KITABU IJUE NDOTO YAKO
JINA LA KITABU👉 IJUE NDOTO YAKO
YALIYOMO
______________
UTANGULIZI
SURA YA KWANZA:
1:MAANA YA NDOTO NA AINA ZAKE
SURA YA PILI;
2:UMHIMU WA KUOTA NDOTO
SURA YA TATU
3:MADHARA YA KUTOKUOTA NDOTO.
SURA YA NNE;
4:JINSI YA KUTAFISIRI NDOTO ULIYOOTA.
SURA YA TANO:
5:NDOTO MBALIMBALI NA MAANA ZAKE
SEHEMU. "A"
☆SEHEMU. A" NDOTO ZA KUMUOTEA MTU MWINGINE
SEHEMU "B"
☆SEHEMU. B" NDOTO ZA KUJIOTEA MWENYEWE.
SEHEMU "C"
☆ SEHEMU C"NDOTO ZA KUTISHA
SEHEMU "E"
☆SEHEMU E" NDOTO ZA MASHULENI
SEHEMU "F"
☆ SEHEMU F. NDOTO ZA MAJESHI YA SHETANI WACHAWI MIZIMU MAJINI.
SURA YA SITA.
6:NDOTO ZA WALIZOOTA WATU KUTOKA MIKOA MBALIMBALI NA MAANA ZAKE KWA PAMOJA.
SURA YA SABA
7:MAOMBI YA SHUKURANI KWA KUTUNGA KITABU HIKI
✔️✔️ UTANGULIZI ✔️✔️
KITABU hiki Cha Ijue ndoto yako nikitabu kinachokuwezesha Kuijua maana Ya ndoto uliyoiota ikakosa majibu pia Kujifunza Jinsi ya Kutafisiri ndoto nakuweza kuwa mwalimu wa kuwasaidia wengine. Ninaekuletea Nakala hii Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro wilaya ya Kilosa Kata ya mbigiri.
Ndiye Mwanzilishi na msimaminzi wa Makanisa ya Holy Spirit church Tanzania (Moto wa Yesu)
Yaliyopo kila mkoa na yanazidi kuenea Tanzania hii
Pia ndiye mwanzilishi wa page za Moto Wa Yesu Facebook na Instagram na Tiktok akiwa anahudumia watu kwenye Group la maombi na mafundisho WhatsApp Lenye wafuasi 2050
Unaweza Kubooking Kitabu hiki Kwa WhatsApp number na ukaomba kuugwa kwenye group+255759861768
Karibu Ujifunze Ndoto naomba uwe balonzi kwa rafiki zako ndugu wanaoteswa na ndoto
Karibu ufatane nami mpaka mwisho wa Kitabu hiki Soma taratibu na kurudia unapokuwa hujaelewa.
SURA YA KWANZA:
MAANA YA NDOTO NA SEHEMU KUU TATU ZA NDOTO
Ukitaka kufasiri ndoto ni vyema ujue ndoto ni nini kwanza. Ndipo uendelee kufasiri
Kama hutajua ndoto ni nini hutaweza kutafisiri Sababu hujui unachokifasiri kina maana ngani.
A:NDOTO NI NINI?
NDOTO NI KITU GANI AU NINI.
MAJIBU NI HAYA;
NDOTO 👉Ni Taarifa Anayopewa mtu Anayeota ikimjulisha Jambo liliopo linalokuja au lililopita
NDOTO hubemba Taarifa Ya Kitu kinachokuja au kilishapita au Kina Kuja. Soma Ayubu;33;14-15
;NDOTO👉 Ni ujumbe wa mtu yule aliyeota Ujumbe unaweza Ukawa wa Shetani au Mungu au Akili Yake inapochoka kwa kushikilia kitu kimoja
Soma mwanzo:37:6
MAANA YA NDOTO
B:MAANA YA NDOTO ✔️🤚Ni uhai wa nafsi yako na maono yako kuonyesha Hayazuuliwi na ufalme wa ngiza.
MAANA RAHISI YA NDOTO Ni Jicho la Kiroho
Jicho hili huweza kuona kila kitu kinachoendelea katika ulimwengu wa roho nakukuletea taarifa kwa njia ya kuota.
Soma vitabu hivi 1wafalme;3;5 na Yoeli.2:28
C:AINA TATU ZA NDOTO(SEHEMU KUU TATU ZA NDOTO.
Ndoto zimegawanyika Katika Sehemu Kuu Tatu za ndoto
Ni vyema ukaweza Kutambue Sehemu Kuu na mugawanyiko wa ndoto kabla hujaanza kufasiri ndoto yako uliyoota. Soma kwa utulivu uelewe.
Sehemu ya Kwanza:.
1: NDOTO ZA SHETANI
Hizi Ni Ndoto Zinazokujulisha Jeshi la Shetani lilivyokufunga na niwapi limekufunga na Ufanye Nini?
Kwa hiyo unapokuja Kuelewa Tu na Ukajua kinachokuzuia Ni Nini Utaomba kwa kufata chazo kuligana na ndoto ulivyojulishwa baada ya kufasiri.
DALILI ZA KUOTA NDOTO ZA SHETANI
1:Kuota ndoto za kutisha
2:Kuota ndoto zisizoeleweka imeanzia wapi imeishia wapi
3:Kutokuota Kabisa ndoto.
4:Kuota Unakimbizwa au Unakimbia
5:Kuota upo KIJIJINI kwenu wakati ulishaondoka huko.
Sehemu ya Pili:
2: NDOTO ZA MUNGU
Hizi Ni Ndoto unazoziota zikikujulisha Hatari au Maisha yako ya Baadae au Maisha yako yalikotoka
Kwa hiyo unapokuja Kuelewa TU Unaombea maono yako yatimie ili kufikia Mungu alipokusundia ufike
DALILI YA NDOTO ZA MUNGU
1:Huwa sio ndoto za kutisha
2:Huwa Sio ndoto za Kukimbizwa
3:Huwa Ukiota linatokea hivyo au kinyume kidogo sana
4:Huwa kila hatari au mbaya au Nzuri kabla halijatokea Utaanza kuota kwanza halafu itatokea kama ulivyoota ukiona hivyo ujue ni ujumbe Mungu.
5 Ni mkusanyiko wa ndoto nzuri zote.
Sehemu Ya Tatu
3:NDOTO ZA UCHOMVU WA AKILI YAKO
Hizi huwa ndoto zote unazoziota Unakuwa Kuna kitu unakipenda sana usiku unaota hivyo hivyo ulivyokuwa unawaza au unakitamani au kukifikiria
Hizi huwa zinatafisiri moja tu;
Kukujulisha Akili Imechoka Ipumzishe usibembeshe mawazo au kitu hicho tena.
DALILI ZA KUOTA NDOTO ZA UCHOMVU
1:Kuwaza Sana
2:Kupenda Sana
3:Kufikiri Sana
4: shughuli nyigi sana
Haya yanakufanya uote ndoto Ambayo Tafisiri yake Unajulishwa Akili imechoka Ipumzishe iache Itulie.
SURA YA PILI:
UMHIMU WA KUOTA NDOTO
Mwanzo 20:3-4
[3]Lakini Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto ya usiku, akamwambia, Umekuwa mfu wewe kwa sababu ya mwanamke huyu uliyemtwaa, maana ni mkewe mtu.
[4]Basi Abimeleki alikuwa hakumkaribia, akasema, Ee Bwana, Je! Utaua hata taifa lenye haki?
UMHIMU UPO WA KUOTA NDOTO
Naweza Kudadafua kwa njia Hizi nne
1:Inakupa kujua Tatizo na Nini Kinachosababisha uteseke
2:Inakupa mbinu ya kuagusha Tatizo lilokutesa.
3:Inaharibu mipango ya Adui aliyokusundia kwako.
4:Inakufanya uwe na jicho la ROHONI.
Kujua kilichopo au Kinachokuja au Kilichopita.
UFANYE NINI UNAEOTA NDOTO
Jishughulishe kukisoma Kitabu hiki kila mara unapoota ujifunze KUTAFISIRI NDOTO ULIYOOTA MWENYEWE UNAFANYA MAZOEZI YA KUTAFISIRI.
SURA YA TATU:
MADHARA YA KUTOKUOTA NDOTO
Huwa inamfanya mtu aishi maisha ya kutokujua afanye nini anakuwa yupo yupo tu hata tatizo linaweza kutokea asielewe na huwapelekea waende kutabiriwa na wasoma nyota waganga wa kienyeji sababu Mungu hasemi nawewe siyo kwa watumishi wake wala ndoto.
1 Samweli 28:4,6-8
[4]Nao Wafilisti wakakusanyika, wakaenda kufanya kambi huko Shunemu; naye Sauli akawakusanya Waisraeli wote, nao wakapiga hema katika Gilboa.
[6]Lakini Sauli alipouliza kwa BWANA, BWANA hakumjibu, wala kwa ndoto, wala kwa Urimu, wala kwa manabii.
[7]Ndipo Sauli akawaambia watumishi wake, Nitafutieni mwanamke mwenye pepo wa utambuzi, nipate kumwendea na kuuliza kwake. Watumishi wake wakamwambia, Tazama, yuko mwanamke mwenye pepo wa utambuzi huko Endori.
[8]Basi Sauli akajigeuza, na kuvaa mavazi mengine, kisha akaenda, yeye na watu wawili pamoja naye, wakamfikilia yule mwanamke usiku; akasema, Tafadhali unibashirie kwa utambuzi, ukanipandishie yeye nitakayemtaja kwako.
KUNA MADHARA MAKUBWA YAFATAYO YA KUTOKUOTA NDOTO
1:UTATESEKA na Tatizo hutalijua kwa Kuwa Mungu Amenyamaza kwako hadi Wachungaji Hasemi Nao Juu Yako.
2:Utakuwa unafanya Mambo kwa Kubahatisha Kwa Kuwa huna maono yaani macho ya ROHONI ni rahisi vitu vingi unaweza kuviharibu sababu huna jicho la rohoni.
3:Ni dalili yakuwa umefungwa Nafsi yako Unatakiwa ufike Kanisani Morogoro Veta Dakawa kwa Pastor Richard akusaindie au mpigie simu +255759861768
4:Shetani Atakuwa na Nafasi Kubwa ya kukupiga Kiroho nakukuagusha kiroho kwa haraka
NINI UFANYE SASA KUTOKA KWENYE HALI HIYO (SUHULISHO)
OMBA HAYA MAOMBI SIKU 7 Usiku tu tenga muda huo unakuwa tulivu
MAOMBI YA MTU ASIYEOTA NDOTO
Baba ninaamuru ukuta ulionjegwa na Shetani na kuzimu Kufunga maono yangu ndoto Zangu Achia Kila Kona nayadai maono yangu kwa Damu ya Yesu Naponda navunja kila nguvu za kipepo zilizofunika ndoto Zangu katika jina la Yesu 🙏 Amen 🙏
Rudia Mara 9 unapoomba.
KISHA AMINI NA OMBA HAYA MAOMBI UKIRI AMEKURUNDISHIA MAONO NA NDOTO
Baba uliyeweka maono na ndoto ndani yangu nakushukuru ninaomba ukayalinde ukaonekane na useme nami na niyaelewe maono yako na ndoto yako muangize Roho Mtakatifu aje anifunulie katika Jina la Yesu.Amen
Rudia ×5
Kisha Chukua Sadaka yako iombee na umshukuru Mungu kisha itume kwa M-PESA +255759861768 au Tigo Pesa +255710889892 Nipigie na unieleze kisha nitakuombea.
SURA YA NNE:
JINSI YA KUTAFISIRI NDOTO UNAYOKUWA UMEOTA
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hatua ZIFATAZO ZITAFANYIKA UNAPOFASIRI NDOTO
1;KUMBUKA NDOTO YOTE.
hakikisha unaikumbuka ndoto yako yote kabla hujaanza Kutafisiri.
2: AGALIA MAZINGIRA YA NDOTO
Hakikisha unayajua mazingira ya ndoto na uyaelewe mazingira hayo katika mwili yanamaana ngani na Je ndiyo unayoyaishi au Hapana.
3: AGALIA MUHUSIKA MKUU.
Hakikisha lazima unamuona MUHUSIKA mkuu alikuwa Anafanya Nini Kwenye ndoto.
Mara nyigi muhusika mkuu huwa ni Yule anayeota jiulize kitendo hicho katika damu na nyama kinamaana ngani kitafisiri
4: AGALIA WAHUSIKA WALIOSHIRIKI.
Hakikisha unaelewa Ni Nani amehusishwa na Ni Nini walikuwa wanafanya mara nyigi huhusishwa Watu,wanyama,ndege nyoka nk
Tafisiri kitendo hicho Kimwili
ANZA KUIPAGILIA NDOTO YAKO
Kama ifatavyo :-
1:Mazingira ya ndoto yajue katika Mwili
2:MUHUSIKA mkuu hayo mazingira alikuwa anafanyaje Kimwili yaelewe uyajue
3:Waliohusishwa walikuwa wanafanyaje
Kisha Yalete mazingira hayo katika Roho
Na MUHUSIKA Kitendo alichokuwa anakifanya kilete katika Roho kinamaana ngani utakuwa umepata kufunua na kujua maana yake.
Omba Roho Mtakatifu na tulia Unapofasiri ndoto ili kuleta maana halisi ya ujumbe ulioota.
Mfano huu
Mazingira =shuleni
Mhusika mkuu =alikuwa Anafanya mtihani
WAHUSIKA =Mwalimu alikuwa anakusanya mitihani mhusika mkuu hajamaliza
UNAANZA KUTAFISIRI SASA.
Shuleni =Ni sehemu Ambayo unaenda Kujifunza Kiroho Ni Neno la Mungu
Mtihani Kiroho Ni pito
Mwalimu =Kiroho Mtumishi wa Mungu
Kumbe maana Yake Huyu mtu anatakiwa akutane na Mtumishi amfundishe Neno Kupitia Neno TU atavuka
AGALIZO:Unapaswa utulize Kichwa na ufate mpangilio KUTAFIRI Muombe ROHO MTAKATIFU Akupe Ufahamu na kukufunulia mafumbo ya ndoto.
SURA YA TANO
NDOTO MBALIMBALI NA MAANA ZAKE
Tufunue Biblia Zetu:👥Ayubu:33;14-15 Mwanzo:37;10-20 Matendo:2:17
SEHEMU"A
NDOTO ZA KUMUOTEA MWINGINE
1:Ukimuotea mtu amekufa
👉🏿👉🏿Unajulishwa Huyo mtu hatakufa Roho ya mauti inamfatilia
Omba kemea hiyo ndoto
2:Ukimuotea Mtu umemfumania
👉🏿👉🏿 Unajulishwa Huyo mtu Atakamatwa na Uzinifu
Omba kemea hiyo ndoto
3:Ukimuotea Mtu Anipita Barabarani anatembea wewe Umesimama
👉🏿Unajulishwa Huyo mtu atafanikiwa Kukuzidi wewe
Omba ombea itimie
4;Ukimuotea Mtu anaumwa Sana
👉🏿👉🏿Unajulishwa ataenda kuumwa yule mtu Sana lakini Mungu atamponya
Omba kemea hiyo ndoto
5:Ukimuotea Mtu anaolewa au Anaoa
👉🏿👉🏿Unajulishwa Huyo mtu amefungwa kuolewa simama umuombee au afike kwa Wachungaji waombe Kuvunja MTANDAO uliofanyika kwenye jina na wafute alama usoni ya kutokuolewa.
6:Ukimuotea Mtu ulikuwa unaongea nae Ni rafiki yako mpo wawili maeneo ya nyumbani ulipokulia
👉🏿👉🏿Unajulishwa Rafiki yako Ujumbe anaokupa UFANYIE kazi tatizo lako lilianzia nyumbani.
Mfano anakupa Taarifa Fulani kuwa wewe Upo hivi mbona utaolewa Au utafaulu Mtihani inatengemea mazungumzo Yenu kwenye ndoto na huyo rafiki yako
Omba kemea hiyo ndoto
7:Ukimuotea Baba yako Yupo shambani
👉🏿👉🏿Unajulishwa Baba yako atafanikiwa KUPITIA kilimo
Muombee itimie ndoto hiyo.
8:Ukimuotea mama yako Amenijifungua
👉🏿👉🏿 Unajulishwa Mambo Yake yatafunguliwa kupitia maombi.
Muombee itimie ndoto hiyo.
9;Ukimuotea Mtoto wako anakimbizwa
👉🏿👉🏿Unajulishwa mwanao hataendelea vizuri Darasani Au Katika Mafanikio au Huduma Yake
Muombee useme kwamba Kila roho inayotumwa Kwa Mwanangu imuachie Katika jina la Yesu 🙏 Amen
10;Ukimuotea mgonjwa Amepona
👉🏿👉🏿Unajulishwa atakufa
Muombee ukatae roho ya mauti
11:Ukimuotea mgonjwa Amekufa
👉🏿👉🏿Hatakufa Mungu atamponya.
12:Ukimuotea marehemu anaongea nawewe👉🏿👉🏿 Unajulishwa Huyo mtu Ni mnzima hajafa yupo msukule anatumikishwa
uombe hivi;-
Najitenga na roho za Kuzimu kwa jina la Yesu 🙏 Amen
13:Ukimuotea mgonjwa amezidiwa
👉🏿 Unajulishwa Anakufa Ombeni uganeni watu watatu muombeeni kukataa kifo.
SEHEMU"B"
NDOTO ZA KUOTA MWENYEWE.
13:Ukiota Panya
👉🏿 Unajulishwa roho ya umaskini wa mafanikio
Omba kemea hiyo ndoto
14:Ukiota Paka
👉🏿 Unajulishwa roho za kichawi zilizouganishwa nawe.
Omba kemea ndoto hiyo.
15:Ukiota Upo kwenye shimo umeshindwa Kutoka
👉🏿 Unajulishwa unaenda kukutana na jaribu litakalokufanya Usitoke
Omba kukataa ndoto hiyo isitokee
16;Ukiota Umeingia kwenye shimo na Umetoka
👉🏿👉🏿 Unajulishwa Utakutana na jaribu litakalotaka Kukuchafua lakini utavuka
Omba ushindi mbele yako au kataa ndoto hiyo.
17:Ukiota Umesimama pachafu
👉🏿👉🏿 Unajulishwa Kuna tabia chafu imekug.ag,ania unatakiwa unipigie au ufike kanisani.
18:Ukiota Unakimbizwa Unaanza kupaa
👉🏿👉🏿 Unajulishwa Utataka uimbiwe haki yako Mungu ataitetea haki yako Shetani hataiondoa
19;Ukiota Unakimbizwa na unakamatwa
👉🏿👉🏿 Unajulishwa umeimbiwa uthamani wako SI MUDA watu wataanza kukudharau
Omba kataa ndoto hii
20:Ukiota Unafurahia Kitu kwenye ndoto
👉🏿👉🏿 Unajulishwa Kuna Huzuni na Taarifa mbaya utaipokea Kemeaa hiyo ndoto
21:Ukiota Boss wako Amekusifia Kitu
👉🏿👉🏿Unajulishwa Boss wako atakusema na mtagombana
Omba kemea ndoto hiyo.
22:Ukiota Unaongea na Rais au Waziri mkuu wa Nchi yako
👉🏿👉🏿 Unajulishwa wewe Ni mtu wa mafanikio makubwa.
23:Ukiota Upo gorofani au unachungulia Upo Juu.
👉🏿👉🏿 Unajulishwa unaenda kukutana na Pito Kubwa Sana.
Omba kataa ndoto hiyo
24: Ukiota Upo Unafukuzwa na Pikipiki au gari
👉🏿👉🏿 Unajulishwa Kazi yako elimu yako Huduma yako inawindwa kiroho inataka iharibiwe omba ukemee
25:Ukiota Mmeo amelala Pembeni yako au Mkeo
👉🏿👉🏿 Unajulishwa Ndoa yako jini mahaba anaifatilia anataka mgombane wewe na Mmeo mnapoanza tendo la ndoa huwa Yupo Hapo kitandani.
Ombeni kukemea roho za Majini zisiingilie ndoa Yenu.
26:Mtu akiota ameokota Pesa
👉🏿👉🏿 Unajulishwa hutafanikiwa Kushika Pesa Nyigi au Kubwa
Omba kemea ndoto hiyo
27:Ukiota wazungu wachina waarabu
👉🏿👉🏿 Unajulishwa Shetani anaandaa mtengo wa kukuagusha Kiuchumi.
Omba kemea Omba hivi
Nalaani nakuzikataa ndoto zinazoongea kuharibu Uchumi wangu kwa jina la Yesu 🙏 Amen 🙏
28:Ukiota Upo sokoni mfano kariokoo dar Au Kirombero Arusha
👉🏿👉🏿 Unajulishwa mafanikio ya Kazi zako yanaenda kusitawi
29:Ukiota maji masafi
👉🏿👉🏿 Unajulishwa unatabia njema Sana
30:Ukiota maji machafu
👉🏿👉🏿Unajulishwa Unatabia chafu Sana
31:Ukiota Nyumba imeugua
👉🏿👉🏿 Unajulishwa Amani kutoweka ndani na Majaribu linakuja kwenye mji wako.
Omba kemea ndoto hiyo.
32: Ukiota Nyumba chafu
👉🏿👉🏿 Unajulishwa Matendo mabaya yanafanyika kwa Siri Ombea rehema Nyumba yako
33:Ukiota unakula
👉🏿👉🏿 Unajulishwa magonjwa yatakupata na mikosi mbalimbali itatokea
Omba kemea hiyo roho
34;Ukiota MCHUNGAJI wako au unayemjua
👉🏿👉🏿 Unajulishwa Unao ulizi wa Kimungu usiogope tembea kifua mbele.
"Omba kemea hiyo roho "
35:Ukiota Unafanya mitihani unakusanya
👉🏿👉🏿 Unajulishwa utavuka katika chagamoto zako Utakutana na chagamoto.
SEHEMU:C
NDOTO ZA KUTISHA NA MAANA YAKE
1:Ndoto Ukiota Unakimbizwa na watu wanamapanga
👉👉Unajulishwa Shetani anakutuhumu unakosa anakuadalia Tuhuma kwenye ofisi yako kazi yako Uombe ukemee.
2:Ukiota Upo ndani au umejificha Watu wanakutafuta hawakuoni
👉👉Unajulishwa Umeshinda Adui zako katika roho hawatakuweza
3;Ukiota Upo Unaua au Unafyekwa Panga
👉👉Unajulishwa Umekufa kiroho kila Kitu Kitakuwa kinakufa.
4:Ukiota umedumbukia shimoni au matope umezama
👉👉Unajulishwa Mikosi nakushindwa kiroho na Kimwili vinakuja mbele yako.
5;Ukiota watu wamekuzunguka wanakuzomea au wanacheza
👉👉Ni roho ya kafara kichawi inakuwinda omba kemea ndoto hiyo.
6:Ukiota umengeuka kuwa mnyama au mdundu au nyoka
👉👉 Unajulishwa wewe umeunganishwa nafsi yako na huyo mnyama na wachawi wamekufanya hivyo. Simama katika kuomba.
7:Ukiota Upo Sehemu watu wamevaa sare wote huwajui
👉👉Unajulishwa Upo Kuzimu na wachawi wamekupeleka huko na wanakuotesha matukio ya huko
Omba kemea hiyo roho.
8:Ukiota unacheza ngoma ya desturi Fulani au ya kikabila lako.
👉👉Unajulishwa Upo na wachawi kwenye ngoma zao unacheza wamekubeba usiku huo
Omba kemea ndoto hiyo
9;Ukiota unaongea na wanyama au nyoka
👉👉Unajulishwa Upo Katika ufalme wa Kuzimu nashetani anakuongelesha.
Omba kemea ndoto hiyo
10;Ukiota Upo umechafuka maeneo jalalani
👉👉Unajulishwa wachawi wanaweka ukichaa ndani yako
Omba kemea hiyo ndoto
11:Ukiota nyoka Wengi wamekuzunguka
👉👉Unajulishwa wachawi wamekudhibiti huwawezi wameshakuzidi fika kanisani Wachungaji wakusaidie au nipigie simu
12:Ukiota Unakimbizwa na nyoka
👉👉 Unajulishwa Wachawi wanashindana nawewe kuzuia shughuli zako.na uchumi wako.
omba kemea ndoto hiyo
13: Ukiota Unajisaidia maeneo ya kazini
👉👉Aibu itakupata kazini kwako
omba Kemea ndoto hiyo
14:Ukiota Upo makuburini
👉👉 Unajulishwa Mauti inakufatilia
omba kemea hiyo roho
15:Ukiota unaongea na Shekhe au mtu mwenye ndevu nyigi
👉👉Unajulishwa jini mahaba linakufatilia.omba ukemee hiyo roho.
16:Ukiota Upo kwenye Jeneza au unaanga marehemu msibani
👉👉Unajulishwa Wachawi wanataka wakuuwe kwa MTENGO utakapoenda kumuaga mtu aliyekufa tu.
Omba kemea
17:Ukiota Upo Msibani
👉👉 Unajulishwa Habari za Huzuni utazipata
Ujue Shetani aliandaa huo mpango omba kemea
18:Ukiota ndoto za kuua au kunyemelewa au kukimbizwa
👉👉Unajulishwa nafsi yako inatumika Kuzimu
19;Ukiota Unapaa na unaenda juu
👉👉 Unajulishwa Wachawi hawakuwezi Ni Ushindi unaenda kushinda mitengo yao.
20: Ukiota Umezama kwenye maji
👉👉 Unajulishwa umeshindwa vita na wachawi wamekukamata utaanza kupatwa Mikosi vitu kuharibika
SEHEMU:D
NDOTO ZA SHULENI
1:Ukiota Upo mazingira ya shule ya msingi na Unifom
👉👉Unajulishwa Umefungwa Usifanikiwe waitajika uombe kukemea hiyo roho.
2:Ukiota Upo shuleni unamwagilia mimea
👉👉Unajulishwa Watu Utakuwa unawafanyia kazi wezako wanafanikiwa kwa ulicho nacho wewe hutafanikiwa.
3;Ukiota Upo Palendi(Mstarini
👉👉Unajulishwa umeuganishwa na roho ya Kusimama katika hatua zako zisisonge mbele uombe uikatae hiyo roho.
4:Ukiota Upo Unacheza na Wanafunzi wezako shuleni
👉👉Unajulishwa Utateseka kwa Kuwa mpuuziaji wa vitu katika maisha yako.
5:Ukiota Upo shuleni Mwalimu anafundisha wewe huna daftari au Kalamu
👉👉 Unajulishwa Huwezi Kuweka Kumbukumbu Ya Vitu unavyoelekezwa au Kushauriwa ndiyo sababu hufanikiwi
6:Ukiota Unalia Upo maeneo ya shuleni
👉👉 Unajulishwa Unauchungu Kwakuwa Mambo hayaendi mbele kama utakavyo
7:Ukiota Upo shuleni mnafanya Mtihani wezako wanakusanya wewe Upo TU
👉👉Unajulishwa Huwezi kutatua changamoto unazopitia mpaka usaidiwe ndio utavuka kataa hiyo roho.
8: Ukiota Upo Kwenye chumba Cha Mtihani hujagawiwa Karatasi Wezako wamegawiwa
👉👉Unajulishwa Karibuni Utakutana na changamoto kabla haijakukuta Omba Kemea
9:Ukiota Upo Darasani unafundishwa somo la Hisabati
👉👉Unajulishwa Huwezi kufanikiwa Sababu huna malengo wala mikakati.
10:Ukiota Upo Darasani mnapiga Kelele Mwalimu anaingia
👉👉Unajulishwa wewe unamaneno mengi SI mtendaji wa unachokiongea ndiyo maana huendelei. Omba kemea ndoto hiyo.
11:Ukiota Upo Shule ya O,level
👉👉Unajulishwa Unamwaga wa Kufanikiwa lakini Waitaji mtu mwenye hekima akuongoze kufikia mafanikio yako
12;Ukiota Upo High School mpaka chuo
👉👉Unajulishwa Unamafanikio lakini jishughulishe na kitu Mungu atakibariki.
13: Ukiota Upo unasoma na Wanafunzi wa chuo lakini wewe hujawahi Kufika au Kusoma chuo
👉👉Unajulishwa Mafanikio yako yaitaji ukae na watu waliokuwa kiroho na kielemu utafanikiwa
14: Ukiota Upo shuleni unakula
👉👉Unajulishwa matatizo yako Yanayokutesa uliyapata ukiwa shuleni.
15;Ukiota Upo shuleni lakini maeneo ya chooni au Bafuni Ndoto ikaja hivyo
👉👉Unajulishwa Ulikanyaga Dawa ukiwa shuleni Mungu Akakukinga nazo hazijakuzuru lakini Waitaji uombee kukemea roho hizo.
16:Ukiota Upo Darasani unawafundisha wezako Mwalimu nae amekaa
👉👉Unajulishwa Utafanikiwa Kile ufanyacho Kupitia kuwasaidia watu wegine.
17:Ukiota Upo O,olevo au High school Unafundishwa na Mwalimu Wa chuo
👉👉Unajulishwa Upo unakwama kusonga mbele Kwakuwa unaitajika ukae na mtu aliyekuwa kiroho au aliyefanikiwa Kimwili ndipo utatoka kwenye pito Hilo.
18:Ukiota Upo shuleni umevaa nguo za nyumbani
👉👉Unajulishwa Unapenda Kujifunza na Kutafuta mafanikio lakini Tabia hubadiliki Unapaswa ubadilike Tabia yako Utafanikiwa
19:Ukiota wewe Ni Mwalimu Upo unafundisha shuleni kwako
👉👉Unajulishwa roho ya kutumikishwa hutaendelea kwa Kuwa unatumikishwa kila utakalokufanya. Uombe kemea
20:Ukiota wewe Mwalimu umeitwa na mkuu wako akakufokea
👉👉Unajulishwa utaitwa na mkuu wako atakuonya
SEHEMU E.
NDOTO ZA MTU ANATESWA NA WACHAWI ANAOTESHWA NA WACHAWI AU MIZIMU AU MAJINI
👇🏻👇🏻👇🏻Danieli;2;17_40👇🏻👇🏻👇🏻Daneli : Mlango 2:36
36 Hii ndiyo ile ndoto, nasi tutaihubiri tafsiri yake mbele ya mfalme👉🏽👉🏽Tukisoma Daniel
1;Ndoto Ukiota Unavuka kwenye maji unazama
👉👉Unajulishwa Wachawi wanaendakukushinda sababu wamepanda roho yakukata tamaa kwa unayofatlia
2:Ukiota Unapita Kwenye Maji machafu
👉👉Unajulishwa Unaunganishwa kwenye mtandao wa kichawi Usiendelee kusaidiwa
3:UKiota unakula vyakula mfano nyama Wali chipsi ugali nk
👉👉Unajulishwa Unaunganishwa kwenye Magonjwa ya Ajabu Ajabu TU na wachawi huwa kazi Yao.
4:Ukiota mgonjwa au Upo hospital
👉👉 Unajulishwa Wachawi Wanakuuganishia roho ya ugonjwa wa kulazwa utaenda kulazwa.
5;Ukiota Unaachana na mmeo/Mkeo/Mchumba
👉👉Unajulishwa wachawi wameunganisha roho ya kwenda kuwaachanisha inaweza kutokea na usielewe kumbe Mungu alikuambia
6:Ukiota Misimba ya Mtu unaemjua amekufa
👉👉Unajulishwa huyo mtu muombee wanaenda kumchukua msukule wachawi.
7;Ukiota Upo msimbani unalia
👉👉Unajulishwa unaenda Kupokea Taarifa za msimba ulioandaliwa na Shetani wachawi
8;Ukiota Upo kwenye ndoa au Ndoa
👉👉Unajulishwa wachawi wamekufunga usiolewe au Kuoa
9: Ukiota Upo Unavishwa Pete
👉👉Unajulishwa Umeunganishwa na mtandao kwenye Kidole Chako usifikie kuvishwa Pete na wachawi
10:Ukiota Upo Unafanya mtihani
👉👉Unajulishwa Wachawi wamekufunga na vitu vingi kwa Siri (Ndoto zote zinazohusisha mitihani au Upo chumba Cha mtihani)
12:Ukiota Upo shule ya msingi
👉👉Unajulishwa wachawi walikufunga toka ukiwa shule ya msingi walishakuchukua nafsi yako.
13;Ukiota Upo Secondary
👉👉Unajulishwa ukiwa seco wachawi walikufunga toka hapo Tatizo ndio lilianzia unayoyaona Ni Matokeo
14;Ukiota Upo mazingira ya shuleni
👉👉Mungu hulenga kukujulisha wachawi au majini yalipoanzia kukufunga wewe. (nafsi wanakuwa wamekuchukua
15:Ukiota unakunywa vinywaji kwenye ndoto
👉👉Unanyweshwa sumu za kichawi na wanakuwa wamekuuganisha
16;Ukiota Unapambana na Upigana sana
👉👉Unajulishwa Upo na wachawi unashindana nao usiku Kama mtu Huyu umelala nae ukamuona anahagaika omba kemea umsaidie hiyo vita.
17:Ukiota Upo Unaachwa na Usafiri
👉👉Unajulishwa Wanainzuia Huduma yako wachawi ombea Huduma yako
18:Ukiota Unaendesha Usafiri
👉👉Unajulishwa wamefungwa uwezo wakusimamia Huduma yako Kazi yako ombea hapo adu kashika
19;Ukiota Unaoga Upo uchi
👉👉Unajulishwa wameivua heshima yako wewe watu hawatakuona thamani popote uendapo.
20:Ukiota Unaoga na umevaa nguo
👉👉Unajulishwa heshima yako wamekuuganisha kwenye mtandao wao.
21:Ukiota Umevaa viatu tofauti miguuni
👉👉Unajulishwa wamekufunga miguuni mwako katika hatua zako za maendeleo.
22:Ukiota Upo unajisaidia haja ndogo au kubwa
👉👉Unajulishwa wamekuunganisha wachawi vitu tumboni vinatakiwa vitoke
23:Ukiota Unapaa hewani
👉👉Unajulishwa Umeunganishwa na chama Cha kichawi unatakiwa Ufuguliwe
24; Ukiota Wadudu wanaotambaa kwenye ndoto
👉👉Unajulishwa Umeunganishwa na mtandao wa kichawi Kupitia mdudu uliyemuota huyo.
25:UKIOTA NYOKA YOYOTE UWE WANAKUKIMBIZA UNAKANYANGA NYOKA BARABARA YOTE NYOKA:
👉👉UNAJULISHWA WACHAWI Walikuaganisha Kupitia Nyoka Mtandao unaotakiwa unasuriwe Ni hapo.
26:Ukiota unafeli interview
👉👉Unajulishwa wachawi wamejiandaa kwenda kufunga usivuke
27;Ukiota umechomwa Sindano
👉👉Unajulishwa wanakuuganishia magonjwa wachawi
28;Ukiota Unafyozwa kwenye ndoto
👉👉Unajulishwa wachawi unawaharibia kazi Yao endelea kuomba
29:Ukiota Mchumba wako kwenye ndoto
👉👉Unajulishwa Wachawi wanamtumia kukupata wewe kwa Mambo mbalimbali
30:Ukiota Unaokota Pesa au unaona Pesa
👉👉Unajulishwa wachawi wameshika kwenye uchumi wamekuuganishia roho ya kufirisika.
31:Ukiota Unanyonyesha wakati huna mimba
👉👉Unajulishwa wachawi wamekufunga usizae au wanakutumikisha kuwa Unanyonyesha watoto
32:Ukiota Upo na wachanga au watoto wakati huo huna mtoto mchanga
👉👉Unajulishwa wewe Umeunganishwa kichawi usishike mimba
33;Ukiota Mchumba uliyeachana nae mme/Mke mmerudiana au amekuomba msamaha wakati huo hufikiri hivyo
👉👉Unajulishwa wachawi walitaka kuwaachanisha lakini wameshindwa atarudi kweli.
34:Ukiota Unazini kwenye ndoto
👉👉Unajulishwa wachawi wamekuunganishia mtandao na sura ya Wewe kuzini tu sio Kuoa au Kuolewa Kama Unakuwà umeolewa/Umeoa ukaota ndoto hii ujue inakujulisha utatoka nje ya ndoa lakini hiyo roho au kifungo wachawi wamekuunganishia.
35:Ukiota Umevaa nguo chafu
👉👉Unajulishwa wachawi wamekuuganisha roho ya mateso Kila uendapo
36:Ukiota Mtu Aliyekufa uongea naye au anakutokea
👉👉Unajulishwa huyo mtu wachawi walimchukua msukule hajafa
37;Ukiota Unahubiri injiri
👉👉Unajulishwa wachawi wameifunga Huduma yako ya kuhubiri Wala usianze kutumika unahuduma ndani yako
38;Ukiota Umeokoka Nawe hujaokoka
👉👉Unajulishwa ili uwashinde wachawi uokoke na usimame tu kwenye wokovu.
39;Ukiota Upo kijijini kwenu
👉👉Unajulishwa wachawi walianzia kukuunganisha na mtandao wa kuharibu maisha yako Ni kijijini Kwenu chazo kipo huko
40;Ukiota Upo kwenye barabara unatembea
👉👉Unajulishwa Tatizo lako lilianzia ukiwa unatembea
41:UKiota Mfanyakazi wako au Mfanyabiashara mwezako
👉👉Unajulishwa wachawi walimtumia huyo kukuunganisha kwenye mtandao wa kuharibu kazi Ndoa Biashara nk.
42:UKiota Unakonjoa/unajisaidia haja kubwa
👉👉Unajulishwa Umeunganishwa kwenye milango hiyo mtandao wa kichawi.
43:Ukiota unatoa vitu Kutoka kwenye mwili wako
👉👉Unajulishwa mwili wako Umeunganishwa kichawi na mateso
44: Ukiota Unatoa Pesa Unapokea Pesa
👉👉Unajulishwa uchumi wako umeshikiliwa na wachawi unawag.ag.ania.
45:Ukiota Unapiga simu
👉👉Unajulishwa atena na network unakata wameunganisha mtadao wakushindana nawe kwenye Maombi.
46:Ukiota Upo kwenye mahindi shambani
👉👉Unajulishwa shamba lako limeunganishwa kuharibu mazao.
47:Ukiota Unavua Samaki
👉👉Unajulishwa Umeunganishwa kuharibu Huduma yako ya uijirist.
48;Ukiota Unakimbizwa na g,ombe
👉👉Unajulishwa Umeunganishwa na matambiko ya mizimu Yenu.
49;Ukiota Unaona mbwa katika ndoto yako
👉👉Unajulishwa Umeunganishwa katika Uzinifu na kuvunja mahusiano yako.
50; Ukiota unasifu
👉👉Unajulishwa unamoyo wa sifa Mungu Amekuweka.
51:UKiota Upo unafua nguo
👉👉Unajulishwa unatembea katika mabadiliko makubwa
52: UKIOTA Unaenda Kutembelea shamba kijijini
👉👉unajulishwa usirudi kutembea katika njia ya nyuma
53:Ukiota Unaona watu wageni Mazingira megeni
👉👉Unajulishwa wachawi wanajitaidi kupambana nawe.
54:Ukiota Unaumwa mpaka umelazwa au Ukamuotea mtu hivyo
👉👉Unajulishwa Kuna roho ya Magonjwa inakufatilia.
55:Ukiota Unakimbizwa na wanyama wa porini
👉👉Unajulishwa unafatiliwa na roho za majini
56:Ukiota Unatembelewa na Wadudu Usiku
👉👉Unajulishwa unaunganishiwa roho za magonjwa na wachawi.
57:Ukiota Unasafisha chooni
👉👉Unajulishwa tubu na kumrundia Mungu wako
58;Ukimuotea mtu unamuona anazini kwenye ndoto halafu unatazama
👉👉 Unajulishwa Umuombee roho ya UZINIFU inamtesa
59;Ukiota Unaendesha gari
👉👉Unajulishwa unahudumu Mtumikie Mungu katika uchungaji.
60:Ukiota Unavua Samaki wakubwa
👉👉Unajulishwa unahuduma ya uijirist ambayo itumie.
61:Ukiota unalazimishwa kuzini au kufanya mapenzi kwenye ndoto
👉👉 Unajulishwa Wewe unatabia ya Kumkosea Mungu ukishakosa katika dhambi ya uzinifu unaumia Unaitaji ufunguliwe
62:Ukiota kwenye ndoto Upo Umevaa taiti chupi boxer au pesi huku juu hujavaa Kitu
👉👉Unajulishwa nguvu zako zimepungua utukufu ndani yako umetoweka.
63;Ukiota ndoto unaota mtu anakuonya au Anakukemea kwenye ndoto
👉👉 Unajulishwa katika roho anakupinga Vita nakushindana nawe lakini Amekushindwa.
64:Ukiota unamuona Mtoto wako anapewa chakula
👉👉 Unajulishwa kuwa mwanao wachawi wanapandikiza roho chafu.
65:Ukiota wanakupa chakula unakataa kwenye ndoto
👉👉Unajulishwa kuwa wanataka wauganishe Vifungo vya mateso wachawi umewashinda
66;Ukiota Usiku Unavaliwa Kama upepo au kukabwa
👉👉 Unajulishwa kuwa wachawi wanakutumia majini yakutese
67:Ukiota Unaulizia njia unasafiri
👉👉Unajulishwa Upo umepotea kiimani kabisa.
68;Ukiota Unacheza ngoma za kienyeji za Kwenu
👉👉Unajulishwa unabebwa na wachawi usiku unaenda kuroga bila kujua.
69;Ukiota unavuna shamba unalima kwenye ndoto
👉👉 Unajulishwa unatumikia uchawi unalimishwa usiku.
70;Ukiota Upo umesimama barabarani yenye Rami Mazingira mjini magari yanakupita tu Upo pembeni mwa Rami.
👉👉 Unajulishwa mbele yako Kuna Baraka zinakuja.
SURA YA SITA.
NDOTO ZA WATU MBALIMBALI WALIZOOTA NA MAANA YAKE.
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI?
1:NDOTO KUTOKA KWA GRACE YUPO DAR
Bwana YESU asifiwe mtumishi,
Naitwa grace Niko dar es salaam.
Nimeota nimeolewa na mchumbaangu na tumepata mtoto wa kike anaitwa grace wa jina langu tumevaa sale tumeenda kanisani pamoja na nikawa namfanyia surprise ya brithday ya mume wangu nikashituka naomba kujua maana ya hii ndoto hiii.
Ubarikiwe sana
MAANA YA NDOTO
Unajulishwa unaenda kuolewa ombea maono yatimie
Unafanya kazi ngani na unamchumba
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI?
2;NDOTO KUTOKA KWA FAITH YUPO MWANZA
Bwana Yesu asifiwe mtumishi, mm naitwa faith nipo mwanza huwa nasumbuliwa na ndoto nipo shulen hata jana uaiku niliota na huu ni mwaka wa tano izo ndoto zinanijia
MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa kuna roho ya kukurundisha nyuma kimaendeleo
Unatakiwa ukiota unakemea Kila roho inayofuatilia maisha naikataa katika Jina la Yesu.Amen
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI?
3; NDOTO KUTOKA KWA GLORY YUPO KIVULE
Bwana YESU asifiwe baba naitwa glory John naishi kivule nimeota nipo kwenye gari na wanaume wa 2 baada ya mda wakaanza kunigombania WAKATI wanagombana mi nikapanda kwenye Dari ya gari mmoja akanifata kwenye Dari ya gari gafla gari ya police ikawa inatukimbiza tukashuka kule kwenye Dari tukawa tukakimbia tukakuta Mahali wanakaanaga mihogo tukakaa tukataka kula nikashituka nashindwa kuelewa inamana gan baba
#MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa Unaenda kupata marafiki wawili wenye nia ya kukuowa wote lakini cha ajabu wote wataishia kuongea wasitimize neno lao .
Omba kataa kila roho inayouganishwa na adui kwako
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI?
4:NDOTO KUTOKA KWA GILEN YUPO BOMAG,OMBE(HAI)
Bwana yesu asifiwe Baba Naitwa Gilien Emanuel nipo wilaya ya Hai Kilimanjaro ni siku ya tatu tokanianze kuingia MAOMBI YA USIKU WA MANANE, Baada ya kuomba siku ya kwanza niliomba nikaota ndoto nipo mlimani nimemshika mume wangu mkono anaanguk namuinua lakini nyuma yetu kuna watu wanatufuata wengi sana, sijaelewa maana yake, leo tena nimemaliza kuomba japo nimeshindwa kufika mpaka saa kumi nikalala nikaota ndoto nimekutana na kundi la mbwa wengi sana nikiwakemea wanaanguka wanakuja wengine tena nakemea wanaanguka sijajua maana yake ndoto hizo baba
MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa falme zinazotaka kumshusha chini kiuchumi mumeo bado Zinaendelea kukasirika unapoomba maombi hayo ya saa nane usiku omba kemea hizo roho.
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI.
5.NDOTO KUTOKA KWA FAITH YUPO MWANZA
Bwana Yesu asifiwe mtumishi, naitwa faith nipo mwanza, jana niliota ndoto nipo na mtoto natembea nae njian nikaona pesa nokaanza kuziokota yule mtoto akaanza kulia tumbo lake likaanza kuvimba nikazitupa zile pesa gafra nikaona maji mengi kama mafuriko yanakuja upande wangu ndo kuna huyo mtu akanambia nimbebe mtoto nikambena mana yale maji yalikuwa yanakuja kwa kasi sana kama mafuriko ivi ndonikashtua, nikalala nikaota tena nimekutana na huyo mama njian ananipa mtoto wake nimlelee kwan yeye hamtaki hata kidgo nikamchukua yule mtoto. Asa hii ndoto ina maana gani mana mm mimba niliyokuwa nayo imetoka.
#MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa Kuna pito kubwa unaenda kulipitia litakalosababishwa na Pesa Kupokea Omba kemea hiyo roho ⁸
Omba hivi
Kila roho inayofatilia maisha yangu naamuru iachie katika Jina la Yesu.Amen
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI?
Ayubu;33;14-15 Mwanzo.37
Andika Jina lako Unaishi Wapi Kisha Eleza Ndoto niinbox WhatsApp +255759861768
BWANA YESU ASIFIWE,Kwa jina naitwa HELLEN ALBERT niko Dar es salaam ,mimi mara nyingi nilikuwa naota ktk ndoto kuna wakaka wawili wote walikuja pamoja ili kuingia ktk mahusiano kwa nyakati tofauti lakini nikiwa naomba nikilala ktk ndoto mmoja wapo Kati ya huyo kijana akanambia hawezi kunioa,na kila nikiomba naambiwa sio mapenzi ya MUNGU kuwa na huyo kaka, lakini huyo mwingine naonyeshwa nipo nae pamoja hadi tunaenda kanisani kuandikisha ndoa pia ktk ndoto kuna baadhi ya watu ninao sali nao walion ndoto mm nimevaa shela na huyo kaka amevaa suti tupo ktk gari pamoja
#MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa Unaenda kupata ubavu wako dumu katika kuomba mwaka huu Mungu Anaenda Kujibu
Omba pia maombi ya ukombozi wa thamani ya ndoa yako niliyopost kwa group
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI?
Ayubu;33;14-15 Mwanzo.37
Andika Jina lako Unaishi Wapi Kisha Eleza Ndoto niinbox WhatsApp +255759861768
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu!!
Naitwa ROZALIA PASCHAL
NIKO NZEGA -TABORA.
kila mara nimekuwa namuota aliekuwa mchumba wangu tulitofautiana toka mwaka jana mwez wa 9.
Sasa siku ya kwanza niliota nipo naongea nae nikimuomba msamaha kwa makosa yote niliyomkosea lkn kabla hjakubali msamaha wangu nikaamka.
Mar ya pili nikaota anafunga ndoa na mwanamke mwingine ila baada ya kuniona mimi akaahirisha kufunga ndoa na yule dada.
Mara ya Tatu nimeota juzi amekuja had nyumban kwangu tumekaa sana ila hatujaongea chchte kuhusu mahusiano yetu bali tuliongea habari ya zingine kabisa.
Leo tena nimeota narudia kumuomba msamaha ila alifunga mlango wa chumba chake sijaweza kufanikiwa kuonana nae ila nikawa naongea nae kwa mlangoni tuu.
Nisaidie maan yake tafadhari
👆🏿👏🏿MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa na Mungu Umeuganishwa katika angano la ndoa na huyo mwanaume hali inayokufanya wewe uteseke usiolewe Utanipigia nikueleze Jinsi Ya Kuomba kuvunja hii roho
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI?
Ayubu;33;14-15 Mwanzo.37
Andika Jina lako Unaishi Wapi Kisha Eleza Ndoto niinbox WhatsApp +255759861768
Bwana yesu asifiwe baba, Naitwa Neema Kibiki naishi Tanga naomba unisaidie ndoto hii, nimeota nipo na mdogo wangu tunataka kusafiri lakini tumechelewa kukata tiketi gari zote zikawa zimejaa zote tukawa tumekosa nafasi inabidi tusubirie siku inayofiata
#MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa Utapata kazi ya kufanya lakini utachelewa kujaza taarifa za msingi na utaacha kuchanguliwa kwenda kuifanya hiyo kazi.
Omba kemea hizo roho zakuzuia Baraka zako
✍IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI?
Ayubu;33;14-15 Mwanzo.37
Andika Jina lako Unaishi Wapi Kisha Eleza Ndoto niinbox WhatsApp +255759861768
SHALOM BABA
NAITWA Raheli OBADIA nipo singida,nimeota nilikua kwenye nyumba ya baba angu mzazi nilikuwa na watoto wengi wakiwepo na watoto wangu wawili,sasa nikawa nimetoka kidogo kwenda kwa jirani,mara watoto wakawa wananifuata wanapiga kelele mmoja wao kaumia,kuangalia pembeni namuona chui anatafuna sikio la mtoto,nilipatwa na hofu nikawakusanya watoto wote ndani kuwalinda,watoto wangu walikuwa wazima,alieraruliwa sikio ni mtoto ambae hata simfaham,je hii ndoto inamaana gani?ila yule chui alirudi tena nikamfukuza
#MAANA YAKE UNAJULISHWA
Unajulishwa roho Za ukoo zinafatilia Watoto wako zinazotaka kuwaharibu uelewa na usikivu wa kutii wazazi au walezi wao
Omba kemea hiyo roho Sema nazikataa kila roho zinazofatilia watoto wangu
#IJUE SAUTI YA MUNGU WAKO ASEMAPO NAWEWE.
Bwana Yesu Asifiwe Baba
Naitwa Mordelin Naishi Morogoro
Leo usiku nimesikia sauti inayoniambia nisome mwanzo 21 nimesoma naomba ufafanunuzi zaidi
#MAANA YA SAUTI HIYO
Mungu Anasema nawewe uendelee kuwa mwaminifu kwake na Usiache zaka kutoa katika kwa Baba Yako wa Kiroho Aliyekupa Anaenda Kukujibu hitaji lako
Andika Jina lako na unapoishi kisha eleza ndoto yote au maono yako au sauti
SOMA HUU USHUHUDA WA NDOTO YA ODETTA AMBAYE SASA NI MJANE
Bwana Yesu Asifiwe Baba Naitwa Odeta nipo Burundi Naomba Msaada wa hii ndoto.
Niliwahi kuota nyumbani tumeingiliwa na majambazi tena walikuwa na silaha walivyo fika ndani walifikia sehemu ambapo kulikua na tv ila sikuona mwisho kilichotokea naomba nisaidie ni nini maana yake?
#MAANA YAKE NDOTO YAKO
✍✍✍✍✍🍉🍉🍎🍎🍎🍎🍎
Ulikuwa Unajulishwa Kuna roho itakayovamia nyumba Yenu itakayoharibu Amani ya familia Yako itatoweka ulitakiwa uombe.
ODETTA ASHUHUDIA KUHUSU TAFSIRI YA NDOTO YAKE
🍉🍉🍉🍉🍉✍✍✍✍✍✍✍✍🍉🍉🌳🍉
Ni kweli Pastor Richard Maana ndoto hiyo nilipoiota mume wangu alikuwa Safarini lakini mwaka uliofata toka nilipoota mume wangu alivamiwa na majambazi akauawa mpaka Leo mimi Mjane Kiukweli umenikumbusha Sema Sikujua Mungu Ananijulisha ni nini.
Andika Jina lako Upoishi Kisha Eleza ndoto yako yote mtumie WhatsApp Pastor Richard +255759861768 Atajibu ndoto yako.
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI?
Ayubu;33;14-15 Mwanzo.37
Andika Jina lako Unaishi Wapi Kisha Eleza Ndoto niinbox WhatsApp +255759861768
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu, naitwa Angelina Richard nipo dodoma, Mimi naota kilA siku usiku natapika vyakula , sijui hiii ndoto inamaana gani, naomba unisaidie mtumishi
₩MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa unalishwa roho za matatizo yasiyoisha na wachawi usiku kupitia chakula
Hebu nipigie wewe
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI?
Ayubu;33;14-15 Mwanzo.37
Andika Jina lako Unaishi Wapi Kisha Eleza Ndoto niinbox WhatsApp +255759861768
Bwana apewe sifa baba, Naitwa REGINA PAUL nipo Shinyanga mm kuna ndoto usiku wa kuamkia jana niliota nimefunga ndoa, usiku wa kuamkia leo vivyo hivyo nimeota nimefunga ndoa sielewi nn maana yake baba
#MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa upunguze kuwaza na kufikiria ndoa muda mwigi nawe utaenda kufunga ndoa kweli ukiondoa mawazo.
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI?
Ayubu;33;14-15 Mwanzo.37
Andika Jina lako Unaishi Wapi Kisha Eleza Ndoto niinbox WhatsApp +255759861768
Shalom Mtumishi ! Kwa majina naitwa Ednah Charles kutoka Kigoma, naomba unisaidie tafsiri ya ndoto hii" nimeota nyoka imeingia ndani ya sketi niliyovaa pasipo mimi kujua ,mdogo wangu akawa amenambia ikabidi nisimame nianze kuruka ruka ile nyoka ilitoka ikiwa imekufa ghafla nikaona damu chini na mapaja yangu nikahisi yameloeshwa na damu"
Ninaomba kujua maana yake..?
#MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa kuna nguvu za kichawi hufatilia blidi yako hedhi
🌴🌴🌴🌴🌴
Omba hivi
Nafunga na kukataa kila nguvu za ngiza zinazofatilia hedhi yangu katika Jina la Yesu.Amen
×2
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI?
Ayubu;33;14-15 Mwanzo.37
Andika Jina lako Unaishi Wapi Kisha Eleza Ndoto niinbox WhatsApp +255759861768
Naitwa Tsuma Dzombo, kutoka Kenya.. Niko kwa hii group ya Maombi na mafundisho. Yako.
Bwana Yesu Asifiwe Baba. Naomba ufafanuzi wa hizi ndoto. Nimeziota leo usiku.Nimeota naishi katika ploti mahali hivi, alafu mwanamke mwenye nafanya kazi nayeye akaja na kuchukua nyumba mahali pale ambapo Mimi naishi, lakini baadae akataka kuhama kwa sababu anasema hakuna maji. Mimi nika mwambia maji iko, hapo kulikua na mifereji mbili, mmoja uko mbele ya hizo nyumba na mfereji ingine iko kando kidogo nyuma ya hizo nyumba. Na pia nkamwambia kuna kisima/borehole.
2.Ndoto ya pili.. Nimeota nakunya kwa msitu Mimi na mwenzangu mahali ambapo Pako na vinyesi watu hujisaidia kama vyenye nilienda kujisaidia mimi alafu mwanamke huyohuyo👆🏼ambaye tunafanya kazi na yeye akapita karibu na hapo mahali ambapo nimeenda kujisaidia alakini Mimi sikushituka aliponiona kwa sababu nimejipa moyo kua hapo nimahali ambapo wengine pia hujisaidia na alikua amejibandika mtungi wa maji kichwani., Akapita akaenda zake.
3.Ndoto ya tatu... Nimeota tumepewa pesa za noti, Mimi na wenzangu takribani ya elfu mbili za Kenya, 2000.Alafu Mimi nikachukua haraka elfu Moja 1000,. Nanikaficha kwa mfuko bila wenzangu kujua.nikabakisha 1000 ambayo sasa hiyo ilikua tugawe na hao wenzangu sawasawa. Alafu ufahamu ikanijia ya kwamba tukigawa ile 1000 nawale wenzangu , hii ingine ambayo nimeeka kwa mufuko itakua imeisha value/thamani. Na pia nikiumia hii 1000 ambayo nimeficha kwa mfuko kabla tugawe ile ingine na wale wenzangu pia itakosa value/thamani. Kivyovyote ile amabayo itatumiwa ya kwanza idio ilikua itakua na value/thamani. NAOMBA UFAFANUZI WA NDOTO HIZI TATU MUCHUNGAJI
#MAANA YA NDOTO ZAKO
🍉🍉🍉🍉🍎🍎🍎🍎🍎
✍🏾✍🏾NDOTO HIZI TATU ZINAKUJULISHA YAFATAYO UYAFANYIE KAZI.
1: Unajulishwa Imani uliyonayo ni nzuri lakini huwa watu wakikupa maneno kidogo Unaanza Kueleza mengi kwao ukiamini marafiki sahihi Kumbe wapo ili wakuvunje moyo. Sasa tengeneza mifereji miwili uwe na imani yenye mtazamo wa kuona ya mbele achana Na kuagalia ya Pembeni.
2:Unajulishwa Unatakiwa Utubu maana umekuwa ukimtenda Mungu dhambi kwa siri halafu unazipuuza hizo dhambi
✍🏾✍🏾✍🏾Hapa Fata Maelekezo Haya
✍🏾✍🏾UTAINGIA MAOMBI SIKU Tatu 3 YA KUFUNGA MASAA 12 UTAOMBA TOBA NA KUSHUKURU MUNGU
✍🏾✍🏾Utakuwa na Sadaka Yako Siku ya 3 Utaituma katika madhabahu hii kisha utanipigia
👏🏿👏🏿OMBA HIVI
✍🏾Baba nakuja mbele zako mimi mwanao___Natubu Dhambi zangu na Kila dhambi nilizokuwa na,tenda nakuidharau Mimi mwanao nirehemu nisamehe ninaamua kukurudia Bwana nipokee mwanao ukatengeneze namimi upya katika Jina la Yesu.Amen
Rudia×2
SOMA kitabu 2NYAKATI.17:15
Ukishaomba Toba mshukuru Mungu yote aliyokutendea maisha yako alivyokupigania
Kisha ombea Sadaka yako maitaji yako matatu kisha utaituma kwa M-PESA au Tigo Pesa
Ndoto ya pili fanya hivyo
3:Unajulishwa unaenda kufunguliwa katika mambo ya uchumi endapo ndoto ya 1 na ya2 utafanyia kazi Kama Mungu alivyosema nawewe
IJUE MAANA YA NDOTO YAKO
INAKUJULISHA NINI?
Ayubu:33:14-15 Mwanzo:41
Andika Jina lako na unapoishi kisha eleza ndoto yote unitumie WhatsApp inbox +255759861768
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa Mungu. Naitwa Getrude toka iringa...ninaomba tafsiri ya ndoto yangu. Nimeota Bibi yangu ambaye alushatangulis mbele za haki amenambia nisome biblia Mwanzo10:20 sijui maana yake.Asante
#MAANA YA NDOTO YAKO
Ndoto ilikuwa inakujulisha usifate tena mambo ya zamani uliyokuwa umeyaacha ombea wokovu wako na mahusiano yako na Mungu
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI?
Ayubu:33:14-15
BWANA YESU ASIFIWE PASTOR
Naitwa Calvin Nipo Dar nimeota nipo karibu na sherehe mtaani tu ila kuna mmama akaja akasema nimemuibia sim yake aina ya sim akataja namba 1613 ile ndoto ikakata cjui maana yake baba
🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍊🍊🍊🍊🍊
#MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa Kuna roho inataka iimbe nguvu yako ya kuomba usiku omba kemea kila nguvu ya kukushusha katika maombi naifunga Katika Jina la Yesu.Amen
Unapotuma ndoto inbox WhatsApp +255759861768 Andika Jina Lako Unapoishi Kisha nieleze ndoto yako yote
IJUE MAANA YA NDOTO YAKO
Mungu ANAKUJULISHA NINI?
Ayubu:33:14-15 Mwanzo:41
Andika Jina lako na unapoishi kisha eleza ndoto yote unitumie WhatsApp inbox +255759861768
Bwana Yesu asifiwe Baba.naitwa Christiani Colman shirima naishi kilimanjaro wilaya ya rombo. Nimeota nachinja mbuzi mwenye nyama ya mafuta mengi nyumbani kabla hatujaanza kula nikaamka. Sijui inamaanisha nn Baba.
#MAANA YA NDOTO YAKO.
Unajulishwa roho ya mizimu ya kwenu inakufatilia inataka ukaitolee sadaka ya mnyama yeyote kataa kemea hiyo roho Tina mwanangu
IJUE MAANA YA NDOTO YAKO
INAKUJULISHA NINI?
Ayubu:33:14-15 Mwanzo:41
Andika Jina lako na unapoishi kisha eleza ndoto yote unitumie WhatsApp inbox +255759861768
Bwana yesu asifiwe naitwa neema npo shinyanga nmekuwa nkiota ndoto mara nyingi kuhusu ndoa ila nieleze hiz tatu za mwisho
1.nko kwenye kusanyika kama kanisan kwa ajili ya ndoa ila ikatokea vurugu na ile ndoa haikufanikiwa nikaamka
2.nko naelekea kufunga ndoa nmevaa shela ila nkageuka nyuma na kuona shela ina rangi nyekundu kama damu
3.nko nmetoka kwenye tafrija ya kutupongeza ila hatukuwa tumefunga ndoa bado na wakati tunaelekea kanisan tunapanda kama mlima na huyu mtu gafla akatokea mtu ninaye mfahamu na kunisemesha na huyo mwanaume akapigwa na kama shoti ya umeme akaniachia maana alikuwa amenishikilia yeye akabaki juu maana alikuwa ameshapanda tayar na mm nkashuka chini ya kilima na kuwafuata wale walionisemesha kanakwamba sikua na jambo la kufanya nkaamka
Na pia.cjaolewa bado naomba tafsiri ya kujua hii ndoto.
#MAANA YA NDOTO YAKO
Ndoto ya 1,2,na ya 3
Zinamaana Moja Kuwa Umeolewa katika ulimwengu wa roho na katika ulimwengu wa damu na nyama ukipata wanaume wanafukuzwa hali inayofanya mahusiano yako yavunjike.
IJUE MAANA YA NDOTO YAKO
INAKUJULISHA NINI?
Ayubu:33:14-15 Mwanzo:41
Andika Jina lako na unapoishi kisha eleza ndoto yote unitumie WhatsApp inbox +255759861768
Bwana asifiwe,Pastor Naitwa Pamela dadake morine nko kenya juzi nikiwa nimelala ndoto ikanijia ambapo niliona moto kubwa nakulikuwa na mtu akaniambia ambia dada yako aombe kwa maana amteseka mda mwingi sana na niyeye atakomboa boma lenu sielewi naomba kufafanulia
#MAANA YA NDOTO YAKO.
Unajulishwa Imani ya dada yenu kubwa japo anapitia pito kubwa anaitaji msaada wa kukutana na mtumishi amjege kiimani kwa kumfundisha Neno la Mungu naye ameandaliwa kuikomboa familia yenu.
IJUE MAANA YA NDOTO YAKO
INAKUJULISHA NINI?
Ayubu:33:14-15 Mwanzo:41
Andika Jina lako na unapoishi kisha eleza ndoto yote unitumie WhatsApp inbox +255759861768
Naitwa getruda mgina nipo iringa. Ndoto yangu ya leo nmeota nashiriki tendo la ndoa na mtu nisiyekuwa nae kwenye mahusiano. Pi imi Nina mchumba ambaye sijaoana nae kwa muda wa miezi miwili anaumwa aliparalaizi upande ila kwa sasa anaendelea vizuri..ndoto yangu nimeota nilikuwa nae kapona ananacheka nakuongea vizuri ingawa bado hajapona vizuri. Asante
#MAANA YA NDOTO YAKO
Ndoto ya 1:
Unajulishwa Kuna roho ya kuzini inakufatilia Sana
Unatakiwa kemea hiyo roho inakwamisha mambo ya uchumi kwako.
Hiyo ya kwanza
✍🏾Ndoto ya 2;
Unajulishwa Mchumba wako anaenda kupona kabisa.
IJUE MAANA YA NDOTO YAKO
INAKUJULISHA NINI?
Ayubu:33:14-15 Mwanzo:41
Andika Jina lako na unapoishi kisha eleza ndoto yote unitumie WhatsApp inbox +255759861768
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa Mungu kwa majina naitwa debora Frederick naishi dar baba nimeota leo nilikuwa nyumbani kuna kitu nilitumwa nikitafute sasa wakati nakifatuta nikawa nikitaka kuongea ndomo unakuwa mzito sana na umejaa kanakwamba kuna vitu vimevundikwa sasa badae nakuja kuangalia kuna minyama mingi sana nikaamza kuitoa ilikuwa pembeni katikati kuna kitu ata akieleweki nikawa naotoa minyama mingi na lile la katikati nilipo maliza mdogo ukawa mwepesi sana nikashangaa kwenye ndoto vitu vilivyo kuwa mdomoni msahada baba
#MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa uache kutoa maneno machafu kifanye kinywa chako kiwe kisafi kitoe maneno mazuri
IJUE MAANA YA NDOTO YAKO
INAKUJULISHA NINI?
Ayubu:33:14-15 Mwanzo:41
Andika Jina lako na unapoishi kisha eleza ndoto yote unitumie WhatsApp +255759861768 Pia Mwambie Pastor Richard akuuge
Bwana afiwe Bishop,naitwa Denisi Fungo naishi Dar Es Salaam.Siku moja niliota ndoto ninasafiri na ndege ghafla ikatokea ndege nyingine ikawa inataka kuipiga ndege niliokuwa nimepanda lakini rubani akawa anaikwepesha ndege niliokuwa nimepanda.Tuliendelea kufukuzana lakini baadaye ghafla nikajikuta niko peke yangu angani natembea nikaingiwa na hofu kwamba nitaanguka nikashituka usingizini nikawa natafakari sikujua maana. Naomba tafsiri yake mtumishi.
#MAANA YA NDOTO YAKO
✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍
Unajulishwa ndege ni mafanikio makubwa
👉🏾👉🏾Unajulishwa Unamafanikio makubwa sana lakini yana vita kubwa hali inayokufanya uwe na hofu ya kushindwa katika kile unachokifanya omba kemea hiyo roho inayokuzuia kufikia ndoto zako.
IJUE MAANA YA NDOTO YAKO
INAKUJULISHA NINI?
Ayubu:33:14-15 Mwanzo:41
Andika Jina lako na unapoishi kisha eleza ndoto yote unitumie WhatsApp +255759861768 Pia Mwambie Pastor Richard akuuge.
Shalom baba Naitwa Jude Nipo Arusha Naomba unisaidie tafsir ya ndoto hii nimeota natoka mavitu meupe yana nata na mengine kama mapovu alikuwa yakinitoka masikioni, puan nikawa naytoa yakayok mengi sanaa baadae nikasikia kama saut ya maut ikisema kwa masikio yangu baada ya kuota nikaendelea kuota nikimsimulia mama yangu wa kanisan anenishauligi ndipo akanijibu huo uchafi mweupe uwa unakutoka n machpni ni kwel n kwel nilikuwa natokwa na uchafu mweupe machoni ila sahz haupo baada ya kuombewa na macho yakapona
#MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa umeshafunguliwa na nguvu za kipepo zilizokuwa zimekamata macho yako zidi kuwa imara na Bwana.
IJUE MAANA YA NDOTO YAKO
INAKUJULISHA NINI?
Ayubu:33:14-15 Mwanzo:41
Andika Jina lako na unapoishi kisha eleza ndoto yote unitumie WhatsApp +255759861768 Pia Mwambie Pastor Richard akuuge.
Bwana Yesu Asifiwe Baba. Mimi Christine nipo congo. Baba nimeota niki pewa pesa nyingi na baba yangu mzazi akisema niende nika uze chakula. Chaajabu kitu ambacho kinani shangaza ni kwamba Sijawahi Pewa Pesa na baba yangu .ila amenipa Pesa nyigi Sana nimeamka najiuliza hii ndoto inaamana ngani..?
#MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa unaenda kubarikiwa malango ya Pesa kupitia mtu wa karibu yako atakupa mtaji wa kufanyia Biashara ya chakula.
IJUE MAANA YA NDOTO YAKO
INAKUJULISHA NINI?
Ayubu:33:14-15 Mwanzo:41
Andika Jina lako na unapoishi kisha eleza ndoto yote unitumie WhatsApp +255759861768 Pia Mwambie Pastor Richard akuuge kwa group
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Bwana yesu asifiwe baba Naitwa Debora Naishi Dar
leo kuna kijana kanichumbia leo nimeota ananiakia nguo zangu zilizo fuliwa itakuwa inamanisha nini baba wakati anazoanika akasema tuanike alaka mvua inataka kunyesha...?
#MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa kukuweka wazi matendo yako yasiyofaa na yanayofaa kwake na pia atakuambia nawewe uwe huru kumuweka wazi Matendo yake yasiyofaa
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI..?
AYUBU:33:14-15
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Andika Jina Lako Unapoishi Kisha ndiyo unieleze ndoto yako kisha nitumie inbox WhatsApp Pastor Richard +255759861768
Mwambie Pastor Richard akuuge kwenye Group WhatsApp la maombi na mafundisho
Bwana yesu asifiwe naitwa tusane nipo kahama nimeota ndoto imejirudia mara ya pili sasa nimeota ndoto kuna sehemu nilikua naenda nikafika sehemu nikakuta kuna nyumba inaungua sasa mle ndan ya hiyo nyumba inayoungua kulikua na mtoto kuna mtu akamleta yule mtoto akaniambia huyu mtoto Hana wazazi inatakiwa umlee alikua amelegea Sana na alikua ameungua kwenye paji la uso na mkonon naomba nisaidie ina maana gan..?
#MAANA YAKE HII NDOTO YAKO
Unajulishwa nyumba ni mwili wako Kuugua ni kuharibiwa kuona mtoto maana yake huduma iliyomo ndani yako nayo kukosa nguvu ya kuonekana au kusimama tena
Unajulishwa Wachawi wamauharibu mwili wako nakuua huduma yako iliyomo ndani.
Omba Hivi Nabomoa kila nguvu za kichawi zilizouganishwa ndani yangu maisha yangu yafunguke katika Jina la Yesu.Amen
Rudia ×3
Unaitakiwa Fika Hapa Kanisani
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI..?
AYUBU:33:14-15
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Andika Jina Lako Unapoishi Kisha ndiyo unieleze ndoto yako kisha nitumie inbox WhatsApp Pastor Richard +255759861768
BWANA YESU asifiwe mtumishi, naitwa Tumain Kuna ndoto niliota Kama week chaajabu aifutiki kila nikikaa inanijia, niliota kule kijijini kwetu mbeya chumba ambacho alikuwa anakitumia Babu yangu tuliweka jeneza na Hilo jenezan ndani limekaa Kama vile waislamu wanavyochimbaga makaburi Yao sasa sisi tunajianda kwenda kuzika gafla yule aliyelala kwenye lile jeneza akakurupuka akatoka akawa anasema Mimi sijafa kwnini mnataka kunizika wakati Mimi ni mzima sasa tukaanza kumuogopa yeye akawa anatuambia msiniogope Mimi akatoka akawa anafanya biashara zake.
#MAANA YA NDOTO YAKO
Chumba hicho Unajulishwa Upo msukule uliwekwa Kwa njia ya kichawi
Hebu jitaidi ufike Kanisani kwa msaada zaidi maana kuna mahusiano makubwa wa eneo hilo na unayoyapitia sasa.
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI..?
AYUBU:33:14-15
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Andika Jina Lako Unapoishi Kisha ndiyo unieleze ndoto yako kisha nitumie inbox WhatsApp Pastor Richard +255759861768
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Bwana Yesu Asifiwe Baba
Naitwa Tumaini nipo dodoma Leo nimeona nipo shule nafanya mtihan lakin huu mtihan tunafanyia nje sio darasan mim nimejifunga vitenge viwili juu na chini sasa nikaenda kujisaidia haja ndogo ile narudi zile vitenge nilizojifunga Sina ila nimevaa gauni na ile book let yangu ya kufanyia mtihani nayo haipo na pale chini nilipokaa nyuma alikuwepo Raisi mama samia mm nikakaa chini mbele yake baad ya kuona book let hakuna nikakimbia kwenda kuomba nyingn wakati huo zimebak dakika 15 tu mtihan uishe wananiuliza utaweza kumaliza nikawajibu nitakapoishia hapo hapo
Nisaidie maan yake japo nafanya mpango wa kuja huko
#MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa
Mitihani ni Jaribu au Pito
Kuvaa Kitenge na siyo nguo _Maana yake mitengo ya kichawi
Haja ndogo ni njia ya
Ngauni ni kubadilishwa
Maana Yake Unajulishwa Wachawi wamekutengea mtengo kupitia haja ndogo Ambayo Inakufanya upite njia ya mambo kuanza kukubadilikia tofauti na ulivyotengemea
Wewe Unaitaji Usaindiwe Fika Kanisani
Naitwa Veronica nipo Mbeya
Shalom Baba
Nimeota na bariki ndoa na mume nilietengana naye,ndoa yenyewe ni mwezi huu wa Tano tarehe 28, msaada inaamanisha nini
#MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa uondoe mawazo ya kuwa ndoa hii ndoto inatokana na uchomvu wa kuwaza
Kwa Ushauri ondoa hayo mawazo umfanye Mungu atende kwako
👈👈👈👉Karibu Ujiuge kwa Group mwambie Bishop Richard akuuge kwa group la maombi na Tafsiri za ndoto +255759861768
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI..?
AYUBU:33:14-15
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Andika Jina Lako Unapoishi Kisha ndiyo unieleze ndoto yako kisha nitumie inbox WhatsApp Pastor Richard +255759861768
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Bwana Yesu asifiwe mtumishi naitwa debora furederick naishi dar naomba nisaidie kujua ndoto hii nimeota leo nilikuwa nyumbani mkoani nilikuwa natembea nina dada mmoja wakati tunatembea nikaokota cm kubwa mbele tena nikaokota nyingine kubwa nikasema inawezekanaje nikaokota cm mbr kwa wakati mmoja nikasema huu utakuwa mtego nikawa nimeziacha nikaita pikipiki nikamweleza yule boda akasema uwo ulikuwa mtego akaniuliza ulifungua betrii zilikuwepo nikasema zitakuwemo hakasema hapana amna wameziweka mtego izo na walio ziweka walikuwa wanakuangalia unge chukua tuu wange toka akasema tena wamevaa winifom ikawa imeishia hapo
#MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa mitengo ya shetani inakufatilia kupitia mawasiliano yako ya simu
Hiyo ndoto uliposhtuka ulitakiwa ikemee.
Useme kila mitengo wanayoiuganisha kupitia mawasiliano ya simu iachie na iharibu Katika Jina la Yesu.Amen
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI..?
AYUBU:33:14-15
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Andika Jina Lako Unapoishi Kisha ndiyo unieleze ndoto yako kisha nitumie inbox WhatsApp Pastor Richard +255759861768
Sharom BABA kwa majina naitwa jude nipo arusha usiku wa kuamkia leo nimeota nipo na wakaka wawili mmoja ananipenda na mwenzake ni rafiki yake tu ttulikuwa ndan seblen yule rafika wa huyo kaka alikuwa kaka katikati yetu yule mkaka anaenipenda alinifanyia suprise na kuniulize nipo tayar anioe kisha akanambia ninyooshe mkono wangu akanivisha petw tatu za gold kidole cha kwanza kutoka mwisho pete ya urafiki cha pili uchumba ila ya ndo alivonivisha ilikuwa ndogo ainitosha akanambia nijarbu kuvaa mwenyewe kama itapita niliilazimisha ikainhia ila ilikuwa inaniumiza nikawa naisogeza juu juu
👉👉👉MAANA YA NDOTO YAKO.
Unajulishwa katika ulimwengu wa roho umeolewa na unapete kwenye vidole vyako.
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI..?
AYUBU:33:14-15
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Andika Jina Lako Kule Unapoishi Kisha ndiyo unieleze ndoto yako kisha nitumie inbox WhatsApp Pastor Richard +255759861768
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Naitwa Beatrice nipo singida,hii wiki nmefululiza kuamka usiku saa tisa kusali,sasa jana baada ya maombi nikalala kisha nikaota mume wangu anamahusiano na mwanamke anauza duka la madawa(simjui huyo mwanamke nimefahamishwa ndotoni kisha mme wangu akanipeleka kwa huyo mwanamke,ikawa ugomvi mkubwa adi majiran wakajua,sijui hii ndoto inanipa taarifa gan , msaada tafadhali...?
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Unajulishwa mumeo anafanya usaliti wa ndoa yake omba kukemea hiyo roho inayomtumikisha
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI..?
AYUBU:33:14-15
Andika Jina Lako Kule Unapoishi Kisha ndiyo unieleze ndoto yako kisha nitumie inbox WhatsApp Pastor Richard +255759861768
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Naitwa Anither Mmassy naishi Dar Es Salaam,usiku wa leo nimeota nipo maeneo ya shule madarasa ya shuleni gorofa,darasa ambalo Mimi nilikuwa naenda ni juu gorofani muda ambao nilikuwa nataka kwenda darasani nilikuwa naoga kupenda peke yangu,rafiki yangu akanishika mkono akanipandisha mpka darasani,nilipofika darasani nikachukuwa kiti na meza nikaenda kukaa mwalimu alikuwa anafundisha somo la kiingereza lakini darasa ni lichafu na alijakaa katika mpangili mzuri baada ya hapo nikashtuka.Nisaindie Maana Yake...?
🍈🍍MAANA YA NDOTO YAKO UNAJULISHWA.
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
Unajulishwa Unatakiwa ufanye mambo yenye ufahamu mkubwa Sana lakini unatakiwa ukae na watu pia au uwe na marafiki Wenye ufahamu mkubwa uache kukaa na watu wenye mawazo machafu ili ufanikiwe
Darasa maana yake ufahamu
Ghorofa maana ya ufahamu mkubwa
Mwalimu maana yake watu au marafiki
Darasa chafu mwalimu kakaa ni kuwa na watu wenye mawazo au ushauri kwako usio na faida.
✍🏾✍🏾✍🏾Fanyia kazi hilo tengeneza safu ya marafiki wenye vission
#IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI..?
AYUBU:33:14-15
Andika Jina Lako Kule Unapoishi Kisha ndiyo unieleze ndoto yako itume inbox WhatsApp Pastor Richard +255759861768
__________________________________^^^^^^^^
Bwana Yesu asifiwe Mtumishi Naitwa Deborah Furederick naishi Dar kuna ndoto naomba nisaidie kujua maana yake moja ilikuwa jana niliota niko nyumbani nilikuwa natembea natafuta mti na uwo mti ni mti amabao sio laisi kupatikana ilinibidi kutembea sana sababu ni mti hule imala sana wakati nazidi kutembea nilikutana na watu wawili mmoja alikuwa kaka mmoja nasali nae mwingine alikuwa bibi yangu yule kaka alikuwa anaenda kanisana akaniambia tafuta unavyo vitaka ila usisahau kuwai kanisani na nilipo geuza kuludi ndo nikajua yule mmma alikuwa bibi yangu nikasema kumbe ni weww akasema ndio nikamuuliza unaendeleaje akasema bado naumwa alikuwa kajifunga vitenge blaus ilikuwa imepauka sana nikawa nimesutuka baba
MAANA YAKE HII NDOTO.
======================
Unajulishwa unatakiwa utafute imani inayokupa matokeo Na Siyo kwenda kanisani bila kuwa na imani inayokupa matokeo
Mti ni imani inaama kiroho
#IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI..?
AYUBU:33:14-15
Andika Jina Lako Kule Unapoishi Kisha ndiyo unieleze ndoto yako itume inbox WhatsApp Pastor Richard +255759861768
Bwana yesu asifiwe baba Naitwa tusane nipo kahama Leo nimeota ndoto tulikua wengi tulikua maeneo ya milima tulikua tunachota maji kwenye chemichemi ambazo zipo kwenye hiyo milima Ila zile chemichemi zilikua zinatoa maji kidogo tuliokuepo pale tulikua wengi sana na sijui yale maji tulikua tunayapeleka wap Ila tulikua wengi sana naomba nisaidie ina maana gani..?
MAANA YA NDOTO YAKO.
____^^^^___^^^^^________^^^^
Chemichemi ni neno la Mungu watu mliokuwa mnateka kupata mafundisho ya Neno la Mungu Ambayo mafundisho mnayoyapata hayatoshi kutokana uhitaji wenu kuwa mwingi.
Nini Unajulishwa unaitaji mafundisho ya Neno upate mtumishi akufundishe na akuongoze ili kufikia Baraka zako
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI
Ayubu;33;14-15
Andika Jina lako Unaishi Wapi Kisha Eleza Ndoto yako kisha niinbox kwa WhatsApp namba hizi +255759861768
Naitwa Neema nipo Musoma naota ndoto mara nyigi Niko darasani nasom na wanafunzi ambao niliwai kusoma nao wengine unakut siwajui wengine nawajua na Mimi sisomi nilishmaliza
MAANA YAKE NDOTO YAKO
Unajulishwa mafanikio yako yapo shule unatakiwa urudi shule tena ukasomee chochote fani yoyote.
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI
Ayubu;33;14-15
Andika Jina lako Unaishi Wapi Kisha Eleza Ndoto yako kisha niinbox kwa WhatsApp +255759861768
Shaloom mtumishi kwajina naitwa Erick kutoka mbeya
Nimewota nipo kwenye barabara naenda kwa Bibi yake na mke wangu Ila sipajui kufik njian nikawona nyumba imechaka nikasema hii nyumba inabomolewa unajengwa upy nikaendelea nikamkuta rafiki yangu mbele mto unamaji mengi sana nikavuka kwenye daraja rafiki yangu akasema pita njia hii uliziya uyo bibi barabara zilikuwa nyingi sana nikasema nikweli ninge pita hibarabara kufik mbele namkuta mke wangu Ila mbele zaidi mto maji nimengi pakuvuka maji yata nibeba
#MAANA YAKE NDOTO YAKO
Unajulishwa imani yako inarundishwa nyuma na kushuka kupitia marafiki ulionao
#IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI
Ayubu;33;14-15
Andika Jina lako Unaishi Wapi Kisha Eleza Ndoto yako kisha niinbox kwa WhatsApp +255759861768
Bwana Yesu asifiwe kwa Jina Naitwa Frida Bernard naishi Morogoro naomba unisaidie kunifafanulia ndoto hii maana yake ni nini? Nilikuwa nafanya kazi kampuni ya wahindi huko bagamoyo kutokana na kutokuelewana na Boss alikuwa hanipendi kabisa na alinichukia Sana na mimi nilimchukia kwa jinsi alivyokuwa ananinyanyasa pale ofisini na ikapelekea kuacha hiyo kazi na kuna maneno Boss aliniambia kuwa sitafanikiwa kamwe maishani mwangu na nikaondoka pale lakini kuna nyakati naota nimerudi pale tena kwa yule Boss na ananishangaa naomba unifahamishe nn maana yake Mjoli wa Bwana.
#MAANA YA MAJIBU YA NDOTO.
Unajulishwa umefungwa usipate kazi kupitia huyo boss wako ulipokuwa unafanya Kazi.
#IJUE NDOTO YAKO ULIYOOTA INAMANA GANI UNAJULISHWA NINI..?
Tuma Ndoto yako inbox Ukiandika Jina lako mahari unapoishi WhatsApp Bishop Richard +255759861768
Bwana yesu asifiwe Naitwa Berina nipo Bukoba nimeota namuuaaua mdudu aina ya kinyonga na baadae nikamchoma moto nin maana yake
MAANA YAKE UNAJULISHWA
Unajulishwa uache Tabia Yako Ya Kubadili badili maamuzi unapofanya maamuzi yako.
3
#IJUE NDOTO YAKO MAANA YAKE UNAJULISHWA NINI NA MUNGU?
Ayubu;33;14-15
✍✍✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔
Tuma inbox kwa mfano wa kuandika Jina lako ulipo kisha ndoto yako ulivyoota kama ni ndefu tuma audio
WhatsApp +255759861768
Yesu Asifiwe Pastor Richard .
Ninaitwa Beatrice niliwahi kufanyiwa operashion ya kuongeza koo la chakula mara mbili nikapata unafuu sasaivi nikila chakula kinakwama tena.na tatizo lingine hua naota nakula chakula usiku kila mara.na jana nimeota mm na mwanangu tunafanyiwa operashion ya shingo nimewaza sana nikwanini hili tatizo hunirudia kila mara🙏
MAANA YA NDOTO YAKO
Mungu Anakujulisha wachawi wanakuuganisha magonjwa yasiyoeleweka usiku hata hiyo hali ya koo ni wao kwa hiyo unatakiwa Ufike hapa Kanisani Na Uamue mwenyewe kusimama na Mungu ukija hapa Utafunguliwa.
Ukiota ndoto za kula vitu au chakula isipokuwa vitafunwa na matunda vigine vyote ukiota Kemea Sema Nakataa Kila roho inayouganishwa ndani yangu katika Jina la Yesu.Amen
.#IJUE NDOTO YAKO MAANA YAKE UNAJULISHWA NINI NA MUNGU?
Ayubu;33;14-15
✍✍✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔
Tuma inbox kwa mfano wa kuandika Jina lako ulipo kisha ndoto yako ulivyoota kama ni ndefu tuma audio
WhatsApp +255759861768
Bwana Yesu Asifiwe Naitwa Michaela nipo dar mm nimeota chumba ninicholala kwachini kina shimo wanapita nyoka watefu Sana wanatoka Kona moja wanatokea Kona nyingine wanaondoka na wanarudi wanapitia kwenye Kona kwanye kunashimo ndo wanapitia hapo nyoka weus warefu Sana yaan wanapita chini kwa chini
#MAANA YAKE NDOTO UNAJULISHWA
Unajulishwa chumba unacholala Kimeuganishwa na uharibifu wa kichawi Lipo shimo kwa chumba unacholala wachawi hulitumia toka zamani
#IJUE NDOTO YAKO MAANA YAKE UNAJULISHWA NINI NA MUNGU?
Ayubu;33;14-15
✍✍✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔
Tuma inbox kwa mfano wa kuandika Jina lako ulipo kisha ndoto yako ulivyoota kama ni ndefu tuma audio
WhatsApp +255759861768
Bwana Yesu asifiwe baba naitwa Mary Paul naishi shinyanga usiku wa leo nimeota nipo sehem nimeshikilia nguzo ndefu sana af kwa pembeni alikuepo mtumishi ananiambia ishikilie vizuri iyo nguzo isianguke ilikua inanishinda nguvu inataka kuanguka
#MAANA YAKE NDOTO HII UNAJULISHWA
Unajulishwa Simama Kanisa unalosali ni sehemu sahihi huyo mchungaji Yuko vizuri Tulia na Kanisa hilo usihame Hata kama utapita kwako.
#IJUE NDOTO YAKO MAANA YAKE UNAJULISHWA NINI NA MUNGU?
Ayubu;33;14-15
✍✍✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔
Tuma inbox kwa mfano wa kuandika Jina lako ulipo kisha ndoto yako ulivyoota kama ni ndefu tuma audio
WhatsApp +255759861768
_________^^^^^^^___^^^^^^^__^^^^^^^_^^^
Shalom Baba Kwa Jina Naitwa Erick naishi Mbeya. Nimeota nipo kanisani akanifata mchungaji wakanisa ameva nguo nyeupe ana niuliza kwanini utumi bahasha kutolea sadaka
MAANA YAKE UNAJULISHWA
______________________________
Unajulishwa unatakiwa uwe na msimamo wa kutoa fungu la kumi kwa Baba Yako wa Kiroho. Tena mwezi huu uanze kutoa zaka na uweke msimamo huo.
IJUE NDOTO YAKO MAANA YAKE UNAJULISHWA NINI NA MUNGU?
Ayubu;33;14-15
✍✍✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔
Tuma inbox kwa mfano wa kuandika Jina lako ulipo kisha ndoto yako ulivyoota kama ni ndefu tuma audio
WhatsApp +255759861768
Bwana Yesu asifiwe Mtumishi ,Naitwa Gracious ,naishi DareSalam, nimeota ndoto kuwa jicho langu lakushoto nimelichuna na likaanza kuonesha Giza likawa kama kitambaa cheusi liliniuma sana ndani ya ndoto lakn mwishowe nikapata nafas ya kuliludishia Mtumishi naomba unisaidie
✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍
Unajulishwa jicho ni Mwanga wa kujua kitu kulichuna ni kujifanya hujui kumbe unazidi kupotea
Yaani kuna mambo unayafanya kama mtu usiyejua kumbe yanakupoteza na sasa umeanza kuwa makini.
Kwa hiyo ombea uwe makini sana
IJUE NDOTO YAKO MAANA YAKE UNAJULISHWA NINI NA MUNGU?
Ayubu;33;14-15
✍✍✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔
Tuma inbox kwa mfano wa kuandika Jina lako ulipo kisha ndoto yako ulivyoota kama ni ndefu tuma audio
WhatsApp +255759861768
✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔
●●●●●●●●●
Bwana Yesu Asifiwe mtumishi naitwa glory nipo tabora siku nyingi zimepita niliota nimefunga ndoa mwanaume huyo sikumtambua ni nini Maana Yake..?
MAANA YAKE NDOTO YAKO
Ulikuwa Unajulishwa umefungwa usiolewe katika ulimwengu wa roho umeolewa Ukiota ndoto hizi kemea
IJUE NDOTO YAKO MAANA YAKE UNAJULISHWA NINI NA MUNGU?
Ayubu;33;14-15
✍✍✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔
Tuma inbox kwa mfano wa kuandika Jina lako ulipo kisha ndoto yako ulivyoota kama ni ndefu tuma audio
WhatsApp +255759861768
✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔
Shalom Nabii naitwa Hellen naishi Dar
naomba unisaidie tafsiri ya hii ndoto nimeota nilikuwa naangalia cm ya rafiki yangu akiwa kaishika nikaona kaingia WhatsApp nikaona picha aliyoweka profile mchumba wangu ipo kwenye cm yake nikawa najiuliza inamaan anawasiliana na mchumba wangu au na amepita wapi namba yake ila niliona tu ile picha ambayo mchumba wangu ameweka kwenye profile yake nilipoangalia namba nikaona inaishia namba ni tofauti inaishia 82 ila ya mchumba wangu inaishia 84 nikawa najiuliza nikasubiri rafiki yanhu akaingia ndan niamuomba cm yake nikawa naikagua nikataka kuifuta nikawa nashindwa japo sikuwa na uhakika kuwa na Ile ni namba yake nikataka tu kuifuta ila sikufanikiwa had nikashtuka
MAANA YAKE NDOTO YAKO
Unajulishwa Mchumba wako ataenda kuanzisha Ukaribu wa kimahusiano na mtu aliye karibu nawewe kama rafiki yako wa karibu Omba Kemea hiyo roho.
#IJUE NDOTO YAKO MAANA YAKE UNAJULISHWA NINI NA MUNGU?
Ayubu;33;14-15
✍✍✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔
Tuma inbox kwa mfano wa kuandika Jina lako ulipo kisha ndoto yako ulivyoota kama ni ndefu tuma audio
WhatsApp +255759861768
✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔
Bwana Yesu asifiwe baba naitwa Adele Raphael nipo mbeya nipo mbali na niliko zaliwa huwa naota nipo huko nakula nyama, kukutana na wafu, kendal chooni na kukuta kimejaa leo nikaota nguo zanu za ndani zimetumbukia choo kimejaa nikaanza kuzitoa pia kunakitu kinatembea kwenye mwili wangu pia naanzisha mahusiano haya dum nashindwa kuelewa maana yake ni nini?
✍✍✍MAANA YAKE NDOTO YAKO✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍✍
Unajulishwa matatizo yote yanaanzia historia ya nyuma huko ukiwa mdogo umeuganishwa na roho mbalimbali za uharibifu kama vile Unapoota wafu au upo kijijini kila unachokifanya kitaishia njiani na ukiota unakula vyakula unapandikiziwa roho za magonjwa yasiyoeleweka mwilini hebu jitaidi ufike Kanisani Morogoro Veta Dakawa ufunguliwe kupitia Mafundisho ya Neno la Mungu.
#IJUE NDOTO YAKO MAANA YAKE UNAJULISHWA NINI?
Ayubu;33;14-15
✍✍✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔✔
Tuma inbox kwa mfano wa kuandika Jina lako ulipo kisha ndoto yako ulivyoota kama ni ndefu tuma audio
WhatsApp +255759861768
Bwana Yesu asifiwe baba,naitwa Neema johola nipo sengerema Mwanz leo nimeota nipo maeneo yanyumbani nilikokulia, nipo na mama angu tunoka kijijini tunaenda mjini kushona nguo mama nifundi cherehani tulipofika zile nguo mama akampa mjomba akazishona gafla nikamuona mama nimjamzito wakujifungua hapo nikastuka, sijui maana ya hii ndoto ni nini?
••••••°°°°°MAANA YAKE NDOTO YAKO••••°°°°°°
Unajulishwa Kuna Tabia itakayokufata aliyokuwa nayo mama yako itasababisha usizae Omba kemea
Nguo ni Tabia _Kuzipeleka kushona ni kuabatana nazo tabia hizo _kuona gafla mjamzito ni Kufungwa usizae.
#IJUE NDOTO YAKO MAANA YAKE
Ayubu;33;14-15
Tuma inbox kwa mfano wa kuandika Jina lako ulipo kisha ndoto yako
WhatsApp +255759861768
BWANA YESU apewe sifa naitwa Michelle nNaishi Dar Tabata Sengerea Baba Naomba maana ya ndoto hii nimeota nipo kijijini Sasa nikawa nimepotea njia nakakutana na mdada nikamuliza hii njia inatoka mahali nilipo kuwa naenda akasema hapana haitoki basi nikageuka nikawa narudi nyuma Ili niondoke Ile nageuka kumwangalia yule dada kama na yeye anaondoka nakuta ananitazama kwenye macho yake kunavitu vikawa vinaluka kama bomu vinakuja nilipo mm kuona hivyo nikaanza kurusha maombi na mm nashukuru hadi mwisho wa ndoto hakuna kilicho nipata baba naomba maana ya ndoto hiyo
👉👉MAANA YAKE NDOTO YAKO.
Unajulishwa mbele yako utaenda kujichanganya njia zako lakini utawahi kujistukia mapema kupitia maombi yatakuvusha kipindi hicho kemea hiyo hali usiipitie.
#IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI?
Ayubu:33:14-15
••••••••°°°°°°°°°•••••••••°°°°°°°°°••••••••
Tuma ndoto yako inbox kwa kufata mfano huu usipuuze ndoto maana Mungu hutukemea nakutujulisha mengi kupitia ndoto WhatsApp Pastor Richard +255759861768
▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎¤¤¤¤¤
Bwana Yesu asifiwe Nabii
Naitwa Hellen naishi Dar Kimara
Nimeota napita kwenye njia kama barabara ya nyumbani kwao na mwanaume wangu tulipofika kwenye geti la nyumba yao akatokea mmbwa mkubwa amefungwa kamba anaangalia kitu kwa chini kuna mkaka akawa anaongea nae anamwambia kwahyo mimi nipate hapa nilipita na rafiki yangu nikamwambia tuondoke haraka hyo mbwa asije kutukimbiza maana hatujui kama huko ndan amefungwa au laa
MAANA YAKE UNAJULISHWA
••••••••••••°°°°°°°°•••••••••••••••
Unajulishwa Mwanaume uliye naye anamalengo mazuri nawewe lakini kitakachozuia hatua zenu mbele ni uzinifu (Mbwa amesimama kama kizuizi na mbwa katika roho maana yake uzinifu)
Kemea hii roho isikufatilie
USHUHUDA WA NDOTO ALIYEOTA
••••○○○○○○○°°••••••••••
Amen ni kweli nabii maan baada ya kumuona huyo mbwa mbele nikawa nawaza kufanya uzinzi nikawa nahisi kama nipo na mwanaume
#IJUE NDOTO YAKO ULIYOOTA
AYUBU;33;14-15
°°°°°°•••••••••••°°°°°°°••••••
Tuma ndoto yako inbox kwa mfano huu
WhatsApp Pastor Richard +255759861768.
Bwana yesu asifiwe mtumishi.Naitwa Erick Nipo Mbeya
Nimeota nimenjenga nyumba kubwa ina vumba vingisana nikawa nashanga mm nimejengaje nyumba hii watu wananiangalia
••••••••°°°°°°°°••••••••°°°°°°°••••••••°°°°°°•••••
#MAANA YAKE NDOTO YAKO.
Unajulishwa unaimani kubwa sana lakini inashindwa kuleta matokeo kwa sababu unamambo mengi Sana Yakidunia yanayowafanya mpaka watu wakushagae
Ombea imani yako ikae na Bwana
#IJUE NDOTO YAKO ULIYOOTA
AYUBU;33;14-15
•••••••°°°°°°°°°°•••••••••°°°°°°°°°
Bwana yesu apewe sifa baba Naitwa Ragina Nipo Shinyanga
juzi nimeota ndoto nipo nababa kwenye gari la CCM tunaendeshwa sikujua tunaelekea wapi lkn baadae tukafka sehemu flan kuna kama mkutano wa CCM, watu wakawa wanacheza lkn baba akawa amesimama yani kama mtu mwenye wadhifa flan ivi, sikujua inamaana gani, lkn baba yeye anafanya kazi CCM ni katibu Mwenezi Wilaya, kiuhalisia wakuendeshwa na kukaa siti ya mbele ni katibu wao wa Wilaya sasa sijui unamaana gani baba.
#MAANA YA NDOTO YAKO
Unajulishwa hivyo.
Ndoto ulivyoota ndiyo ilivyo itaenda kutokea
#IJUE NDOTO YAKO ULIYOOTA
AYUBU;33;14-15
Shalom Pastor, Naitwa Angel nipo dar, paster nimeota mume wangu kaachishwa kazi yeye na rafiki yake Kuna kosa wamefanya lakin sikuonyeshwa nikosa gani, Sasa Mimi ndio nkawa nalia lakin yeye hakuonyesha hata dalili yakuumia Wala kusigitika namuuliza tutaishije yeye hana hata wasiwasi Mimi ndo nalia nawaza watoto wataendaje shule.
MAANA YAKE NDOTO YAKO
\\========================//
Ni ujumbe ndiyo inaenda kutokea omba kemea hiyo roho ukiomba haitatokea
#IJUE NDOTO YAKO ULIYOOTA
Ayubu;33;14_15
Andika ndoto yako kwa mfano huu inbox WhatsApp
🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍊🍊🍊
Bwana Yesu asifiwe mtumishi Naitwa Noreen mlay kutoka Morogor nisaidie sijaelew kuhusu hii ndoto Nimeot nipo na Babu anaenda kunifundisha kupigan tukapit kando ya mashamba ya Nyanya na mahindi yamestawi sana nikadondosh fimbo yangu ndan ya shamba tukaenda kuomba tutolew nikavua viatu kuingia kutoka viatu vyangu havipo Babu akauzunik sana mm nikatoa viatu vingine kwenye mfuko wangu nikavaa Baad ya hapo nikapisha na kundi kubwa likiingia shamban nikawakaribisha akiwemo mdogo angu.
#MAANA YAKE NDOTO HII
🍅🍊🍊🍊🍊🍊🍊🍅🍅🍅
Unajulishwa Mungu atakupa mtumishi atakayekulea kiroho nakukufundisha jinsi ya kujisimamia mwenyewe yale matendo ya zamani utayaacha nakutembea Katika njia atakayokuelekeza huyo Mtumishi na utakuwa na ushindi.
Ombea litimie hili.
#IJUE NDOTO YAKO MAANA YAKE NINI?
Ujue Mungu Anakujulisha nini na ufanyie kazi..?
🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍇🍎🍎🍎🍎🍎🍎
Shalom Baba! NAITWA Stella nipo Geita
Leo nimeota ndoto mbili ya kwanza Mama yangu mzazi kapata ajali ktk ya gari 3 lkn hakuumia na tulikuwa mm, mdogo wangu wa kiume na mama yangu mdogo nililia sana tena mno wakawa wananizua nisende kuiangalia lkn mwishowe yale magari yakatolewa na mama akawa mzima kabisa.
°°°°°°°••••••••••°°°°°°°°°••••••••••°°°°°°°°°•••••
MAANA YA NDOTO HII.
Unajulishwa mama ipo roho inafatilia kazi zake inayotaka kuua biashara zake Sema watu wakatibu watoto wake na mdogo wake wanamsaidia Kemea hiyo roho omba kwa ajili yake.
Tuma Ndoto Yako inbox Jina lako na ulipo
WhatsApp +255759861768
#IJUE NDOTO YAKO MAANA YAKE
AYUBU:33:15
Tuma inbox kwa kufata mfano huu
🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍎🍅🍅🍅🍅
Bwana yesu apewe sifa baba Naitwa Ragina Nipo Shinyanga mm nimeota nimerudi kijijini kwetu tukawa tunatembea tembea kwenye mashamba na mama lkn maishi nilomkuta nayo mama yalikuwa magumu sana kakonda kabadilika sura kawa mzee haeleweki, tulipokuwa tunatembea akasema tupite kwa ndugu yake ale maana alikuwa na njaa sana , hadi saiv natafakari sielewi moyo unauma kila muda sielewi ina maana gani Nisaindie?
🍈🍈🍈🍈🍈🍈MAANA YA NDOTO 🍈🍊🍊🍊🍊🍊🍊🍊🍊
Unajulishwa mama yako anapita kwenye wakati mgumu wakati mwigine analala njaa uje ukamuone mama yako
Tuma Inbox WhatsApp Pastor Richard +255759861768
#IJUE NDOTO YAKO ULIYOOTA
Tuma inbox kwa mfano huu
✔✔✔✔✔✔✍✍✍✍
Naitwa Yahaya Ally nipo katoro Geita. Nimemaliza chuo. Naota niko nasoma shule ya msingi. Na ndoto hii hunitokea marakwamara na kweli mtumishi kila ninalolifanya linafeli. Naomba msaada wako🙏🏻
MAANA YAKE MUNGU ANASEMA NAE.
••••••••••°°°°°°•••°°•••••••°°°°°°°•••°°°°°•••
Unajulishwa huwezi fanikiwa Ipo roho inayokurundisha Nyuma kila ufanyacho kemea hiyo roho au fika kanisani Morogoro Veta Dakawa
Namba za kutuma Ndoto inbox WhatsApp +255759861768
#IJUE NDOTO YAKO
Ayubu;33;14-15
Shalom Bishop Richard
Naitwa Meshack Nimeokoka Nampenda nasumbuka na ndoto muda mrefu Sana.
Ninazo ndoto nyingi lakini ngoja nianze na hii miaka miwili Sasa imepita nikiwa Niko usingizi I nikota ndoto iko hivi nilijikuta nipo juu napaa Kama ndege wakati Niko juu nilipita kwenye msutu Nene miminiko juu msitu nauona kwa chini badae nikafika kwenye mlima wa mawe Mimi Niko juu mlima ukochini sasanikaanza kuwaza hivi ikitokea naanguka kwenye haya mawe nitabaki kweli wakati nawaza huku naendelea nasafali juu kwa juu baadae nilifika kwenye bonde ambalo alikuwa hata na mti mmoja nikaanza kutua wakati naendelea kutua nilipokalibia chini nikaona mtu mmoja amevaa guo nyeupe anag,as kama umeme amesimama amekinga mikono yake ili anidake nakweli akanidaka nikafika kwenye kiganja chake akaniambia wewe Ni mtu mkubwa sana nilikuwa naelekea kusini akageuka akangalia kasikazini akawa amepoteabasi baada yahapo nilipo angalia upande was magalibi nikaona kanisa kubwa Sana ila ndani Alina watu napale mlangoni nikaona mtu amesimama mlangou upande wa kulia amevaa guo yeupe Ni mlefu kupia walefu je maanayeke Nini Asante na Mungu akubaliki
#MAJIBU YA NDOTO YAKE
Unajulishwa Umeokolewa kwa sababu unahuduma ya uchungaji ndani yako lakini mahusiano yako na Mungu Yamekuwa Hayajakaa vizuri unatakiwa upate Baba wa Kiroho akulee ufikie wito wako na Mungu
WhatsApp Bishop Richard +255759861768
Tuma huku ndoto yako ujue maana yake
#IJUE NDOTO YAKO
Naitwa Happy Nipo Geita
Nilikuwa usingizini mara nikaona ziwa kubwa na ndani yake mitumbwi imebeba watu wengi mitumbwi mingi yote ina watu wamekaa kwenye hiyo mitumbwi nikawa nashangaa wakati nashangaa jins walivyojaa watu nikastuka usingizin.
MAANA YAKE NDOTO YAKO
Mtubwi ni kanisa maji ya ziwa nineno
Kushagaa kustaajabu watu wanavyozidi kufata neno la Mungu kwa wigi Sana.
USHUHUDA MAONO
Hakika! maana Jana yake nilikuwa kwenye mkutano wa injili na watu walikuwepo wengi Sana . Ubarikiwe sana Pastor.
.
IJUE NDOTO YAKO INAMANA GANI
Sharom baba naitwa Neema nipo Mwanza usiku wa leo nimeota ndoto tumemaliza form baada ya matokeo kutoka majina yakabandikwa marafiki zangu wakawa wamechaguliwa kuendelea masomo halafu jina langu sikuluonapo nikaona tu la neema mwingine lakwangu nikalikosa kwenye matokeo, nilipoamka nikawa sina amani wakati ninamda nimemaliza shule,nisaidie ndoto hii maana yake
MAANA YAKE
Unajulishwa rafiki zako watavuka wenye changamoto moja nawewe zinazofanana lakini wewe bado unavizuizi.
Omba Ninakataa kila changamoto zinazopangwa juu yangu kwa jina la Yesu.Amen
SURA YA SABA: MAOMBI YA SHUKURANI.
Baba Mwana na Roho Mtakatifu nawashukuru kwa kuniwezesha kuandaa kitabu hiki na kukitoa kikawe ufunguo wa watu wengi wakafunguliwe ufahamu wao katika jina la Yesu Ameni.
IJUE NDOTO YAKO INAMANA?
Ushuhuda wa Loveness kutoka kivule
Bwana yesu asifiwe mtumishi kwa majina naitwa lovenes nipo kivule.mimi naota ndoto mchana usiku sioti.huwa naota mala nyingi niliko toka kwenye ukoo wangu mala bibi anaumwa .mala kaka yangu kapata ajari mala misiba
MAANA YA NDOTO
Unaambiwa mafanikio yako yamefungwa kijijini kwenu Omba maombi ya kukomboa nafsi
#ADHIBITISHA UHALISIA.
Jaman asant baba mchungaji nikweli kabisa kila nikitafuta kz sipati napata za ndani tu
#IJUE NDOTO YAKO INAMANA IPI..?
Shalom baba mchungaji mimi naitwa pilly harun nakaa shinyanga nimeota ndoto nipo nimekaa tu na mwanaume ambaye siye mchumba wangu gafla nikageuka nyuma nikamuona mwanaume wangu ambae hatupo nae sawa kwa sasa ananiangalia akawa ameishiwa raha tafadhali baba nisaidie maana yake.
#MAANA YAKE
Unajulishwa mahusiano yenu yataingia katika hali ya kutoaminiana na kwenda kuvunjika kabisa.
MWISHO
Shukurani kwa Mungu na Roho Mtakatifu Nawashukuru Wanangu waliopo kila mkoa nashukuru kanisa la makao makuu.
ZINGATIA:
Hairusiwi ukopi au utoe kopi popote pale kitabu hiki bila ridhaa ya mumiliki wa kitabu hiki yeyote atakayetoa taarifa Juu ya wanaokopi atapatiwa Zawadi Tunza kitabu hiki na ujipatie nakala original
Simu za Pastor Richard +255759861768 Au tuma ujumbe WhatsApp tu.
Maoni
Chapisha Maoni