Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni 17, 2020

Somo;Kijana usioe/Kuolewa na mgomvi

SOMO: KIJANA 🍓🍓 USIOE/KUOLEWA 🍓🍓NA MTU MGOMVI ANAYEPENDA KUTUKANANA LUGHA CHAFU Mithali;21;9,19 ✍️ Mithali;25;24✍️ Mithali ✍️27;15 Kuna wakati Kija anakosea mahusiano na Uchumba Anaanzisha uchumba toka marafiki mpaka wachumba mmoja wao anakuwa Hana furaha Hana siku waliokaa Pamoja wakaelewana KILA siku ugomvi hawezi Kujua Kama kwenye mahusiano tu  kila siku ungomvi je mkifunga ndoa. KIJANA unapaswa uvunje mahusiano yanayokuwa kila siku mmekosana au matusi au Kitu kidongo tu mwezako Ameshakukatia Mawasiliano. Katika maisha ya ndoa kijana Usije ukaingia kuanzisha maisha ya ndoa ya magimvi Kila Kitu kitengeneze vizuri unapokuwa Kwenye urafiki na Uchumba Usikimbilie ndoa halafu ukaingia kwenye ndoa ya maumivu. Naitwa mwalimu Wa Wanandoa Pastor Richard Simu+255759861768

SOMO:MWANAMKE TAMBUA NAFASI YAKO.

SOMO:MWANAMKE TAMBUA UTHAMANI WAKO Vitabu;Mithali;21;9-19 Matendo;9;15-17 Esta:Sura ya 5 mpaka 9 Mwanzo;5;2 Mithali:12;4 1wakoritho;7;16-20 Biblia inamtambulishaje mwanamke mcha Mungu anayetembea katika kusundi la Mungu👉👉 Zaburi : Mlango 68 11 Bwana analitoa neno lake;Wanawake watangazao habari ni jeshi kubwa Mwanamke Akisimama Vyema Katika Nafasi yake huwa Neno hili hutimia ndani yake. Lakini Mwanamke Asiyesimama Nafasi yake Na Kutumia Vyema Neema aliyonayo Atakuwa Kama Delila Nakatika Kundi au Jeshi Tutapata Dorcas na Tutampata Delila Wanawake wanaomuwakilisha Delila Ni wale hawajasimama Nafasi Yao kwa Usahihi(Waamuzi:16;10-16 Wanawake wanaosimama Nafasi ya Doricas Ni wale waliosimama katika Nafasi zao katika Kanisa na kwenye Jamii kwenye ndoa zao;(Matendo;9;10-19 Mwanamke Katika Kanisa na Jamii Ananafasi Kubwa Kama Biblia Inavyomtambulisha Karibu Naitwa Pastor Richard Somo hili Linalenga wanawake Kujitambua Ndani ya Kanisa wao Ni Nani pia inaenda kuwajengea Kusimama nakufat...