SOMO:BINU (7) ZA KUBORESHA MAHUSIANO MNAPOANZA MAHUSIANO
✍️✍️✍️SOMO; BINU SABA(7) ZA KUBORESHA MAHUSIANO MNAPOANZA MAHUSIANO. Mithali;31;7-12 Mithali;12;4 ✍️✍️ MASOMO ya WANANDOA ✍️✍️MWAL.PASTOR RICHARD ✍️✍️SIMU+255759861768 Nipo Morogoro Veta Dakawa Karibu Katika DARASA la Wanandoa Leo naongelea Mambo mhimu unatotakiwa uyafanye ukiwa ndio unaanza mahusiano Yako au ulishaanza mahusiano lakini umeyafanya mzoeane mpaka vitu vigine ulivyokuwa unavifanya saivi huvifanyi Basi Karibu ujifunze Cha Kwanza Msingi wa mahusiano Yako au ndoa huaza kutengenezwa mkiwa ndio mnaanza ukifanya makosa hapo unaweza kuadaa kitu kitakachokunyima Amani. 1.✍️✍️Mwanzo wa Mahusiano. 🎈🎈🎈🎈🎈🎈🎈🎈 Msidanganyane(a)Mwambie mwenzi wako ukweli. (b)Mwambie yale unayopenda na usiyopenda. (c)Kuwa muwazi kwa mwenzi wako. (d)Onyesha upo tayari kuachana na mambo yote uliyokuwa umeyazoea ambayo kwa sasa yanaweza bomoa uhusiano wenu. 2.✍️✍️Mfanye Mwenzako Ajisikie ni wa Muhimu. 🎈🎈🎈🎈🎈🎈😮😮 (a)Tenga muda maalumu wa kuwa naye. (b)Onyesha unafurahia uwe...