MSAADA WAKE VIGINEVYO ATAJUTA  Asimamie  Miladi yake mwenyewe Kazi zake asichanganye Mali zake na MTU mwenye herufi Tofauti naye B y Pastor Richard MORO GORO shukia VETA DAKAWA

LIJUE JINA LAKO NA SIFA YAKE

✍🏾✍🏾 *LIJUE JINA LAKO sifa  Yake *HERUFI* A Mwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari, mchangamfu na mpenda matukio. Anapenda Kuheshimiwa, anapenda Mamlaka, na ana kiburi, na hasira. Ni Jeuri Sana Wanaakili Pia Watu wenye SIRI sana MTU HUYU HUWA Anatumia Akili Tu Kufika Pale Atakapo USHAURI UNashauriwa mwenye Jina Kumcha Mungu na kuepuka matukio Na ugomvi Sababu huwa wagomvi wachochezi sana washudiaji vitu.   *Mwenye 3HERUFI B* wenye jina linaloanziana na herufi B ni mtu, mkarimu, muaminifu, na hupenda kazi. Ni Jasiri, shujaa na mkatili katika  pale anapotaka kulinda vilivyo katika himaya yake. Hapendi Adhurumiwe au Uchezee kilicho chake ni wataratibu sana na wanaofanya mambo yao kimya kimya. ✍🏾✍🏾😄Watu Hawa Hupenda Kushauriwa na kufanyia  Kazi Katika Yale Wanayoshauriwa Na Hufika mbali kimaisha na mafanikio 😄😄🔥USHAURI Wa Jina hili Anashauriwa Mch...