SOMO:UKOMO wa KUZAA KIBIBLIA
DARASA LA WANANDOA. SOMO: UKOMO WA MWANAMKE KUZAA NA MWANAUME KUZlLISHA. Karibu mwanandoa Leo nataka Tuelimishane Kibiblia mwisho wa kuzaa Kipindi hicho au umri huo ukifika huwezi kuzaa Tena. Mimi napenda Nikukaribishe mwanandoa Wewe Ambaye hujabahatika Kupata Mtoto au Uliyekuwa umekata Tamaa unasema umri umeenda. Naitwa Bishop Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Simu hizi Piga Jioni Saa 12:00 kwa Simu+255759861768 1; MWANAMKE UMRI WA KUKOMA KUZAA NI MIAKA 80 Biblia inaeleza mwanamke Kukoma umwanamke wake na Kuweka Asilimia Kuwa Yeye Hawezi Kuzaa Tena Mungu Anasema miaka 80 Na mwanamke anaweza akawa Bado anaona hedhi na Siku zake hii huwa Inasimama hivyo Kwa Mungu wetu. USHAURI Unashauriwa uzae ukiwa na umri wa miaka 25 mpaka 60 ikivuka Ni heri ukaacha kwa Ajili ya Kiafya na umri wa kukaa na Mtoto 2;MWANAMME UMRI WA KUKOMA KUZALISHA 90 Biblia inasema mwanamke wa miaka 90 anaweza Kuzalisha na hi IPO Kibiblia Lakini pia inatia moyo kwa Wanandoa Wengi waliochelewa Kuzaa na ...