Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba 14, 2021

SOMO: MAJUKUMU YA MWANAMKE KATIKA NDOA

SOMO; MAJUKUMU YA MWANAMKE KWENYE NDOA Bwana Yesu Asifiwe Nawakaribisha Wanandoa Tuelimishana Na Kuponya ndoa Zetu Ni Mimi Mwalimu wa Wanandoa Pastor Richard Nakusongezea Elimu hii itakayoponya ndoa yako Unaweza Kuogezea Point Happ chini Comment nitaiona. Kikweli Katika ndoa kila mtu huwa Anapaswa Ayajue majukumu Yake I'll Kufanya ndoa Zetu Zichanue majukumu ya mwanamke ayaelewe majukumu ya mwanamme aelewe Ndoa Happ itachanua Majukumu ya mke kwenye ndoa ni;  1.  Kutunza familia. 1 Timotheo 5:8 '' Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini.''  Kutunza familia sio jukumu la baba tu bali na mama pia anatakiwa ahakikishe anaitunza familia yake. Kama mna watoto hakika unatakiwa mama kuwatunza watoto wako na kuwasaidia kiroho ili wampendeze MUNGU katika Wokovu wa KRISTO YESU. Maana ya Neno kutunza familia ni kuiweka familia chini ya uangalizi wako ili isiharibike au isidhuli...

SOMO:FAIDA ZA UTOAJI

SOMO: FAIDA 8 ZA UTOAJI KWA BWANA Sadaka ni sehemu ya utoaji unaoacha pengo Katika Mali zako, yaani baada ya kutoa unaona mahali ulikotoa Mali hiyo pameachwa wazi.Hata hivyo Biblia inasema utoaji Wa kweli ni kujitoa nafsi yako kwanza kwa Mungu kama dhabihu mtakatifu ya kumpemdeza Mungu. “Basi, ndugu zangu, nawasihi, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana.” (rom 12: 1) Mungu anatengemea tutoe nafsi, roho na miili yetu kama sehemu ya sadaka kwa Mungu. Itakusaidia nini kama utajitoa kwa ulimwengu na KUFANYA viungo vyako kuwa silaha za dhuluma kwa ulimwengu Bali tujitoe kwa Mungu kuwa sadaka kwa Mungu.(1Kor 6:13-16 ) ———— 13 Vyakula ni kwa tumbo, na tumbo ni kwa vyakula; lakini Mungu atavitowesha vyote viwili, tumbo na vyakula. Lakini mwili si kwa zinaa, bali ni kwa Bwana, naye Bwana ni kwa mwili. 14 Naye Mungu alimfufua Bwana, na tena atatufufua sisi kwa ...