Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Agosti 4, 2020

SOMO;UAMINIFU WA FUNGU LA KUMI

MAMBO HAYA HUCHANGIA  KUBARIKIWA KIUCHUMI NA KIAFYA 🍒🍒🍒🍒🍒🍒🍒🍒🍒🍒🍒🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇 UAMINIFU WA FUNGU LA KUMI KATIKA UTOAJI WAKO KILA MWEZI NA CHOCHOTE  UFANYACHO KUHAKIKISHA UNAKITOLEA FUNGU LA KUMI 🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓🍓 Tufunue Malaki;3;10 Kumbu;Torati:28;1-13 Kuna watu Fungu la Kumi hulitoa kimakosa harafu wanatengemea wajibiwe Maombi Yao au wabarikiwe Ni Marufuku Fungu lako la Kumi Kama Mkristo Ukalitoa Kwa Yatima,wajane,wagonjwa,wahitaji, Ukasema Nawe unatoa Fungu la Kumi hapana Fungu la Kumi hutolewa Kanisani Katika Madhabahu yako Iliyobeba Baraka zako Kama Huna Unatakiwa uwe na mchungaji wako umuulize katika utarat...

SOMO: UMHIMU WA KUOMBA USIKU

SOMO : MATATIZO MENGI HUMWINGIA MTU ASIYEOMBA Tufununue Tusome Mistari hii Luka;11:9 Waefeso;6;18 Zaburi:6:9 1wafalme:8:45 Nataka Nikukaribishe Katika Neno la Mungu Ujue matatizo mengi Shetani hutumia Kumwingia mtu na Kumpiga Huwa Ni Usiku ukiwa wewe umelala hasa hasa wale ambao walishazoea Wakitoka huko kwenye Kazi mahagaiko ya kutwa Nzima Usiku Anarudi Analala Bila Kuomba. Hawa watu huwa wanawimbi Kumbwa Sana la Kumfanya Adui Amwingie Asubuhi Akiamka ataamka natatizo limeshaingia halafu litamsubua. Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Simu ya Kuongea nae+255759861768 MAANA YA MATATIZO MENGI''''? Ni Uharibifu wa Kiroho na Kimwili Wenye kudhoofisha Afya yako Matatizo Ni Nini??Ni Hali ya kuvamiwa kiroho na roho za kushindwa kuendelea kuutawala ulimwengu wa roho na mwili Mtu aliyeshindwa kuutawala ulimwengu wa roho Huteseka LENGO letu;Watu wafunguliwe katika Fikira za Kiroho na mwili Maono Yetu; Wafundishwe Neno la Mungu na Wakombolewe watu Kupitia N...