Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai 14, 2024

SOMO; MAOMBI YA KUOMBEA CONECTION

SOMO: MAOMBI YA KUOMBEA CONNECTION   TUNASIMAMIA  Isaya,43;4 Mwanzo;12;13 Naitwa Pastor Richard  Nipo Morogoro Veta Dakawa  WhatsApp  Group la Maombi+255759861768 1:Maombi haya Utayaomba muda wako wowote Uliotulia  2;Kama Utashuhudiwa uyatolee Sadaka basi unatuma Sadaka yako unanipigia lakini sijapewa maelekezo ya wewe utoe Sadaka  👇👇👇👇👇👇👏👏👏👏👏👏👏 MAMBO YA KUZINGATIA SOMA HIZI AINA MBILI ZA CONECTION  ::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::;::;:::::::::::::: 1;AINA YA CONECTION YA KIROHO  Katika Maisha Yako Elewa Watu Huwa ni Sehemu ya Mabadiliko katika maisha yako ni Sehemu ya Mafanikio Kama Hutakutana Na Connection Watu Waliondaliwa Wawe kiunganishi Kufikia Hitaji lako Liwe la Kiroho Tunaitaji Baba wa Kiroho Awe Conection Na Mungu Tunaitaji Tutoe Zaka Iwe connect katika Maombi Yetu Kama Unaomba Huna Hivi vitu Viwili Madhabahu yako haitakupa matokeo Sababu lazima uwe na mlezi wa kiroho utakayemshirikisha kila kitu halafu ataenda ...