Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili 1, 2020

SOMO;Wajue majini watatu

✍️✍️SOMO: WAJUE MAJINI WATATU WANAVYOKUFUNGA 1;Anayesababisha magonjwa ya kuabukiza 2;Anayewaletea Usingizi Alfajiri wakati wa Adhana nakuwafanya wasiombe 3:Anaetumiwa na wabaya kukuagalia mwili wako unakinga au Upo hutengemei chochote umesimama na Yesu. ✍️✍️Elimu hii inakufanya uwajue MAJINI Hawa nakazi zao katika Uharibifu wa mwili wako ili usimame na Maombi Tu. ✍️✍️✍️✍️ Tufunue Biblia Zetu Tusome Vitabu Hivi na Mistari Kisha Kama unao wanakutesa kwenye mwili wako chukua maamuzi ya kuomba wiki moja ukiharibu na kuwapinga Waachie mwili wako. Vitabu; Mithali;4;13 ✍️Isaya:29;24✍️Mithali;1;5✍️2Timotheo:2;23 Mithali;16;23 ✍️✍️✍️ UTANGULIZI✍️✍️ Watu wengi wamekuwa wakitamani waombe Alfajiri na Wanashagaa unaingia uvivu wa kuomba usingizi mzito halafu wanaanza kuletewa mandoto n...