Machapisho

SOMO: MALAIKA WAKUU 12 NA KAZI ZAO

SOMO: MALAIKA WAKUU 12 NA HUDUMA YAO KWA MWANADAMU ​Malaika ni "roho watumikao, wakitumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu" ( Waebrania 1:14 ). Kila malaika ana sifa, kazi, na mamlaka maalum aliyopewa na Mungu. Ni Vizuri Mno Kuwajua Malaika Na Ukajua Namna Ya Kuwa tumia Leo nimekuletea Malaika 12 Utawala Kamili Wa Ki Mungu Ufunuo;21:12 Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro Nipo Vets Dakawa Morogoro WhatsApp+255710889892 ​1. Malaika Mikaeli (Mlinzi na Shujaa) ➖​ Sifa & Kazi:✍🏾 Kiongozi wa majeshi ya Mungu; mpiganaji dhidi ya shetani na nguvu za giza. ​➖ Anavyotusaidia:  ✍🏾Kutulinda na mashambulizi ya kiroho, kutupa ujasiri, na kuvunja vifungo. ​ Maandiko Ya Kusimamia  ✍🏾: Yuda 1:9, Ufunuo 12:7-8. ​2. Malaika Gabrieli (Mjumbe wa Habari Njema) ➖​ Sifa & Kazi:✍🏾 Mjumbe mkuu wa siri za Mungu; mtaalamu wa mawasiliano ya kimungu. ​➖ Anavyotusaidia:✍🏾 Kuelewa kusudi la Mungu, kupata habari njema, na kufungua milango ya fursa. ​ Maandiko Ya Kusimamia ✍🏾 ...

MAOMBI YA KUOMBA KABLA HUJALALA

MAOMBI YA KUOMBA  WAKATI UKIWA UNALALA Neno la Usiku (Zaburi 121:3-4) ​ "Asiuache mguu wako usogezwe; Akulindaye asisinzie. Tazama, Yeye alindaye Israeli hasisinzii wala halali usingizi." ​Maombi ya Usiku ​1. Shukrani ​"Mungu Baba, asante kwa neema yako iliyoniongoza siku ya leo. Asante kwa pumzi ya uhai na kwa ulinzi wako katika kila hatua niliyopiga. Nakushukuru kwa riziki, afya, na kwa kuniepusha na mabaya yaliyokuwa wazi na yale ya siri."Katika Jina la Yesu.Ameen ×3 ​2. Toba ​"Naomba unisamehe kwa yote niliyokukosea leo, iwe kwa mawazo, maneno, au matendo. Takasa moyo wangu na unipe roho ya unyenyekevu na upendo kwa wengine. Katika Jina la Yesu. Ameen×3 ​3. Ulinzi na Amani ​"Baba, nikienda kulala sasa, naomba malaika wako wa ulinzi wakazunguke nyumba yangu na familia yangu. Ondoa kila hofu, wasiwasi, au mashaka ya kesho. Funika usingizi wangu kwa damu yako takatifu; niamushe nikiwa na nguvu mpya na tumaini jipya la kuendelea na majukumu yang...

SOMO: ISHARA ZA MIGUU KUWASHA

SOMO: ISHARA ZA MIGUU KUWASHA NA MIKONO KIROHO INAASHIRIA NINI.  Mungu husema nasi pia kupitia Viungo vyetu Vya Mwili Shida ni kumuelewa. Soma hizi ishara ​1. Macho Kucheza  ​Katika ulimwengu wa roho, macho yanawakilisha maono na utambuzi . ➖​ Jicho la kulia kucheza:✍🏾  Mara nyingi huashiria habari njema inayokuja, kuona jambo la heri, au kukutana na mtu uliyemtamani kumuona. Inaashiria "maono ya baraka." ➖​ Jicho la kushoto kucheza:  ✍🏾Huashiria tahadhari dhidi ya habari mbaya, huzuni, au njama zinazopangwa dhidi yako. Ni ishara ya kiroho kukuambia uwe macho na mazingira yako. ​ Mstari wa Biblia:✍🏾   "Taa ya mwili ni jicho; basi jicho lako likiwa safi, mwili wako wote utakuwa na nuru."   ( Mathayo 6:22 ) ​2. Mikono Kuwashwa  ​Mikono inawakilisha kazi , mamlaka , na mapokezi . ➖​ Kiganja cha kulia kuwashwa:✍🏾 Hii ni ishara ya kupokea . Inaweza kuwa fedha, zawadi, au fursa mpya ya kazi. Ni ishara kwamba mbegu uliyopanda inakaribia kuto...

SOMO:MAOMBI YA KUWEKA ALAMA KWA MUNGU

SOMO; MAOMBI YA KUWEKA ALAMA KWA MUNGU NAYE KUMWAMBIA AWEKE ALAMA KWAKO. :::::::::::........';;,,;;,,,,,,,,,,,,::::::.........::::::::::' Huwa Ipo nguvu Unapoona Umeomba Sana Kitu Hakijawa au Umefunga Sana Hujajibiwa ingia Maombi Ya Kuweka Alama Kwa Mungu Kuweka Makubaliano naye Kama Ezekiel; Soma Isaya:38 habari ya Hezekieli. Kama Unaweka Alama Weka Alama Kubwa itakayoponya roho zilizopotea  MFANO:Una kiwaja unaweza toa hata robo kwa ajili ya Bwana Kanisa likasimama roho zikaokolewa au Nunua Mziki Kanisani. Mambo haya Mawili Yanahubiri Na Kuweka Alama Kubwa kwenye Moyo wa Bwana ila Kama uwezo upo chini huna kiwaja unaangalia nilichoelekeza hapa chini. Kisha usiweke fikira au kuhesabu Ili ufanye Alama yako ilete matokeo kuliko uweke unaanza kunug,unika au kulaumu nisingetoa hiki Kwa Mungu kisa kachelewa ukiamua kuweka Alama Weka Huku ukijua unamuwekea Mungu iwe kama Sababu mimi nimeweka Alama hii nawewe weka Alama hii kwangu.         Tunasimamia Vitabu hivi: TAF...

SOMO:ISHARA ZA PAKA KIROHO ZILIZOHATARI

SOMO: ISHARA ZA KIROHO ZA PAKA NA USHINDI DHIDI YA MAAGANO YA GIZA ​ Mwalimu: Pastor Richard (Morogoro) ​UTANGULIZI ​Ulimwengu wa roho hauna midomo ya nyama, hivyo hutumia ishara na viumbe hai kufikisha ujumbe au mashambulizi. Paka amekuwa akitumiwa kwa karne nyingi kama chombo cha upelelezi na madhabahu za kichawi. Muumini anapaswa kuwa na macho ya rohoni ili kutofautisha kati ya paka wa kimaumbile na paka aliyetumwa kama wakala wa giza.  Ninaitwa Pastor Richard Wa Morogoro Veta Dakawa WhatsApp+255710889892 Hurusiwi kufuta au kuongeza hili ni somo la Kiroho soma mwisho naelekeza namn ​ Mstari wa Msingi Tunaosimamia ​ "Mwe na kiasi, kesheni; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ameze." ( 1 Petro 5:8 ) ​SEHEMU YA KWANZA: ✍🏾ISHARA 7 ZA KIROHO ZA PAKA Hizi ni Ishara Usipuuze Unapoziona Kiroho Zinakuwa Zina Maana Kubwa PAKA unapomuona Atoa Ishara hizi Paka ni Madhabahu Ya Kichawi ​1. 1⃣➖PAKA KULIA SAUTI KAMA MTOTO NJ...

SOMO:USIMAMIZI WA FEDHA KI-MUNGU

SOMO: USIMAMIZI WA FEDHA KI-MUNGU. Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro WhatsApp +255710889892 ​1. Usimamizi ni nini? ​Usimamizi ni sanaa au uwezo wa kutunza, kuongoza, na kuendeleza rasilimali ambazo umekabidhiwa na mmiliki halali. Katika muktadha wa fedha, msimamizi ni mtu anayetambua kuwa fedha na mali zote ni mali ya Mungu, na yeye amepewa dhamana ya kuzitumia kwa busara kwa ajili ya mahitaji yake, familia, na kazi ya Mungu. ​ Mistari ya Biblia: ​ Zaburi 24:1:   "Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake." ​ 1 Wakorintho 4:2:   "Hapo tena inayohitajika katika mawakili, ni mtu aonekane kuwa mwaminifu." ​2. Hatua Unazotakiwa Kuzipitia ​Ili kuwa na usimamizi bora, unapaswa kupita katika hatua hizi nne: ➖​ Elimu na Maarifa:✍🏾  Huwezi kusimamia kile usichokijua. Jifunze misingi ya uchumi na kanuni za Biblia kuhusu fedha.. ​➖ Kutathmini Hali Yako (Assessment):✍🏾  Jua una kiasi gani, unadaiwa kiasi gani, na unatumia kiasi gani kwa mwezi....

SOMO; MBINU ZA KUVUNA WATU

SOMO: MBINU ZA KUVUNA WATU NA KUWALETA KWA YESU Karibuni SOMO hili Nzuri ​Kuvuna watu (Uinjilisti) si kazi ya wahubiri pekee, bali ni agizo la kila mwamini. Ili kufanikisha hili, tunahitaji mkakati wa kiroho na wa kiutendaji.Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Karibu.  ​1. Maandalizi ya Kiroho (Maombi ya Upatanisho) ​Kabla ya kusema na watu kuhusu Mungu, lazima useme na Mungu kuhusu hao watu. Maombi hulegeza mioyo migumu na kufungua milango ya ufahamu. ​Andiko la Kusoma:- : “Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote.” (1 Timotheo 2:1) ​Mambo Ya Kufanya: 1:​Omba Roho Mtakatifu akupe 2: "Macho ya Kiroho" kuwaona wenye uhitaji..  ​3:Vunja ngome za shetani zinazowazui 4:​Omba Mungu akukutanishe na mtu ambaye moyo wake umeshaandaliwa. ​2. Jenga Uhusiano wa Upendo (Ushuhuda wa Maisha) ​Watu wengi huvutiwa na tabia yako kabla hawajavutiwa na maneno yako. Upendo ni lugha inayoeleweka na kila mtu. ​Andiko la Kusoma “Vivy...

SOMO:HATUA ZA MSINGI ZA KUKUA KIROHO

SOMO: HATUA ZA MSINGI KWA MWOKOVU MPYA (KUKUA NA KUDUMU KWENYE WOKOVU) ​Kuokoka ni kama kuzaliwa mara ya pili. Mtoto mchanga anahitaji maziwa, matunzo, na ulinzi ili akue na kuwa mtu mzima. Vivyo hivyo, mwokovu mchanga anahitaji mambo yafuatayo ili asirudi nyuma: Karibuni Ufatane Nami Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro WhatsApp+255710889892 Mbarikiwe Wachungaji Mnaochukuaga Masomo haya nakuwafundishia Waumini Kanisani ili Kulikunza Na Kuliimarisha Kanisa.  ​1. Neno la Mungu (Chakula cha Kiroho) ​Kama vile mwili unavyohitaji chakula, roho inahitaji Neno la Mungu ili ipate nguvu na maarifa. Unatakiwa upate Mafundisho ukiokoka Tu Hakikisha Unahuzuria Mafundisho Yatakayokujengea Msingi Wa Kuimarika Kiroho weka ratiba ya Kusoma Biblia ​ Cha kufanya: Anza kusoma Biblia kila siku. Inashauriwa kuanza na Injili ya Yohana ili kumjua Yesu vizuri. ​ Mstari: "Kama watoto wachanga waliozaliwa sasa yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa, ili kwa hayo mpate kuukulia wokovu." ( 1 P...

MISTARI YA UTOAJI AGANO JIPYA

​ 2 Wakorintho 9:7 ​" 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu." ​"Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake, si kwa huzuni, wala si kwa lazima; maana Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo wa ukunjufu." ​ Luka 6:38 ​" 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa; kipimo cha kujaa na kushindiliwa, na kusukwasukwa, hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa kifuani mwenu." ​"Wapeni watu vitu, nanyi mtapewa; kipimo cha kujaa na kushindiliwa, na kusukwasukwa, hata kumwagika, ndicho watu watakachowapa kifuani mwenu." ​ Mithali 3:9-10 ​" 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 Mheshimu Bwana kwa mali yako, na kwa malimbuko ya mazao yako yote..." ​"Mheshimu Bwana kwa mali yako, na kwa malimbuko ya mazao yako yote..." MANENO YA HEKIMA ...

SOMO:ADUI KUTANGULIA MBELE YAKO

SOMO: ADUI KUTANGULIA MBELE ​Lengo: Kuelewa mbinu za adui za kuweka vizuizi kabla hujafika na jinsi ya kurejesha mamlaka yako. ​1. UTANGULIZI Naitwa Pastor Richard Ninakukaribisha SOMO hil ​Katika ulimwengu wa roho, kuna dhana ya "kutangulia." Kama vile Mungu anavyotangulia mbele yetu kunyoosha njia (Isaya 45:2), adui naye hujaribu kutangulia mbele ili kuchafua mazingira, kuweka mitego, au kufunga milango kabla hujafika kwenye hatima yako. Somo hili litakusaidia kuelewa kuwa vita vingi tunavyopigana leo, vilipandwa jana na adui aliyetangulia mbele. ​2. VITABU VYA KUSOMA ​Ili kupata picha kamili ya somo hili, pitia maandiko haya: Tafakari kwa Kina.  ​Kutoka 23:20-23 (Mungu anapotuma malaika atangulie). ​Mathayo 13:24-30 (Mfano wa ngano na magugu – adui alitangulia kupanda magugu usiku). ​Zaburi 139 (Mungu anavyojua mienendo yetu).. ​Waefeso 6:10-18 (Silaha za vita). HASARA YA ADUI KUTANGULIA MBELE YAKO 1:Hasara: Mitego ya Siri Adui anapotangulia, huandaa mashimo na mitego amba...

SOMO: AF YA YA AKILI

     SOMO: AFYA  YA AKILI YAKO.  Shalom Mwana Wa Baba Yangu Nakusalimu Kwa Jina Yesu. Ameen.  Jina langu: Pastor Richard Wa Morogoro Kanisa la Holy Spirit Church Tanzania.  Makao Makuu Morogoro Veta Dakawa Karibu katika Ujumbe huu.  👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 Watu Wengi Sana Wameshindwa Kuzilinda AKILI zao katika hatari mbalimbali za kiroho na Mzunguko mzima Wa maisha wanayoishi Wakesahau kutunza Afya za AKILI. Kiufupi AKILI nikiungo kidogo Sana lakini Kikishambuliwa au kikawa na magonjwa hakitamudu kufanya chochote Watu Wengi huwa hili hatulijui kuwa Afya ya Akili yako ni Ufanisi mzuri Wa namna unavyoweza kukabili changamoto mbalimbali.  AKILI Ni Nini..? Akili ni Uwezo Wa Kufikiri Kuitatua na Kukabili changamoto mbalimbali na Kujitsmbua.  Akili ndiyo inayokuwezesha Kuishi na Mazingira mbalimbali na kila Hali unayoipitia.  👇👇👇👇 Mathayo 22:37 Yesu akamjibu, “ ‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa ...