DALILI ZA MTU KUFUNGULIWA ANAPOOMBA
SOMO: DALILI ZA MTU KUFUNGULIWA ANAPOOMBA. Tunapoomba huwa hakika ufalme wa ngiza tunaupiga na kuubomoa huwa Ni vita kwa sababu ule ufalme wa ngiza unakuwa ulishazoea kumtesa mtu na kumfunga na watu wanateswa na majeshi mengi mfano. Mtu unamkuta Anakuwa anahofu, Anakata tamaa,Ananug,unika,Anahasira, Mwoga anahirisha ahirisha vitu hili huwa jeshi la mapepo katika ufalme wa ngiza. Mwigine Anateseka na magonjwa yasiyoeleweka, Vitu vyake vinakufa kufa tu, Anashika mimba zinaharibika, Hashemi mimba au uume hausimami, Anasikia vitu sehemu za siri, kutokwa blidi isiyoisha, au kukosa blid nk. Hizi Dalili za Jeshi la Wachawi na Waganga Mwigine Atakuwa Anaota ndoto watu waliokufa anaongea nao, au anaota yupo makaburi,au misimba au yupo kijijini alikosomea,au kuota wamasai au wanyama kama ng,ombe nk Hili ni jeshi la mizimu Mtu mmoja unaweza Kumkuta anateseka na haya majeshi yote Wachawi wanamtesa Mapepo na mizimu huyu mtu anapokuja kuanza kujifunza kuomba na akaelewa kuomba kwanza anak...