Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari 21, 2020

Somo;Tunza MUUJIZA WAKO UKISHATOKA KWA Pastor Richard Karibu

.⌚⌚SOMO;JUA NJISI YA KUUTUZA MUUJIZA WAKO UNAPOKUWA UMETOKA KUFUNGULIWA MOROGORO VETA DAKAWA⌚⌚   Imeandaliwa na Pastor Richard 👉🏽👉🏽Lengo: SoMo Hili linamsaidia mtu ajue njisi ya kukaa na kulinda Kile alichokipokea muovu asije Tena kumrudisha kwenye Tatizo au Akaanza Kupitia yaleyale aliyofunguliwa pia inamuongoza hata Yule mtu anayekuwa Ameenda kuupata ukombozi au kufunguliwa mbali mfano. umeenda dar umeenda south umeenda Morogoro Sasa ukisharudi hujui uendelee vipi kutunza ulichokipokea hasahasa MUUJIZA WAKO unajikuta Baada ya muda unaanza Kurudi kule kule matatizo yaleyale yanaanza tena.👉🏽👉🏽👉🏽Karibu katika SoMo Hili Biblia inasema👉🏽 👉🏽Zaburi : Mlango 39 1 Nalisema, Nitazitunza njia zanguNisije nikakosa kwa ulimi wangu;Nitajitia lijamu kinywani,Maadamu mtu mbaya yupo mbele yangu 👉🏽&#1280...

SOMO; NDOTO YAKO IJUE INAMANA GANI

⌚⌚ *IJUE NDOTO YAKO INAAMANA NGANI⌚⌚ Maana YA NDOTO * 👉🏽👉🏽👉🏽Ndoto huwa Taarifa unayojulishwa juu ya kitu kilichopo au kijacho au kilishapita. 👉🏽👉🏽Lengo :Wewe ujue Nini walikufanyia ufalme wa ngiza au kujua Mungu Anataka Ufanye Nini na ukaaje ili ndoto YAKO itimie ;👉🏽👉🏽Kuna minyororo MINGI na chazo Cha wewe Kupigwa na kuharibika kwa maisha yako Ni Vita katika ulimwengu wa ndoto wachawi mapepo majini waganga wanakuinjia kwa mbinu na muonekano mbalimbali kwa Lengo ya kukuharibia maisha yako nyota yako na wanakuzidi nguvu kwa kutokujua Sasa Utajua Siri zao na utafunguliwa. 👉🏽👉🏽👉🏽Naitwa Pastor Richard Ninayekuandalia Somo hili litakalokuweka huru na matatizo Yako Pia Simu yakuongea nami+255759861768 piga mida ya saa:12;00-8;00 usiku kuhudumiwa kwa wa...