SOMO: MALAIKA WAKUU 12 NA KAZI ZAO
SOMO: MALAIKA WAKUU 12 NA HUDUMA YAO KWA MWANADAMU Malaika ni "roho watumikao, wakitumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu" ( Waebrania 1:14 ). Kila malaika ana sifa, kazi, na mamlaka maalum aliyopewa na Mungu. Ni Vizuri Mno Kuwajua Malaika Na Ukajua Namna Ya Kuwa tumia Leo nimekuletea Malaika 12 Utawala Kamili Wa Ki Mungu Ufunuo;21:12 Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro Nipo Vets Dakawa Morogoro WhatsApp+255710889892 1. Malaika Mikaeli (Mlinzi na Shujaa) ➖ Sifa & Kazi:✍🏾 Kiongozi wa majeshi ya Mungu; mpiganaji dhidi ya shetani na nguvu za giza. ➖ Anavyotusaidia: ✍🏾Kutulinda na mashambulizi ya kiroho, kutupa ujasiri, na kuvunja vifungo. Maandiko Ya Kusimamia ✍🏾: Yuda 1:9, Ufunuo 12:7-8. 2. Malaika Gabrieli (Mjumbe wa Habari Njema) ➖ Sifa & Kazi:✍🏾 Mjumbe mkuu wa siri za Mungu; mtaalamu wa mawasiliano ya kimungu. ➖ Anavyotusaidia:✍🏾 Kuelewa kusudi la Mungu, kupata habari njema, na kufungua milango ya fursa. Maandiko Ya Kusimamia ✍🏾 ...