Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Septemba 1, 2023

SOMO:FIKIRI KABLA YA KULALAMIKA

SOMO:FIKIRI KABLA YA KULALAMIKA MUNGU HAKUJIBU. Kuna maandiko Ambayo yanakupa picha na mwelekeo katika maisha yako ya wokovu ni vyema ukayajua nakuyashika Kabla hujaanza kutupia lawama Mungu hakujibu hakusikii. Wapo wegine wanawaza kufa wegine waache kanisani kisa Mungu hatendi Kumbe matatizo mengine shida ipo kwako unaona yaleyale hutaki kuona ushindi Muulize batrimayo kipofu alibadili mtazamo akaanza kuona ushindi mafanikio  kustawi Nawewe fikira zako ziponywe kwa jina la Yesu. Nakukaribisha katika Somo hili ninayekuandalia Pastor Richard kwa msaanda wa Roho Mtakatifu.  Nipo Morogoro Kanisa la H.S.C.T 1;JAMBO LA KWANZA MPENDE MUNGU KWA AKILI  ZAKO ZOTE NAFSI YAKO ZOTE. 👇👇👇👇👇 Mathayo 22:37 [37]Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.    Vipimo vya Kumpenda Mungu Kweli. 1.Uvumilivu wako katika nyakati zote anapochelewa kujibu. 2.Kujitoa Kwako kwa Kazi ya Mungu katika Sadaka zako Viwanja magari na...

SOMO;MAOMBI YA KUOMBA MUNGU ATIMIZE NENO LAKE KWAKO

SOMI;MAOMBI YA KUOMBA MUNGU ATIMIZE AHADI ZAKO KWAKO ALIZOKUAHIDIA Karibu; Kuna wakati Mungu anaweza Sema nawewe atakufanyia kitu au nyumba yako au watoto wako au ndugu zako na ukasimama katika maangizo yake vizuri kabisa kama Ibrahimu cha ajabu muda ukazidi kwenda Hajibu Unachotakiwa Usiache kuendelea kuwa mwaminifu kwake na kufata alichokuagiza lakini utaingia kumkumbusha ahadi yake. Zipo ahadi zetu huibiwa na Adui  kwa kupitia dhambi au kumuasi Mungu au kuto tii maagizo yake. Mwadaaji wa Maombi haya Pastor Richard Kwa muongozo wa Roho Mtakatifu  Yupo Morogoro Veta Dakawa  Walengwa ni walioahidiwa Ahadi na Bwana hazijatimizwa mpaka Leo. Nakukakaribisha Soma kwa rudia rudia uelewe vyema. TUEPUKE HAYA ILI KUMFANYA ATIMIZE ALIYOTUAHIDIA. 1:TUSIACHE KUTII ANGIZO LAKE. 2:TUSIMUASI MUNGU TUKARUDIA DHAMBI TULIZOZIACHA. MAMBO AMBAYO YAFANYE KUFIKIA AHADI YA MUNGU. 1:UWE NA MOYO WA TOBA. 👇👇👇👇👇 Mungu anapeñda uwe mwepesi wa kutambua hili namkosea Mungu hili niko sahihi kisha...