Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili 28, 2026

SOMO:HATUA ZA MSINGI ZA KUKUA KIROHO

SOMO: HATUA ZA MSINGI KWA MWOKOVU MPYA (KUKUA NA KUDUMU KWENYE WOKOVU) ​Kuokoka ni kama kuzaliwa mara ya pili. Mtoto mchanga anahitaji maziwa, matunzo, na ulinzi ili akue na kuwa mtu mzima. Vivyo hivyo, mwokovu mchanga anahitaji mambo yafuatayo ili asirudi nyuma: Karibuni Ufatane Nami Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro WhatsApp+255710889892 Mbarikiwe Wachungaji Mnaochukuaga Masomo haya nakuwafundishia Waumini Kanisani ili Kulikunza Na Kuliimarisha Kanisa.  ​1. Neno la Mungu (Chakula cha Kiroho) ​Kama vile mwili unavyohitaji chakula, roho inahitaji Neno la Mungu ili ipate nguvu na maarifa. Unatakiwa upate Mafundisho ukiokoka Tu Hakikisha Unahuzuria Mafundisho Yatakayokujengea Msingi Wa Kuimarika Kiroho weka ratiba ya Kusoma Biblia ​ Cha kufanya: Anza kusoma Biblia kila siku. Inashauriwa kuanza na Injili ya Yohana ili kumjua Yesu vizuri. ​ Mstari: "Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu." ( 1 P...

MISTARI YA UTOAJI AGANO JIPYA

​ 2 Wakorintho 9:7 ​" πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu." ​"Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu." ​ Luka 6:38 ​" πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa; kipimo cha kujaa na kushindiliwa, na kusukwasukwa, hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa kifuani mwenu." ​"Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa; kipimo cha kujaa na kushindiliwa, na kusukwasukwa, hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa kifuani mwenu." ​ Mithali 3:9-10 ​" πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ Mheshimu Bwana kwa mali yako, na kwa malimbuko ya mazao yako yote..." ​"Mheshimu Bwana kwa mali yako, na kwa malimbuko ya mazao yako yote..." MANENO YA HEKIMA ...

SOMO:ADUI KUTANGULIA MBELE YAKO

SOMO: ADUI KUTANGULIA MBELE ​Lengo: Kuelewa mbinu za adui za kuweka vizuizi kabla hujafika na jinsi ya kurejesha mamlaka yako. ​1. UTANGULIZI Naitwa Pastor Richard Ninakukaribisha SOMO hil ​Katika ulimwengu wa roho, kuna dhana ya "kutangulia." Kama vile Mungu anavyotangulia mbele yetu kunyoosha njia (Isaya 45:2), adui naye hujaribu kutangulia mbele ili kuchafua mazingira, kuweka mitego, au kufunga milango kabla hujafika kwenye hatima yako. Somo hili litakusaidia kuelewa kuwa vita vingi tunavyopigana leo, vilipandwa jana na adui aliyetangulia mbele. ​2. VITABU VYA KUSOMA ​Ili kupata picha kamili ya somo hili, pitia maandiko haya: Tafakari kwa Kina.  ​Kutoka 23:20-23 (Mungu anapotuma malaika atangulie). ​Mathayo 13:24-30 (Mfano wa ngano na magugu – adui alitangulia kupanda magugu usiku). ​Zaburi 139 (Mungu anavyojua mienendo yetu).. ​Waefeso 6:10-18 (Silaha za vita). HASARA YA ADUI KUTANGULIA MBELE YAKO 1:Hasara: Mitego ya Siri Adui anapotangulia, huandaa mashimo na mitego amba...

SOMO: AF YA YA AKILI

     SOMO: AFYA  YA AKILI YAKO.  Shalom Mwana Wa Baba Yangu Nakusalimu Kwa Jina Yesu. Ameen.  Jina langu: Pastor Richard Wa Morogoro Kanisa la Holy Spirit Church Tanzania.  Makao Makuu Morogoro Veta Dakawa Karibu katika Ujumbe huu.  πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ Watu Wengi Sana Wameshindwa Kuzilinda AKILI zao katika hatari mbalimbali za kiroho na Mzunguko mzima Wa maisha wanayoishi Wakesahau kutunza Afya za AKILI. Kiufupi AKILI nikiungo kidogo Sana lakini Kikishambuliwa au kikawa na magonjwa hakitamudu kufanya chochote Watu Wengi huwa hili hatulijui kuwa Afya ya Akili yako ni Ufanisi mzuri Wa namna unavyoweza kukabili changamoto mbalimbali.  AKILI Ni Nini..? Akili ni Uwezo Wa Kufikiri Kuitatua na Kukabili changamoto mbalimbali na Kujitsmbua.  Akili ndiyo inayokuwezesha Kuishi na Mazingira mbalimbali na kila Hali unayoipitia.  πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ Mathayo 22:37 Yesu akamjibu, “ ‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa ...