SOMO;wewe MSHINDI
😴😴😴TUSOME HAPA MPAKA MWISHO_ELIMU HAINDAGANYI NA BIBLIA Yer:1;19 Haidaganyi😴😴 🔥🔥SOMO;WEWE NI MSHINDI TOKA TUMBONI.🔥🔥 Tufunue Biblia Yeremia;1;19,18:19 Ufunuo;12;8A,Zaburi:13; Naitwa Pastor Richard NIPO Morogoro veta Dakawa Simu+255759861768 Turudi Darasani Kindogo Unajua Unapoambiwa wewe MSHINDI unazani unatiwa moyo na Mungu anapokuambia nilikujua toka nikiwa tumboni uelewi. Karibu Mwanzo wa Wewe Ulivyoanza Kushinda. Biology Inatuambia Mwanaume Anapofanya tendo la ndoa hutoa mbengu takiribani milioni Mia tatu(300,000,000) mbengu Hizi huwa zinaongelea kukimbia kufika kwenye ovary(yai) lakini katika milioni Mia tatu wote Wanaofanikiwa kulifikia yai Ni mia Tano (500) Kutoka kwenye kukutana na yai la kike na la Kiume huendelea mbengu kuongelea mpaka kwenye mfuko wa Uzazi ambao hufika mbengu Moja TU(1)AMBAYE Ndio Wewe Hapo Unayesoma Ujumbe huu. JIULIZE KAMA KIPINDI HUNA MACH...