SOMO:NAMNA YA KUISHI NA MWANAUME AMBAYE HANA HELA
SOMO: NAMNA YA KUKAA NA MWANAUME AMBAYE HANA HELA KWENYE NDOA Naitwa Mwalimu Wa Wanandoa. Pastor Richard Wa Morogoro WhatsApp group +255710889892 UTANGULIZI Ni Ukweli Usiopingika Wanawake Wengi Hutazama Pesa na Wengi Wanaolewa na Pesa cheo au Mali Kwa Kutazamia Wakiolewa na Wanaume Wa Maisha yenye uchumi mkubwa watabadilisha Maisha yao au watakizi mahitaji yao na NDOA Zao Zimekuwa za moto Kumbe Hawakuelewa Pesa haiwezi kununua Utu wao Endelea nami point Muhimu nimekupa Lengo ujifunze kitu kama unanyongeza utaniambia. 1. Thamani ya Utu na Hofu ya Mungu . mwanaume mwenye pesa asiye na utu anaweza kumgeuza mke kuwa "mtumishi wa ndani."au Kumtumikisha kwa Mali zake. Zingatia: Pesa zinaweza kuja na kuondoka, lakini tabia, utu, na hofu ya Mungu ndivyo vinavyobaki wakati wa dhoruba na kudumu milele. 2. Akili ya Utafutaji (Vision -Maono) Mwanaume asiye na pesa leo si tatizo, tatizo ni mwanaume asiye na maono wala jitihada ya kuitafuta Pesa kwa ajili ya maisha ...