VIKUNDI VYA MAOMBI MIKOANI
UTARATIBU WA VIKUNDI VYA MAOMBI KILA MKOA TUTAKAVYOUONGOZA NA KUSIMAMIA SISI VIONGOZI Tunalenga Kujifunza na Kuomba Bila Kukoma Kama Neno linavyotuangiza 👇👇👇👇👇👇👇 1 Wathesalonike 5:16-18 [16]Furahini siku zote; [17]ombeni bila kukoma [18]shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu. 👇👇👇👇👇👇👇 Kila mtu ni wajibu kujua kuomba na kujifunza kuomba Nami Kama Askofu mkuu wa makanisa ya Holy Spirit church Tanzania (Moto Wa Yesu yenye Usajili no 21139 )Yenye makao yake makuu Morogoro Wilaya ya Kilosa Kata ya mbigiri Kijiji cha mateteni Napitisha Tuwe na Vikundi vya Maombi kila Tulipo ili kusaindiana Kiroho na Kujengana Kiimani hii baada ya wengi kuniomba tufanye hivi UTARATABU UTAKUWA HIVI; RASMI KUANZA:Mwezi wa Pili Tutaanza rasimi saivi Unachotakiwa waandae wanaopenda maombi kuomba na kujifunza nawewe utakayeanzisha hili hapo ndiye utakuwa kiongozi wa msimamizi wa maombi eneo hilo utakapokuwepo. JINA LA KIKUND...