Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba 5, 2021

SOMO: MAMBO MATANO KATIKA UTOAJI

SOMO: MAMBO MATATU YAKUZIGATIA KATIKA UTOAJI WA SADAKA MATENDO:10.   Warumi;12;1 Mwal.Pastor Richard Yupo Morogoro veta Dakawa 1;HATUA YA KWAZA Kuelewa Neno utoaji nakutofautisha Neno utoaji na Sadaka. 1;UTOAJI:👉🏿Ni kuacha Pengo kwenye Mali zako au Pesa halafu lile pengo usitengemee alizimbe Yule uliye mpa au akurudishie kitu. Mfano unaelfu 10000 Faustini Ukampa 1000 Utabaki na elifu 9000 Sasa usitake Faustini akurudishie au uaze kumsema ulimsaidia. Mfano umetoa gari kwa ajili ya Pastor Richard Ukawa unamuona anaendesha hupaswi useme lile gari SI nilimpa Mimi. UTOAJI nikitendo Kikubwa Kuliko Sadaka Maana Huwa Levo Kubwa Ya Kiroho. SADAKA 👆👉🏿Ni Kutoa Pesa Kanisani au Kwa Wasiojiweza au Kujitoa mwili wako kumtumikia Mungu. Mfano: UMEENDA Kanisani Unapaswa uende na Sadaka Yaani Pesa uliojaliwa umtolee Mungu Ili kuchochea maendeleo ya Kanisa lako Unaposema hutoi Sadaka Kanisani Unaua Kazi Ya Mungu nakuididimiza. Mfano kuituza Familia ya mchungaji nakuilisha hiyo Ni ...

Historia ya mtume Petro

Picha
Historia Ya Mtume Petro Mtume Petro                                       ⓘ Mtume Petro Simoni Petro alikuwa Myahudi wa karne ya 1, mfuasi wa Yesu Kristo, tena kati ya wandani wake.  Baada ya Yesu, ndiye mtu anayejulikana zaidi katika Injili zote nne.  Katika orodha zote nne za mitume 12 wa Yesu zinazopatikana katika Biblia ya Kikristo anashika nafasi ya kwanza ; isitoshe Math 10:2 inasisitiza nafasi yake hiyo: "Wa kwanza Simoni aliyeitwa Petro".  Tangu kale Wakristo wengi, hasa Wakatoliki na Waorthodoksi, wanamheshimu kama mtakatifu, tena kama papa wa kwanza wa Roma hadi kifodini chake kati ya miaka 64 na 67, wakati wa dhuluma ya Dola la Roma dhidi ya Ukristo iliyoanzishwa na Kaisari Nero.  Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 29 Juni pamoja na ya Mtume Paulo.  ...