Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari 28, 2016

SOMO:SAFARI YA MTU TAJIRI NA MASIKINI DUNIANI. MITHALI.28-11

TAJIRI NI MTU GANI? ni mtu aliyeridhika kimaisha mwenye kila kitu alichotaka au umwinyi MASIKINI NI NANI? ni mtu asiye na kitu alichotamani awe nacho au ni utumwa wa maisha magumu SAFARI ZA WATU HAWA HUANZIA UJANA WAO. MTU MASKINI huukaribisha umaskini toka akiwa kijana anakuwa mvivu wa kujituma katika kazi au kuwa anafanya kazi pasipo na malengo kijana huyu hatataka kujifunza kwa vijana wezake atafanya kazi pesa yote itaishia katika starehe tu atashindwa kununuq kitanda hata ngodoro  akili yake itawaza kuolewa au kuoa badala ya to fight life everytime man make postive life naver think negative life poor man your succes not camming coz the unprove mood pia umasikini mtu humkuta asipojipanga akiwa na nguvu yeye anakaribisha uvivu na kushinda kijiweni kujiuga na makundi ya ajabu  kufumba na kufumbua uzee huo hunaanza kulaamu ndugu wazazi marafiki unaanza mara kwa mjomba mara kwa shemeji mara huku unawapa mzingo watu kwa akili yako haikufanya kazi ujanani unailazimish...

USHUHUDA WA BINTI WA MIAKA 38 KOLEWA BAADA YA MAOMBEZI

USHUHUDAA HUU KARIBU UKUJENGE IMANI UNAELILIA MME AU MKE UMEFIKIA HATUA UMEKATA TAMAA KARIBU UFATILIE USHUHUDA HUU WA FROLA KUTOKA SIMIYU MKOA MPYA. baada ya kufatilia shuhuda za matendo makuu ya mungu anayoyatenda kwa wanaomkimbilia alichukuwa namba akanipingia akanieleza naitwa flora nimekuwa nateseka sana na mahusiano kila kijana naempata anaishia kuniogopea tu inapofikia hatua tukatambulishane anakuwa na moyo mgumu halafu baada ya mda wanaiacha akija mwingine anakuja na ngia ya kukuoa mpaka atajitambulisha kwa wazazi lakini mwisho wa siku anatimiza lengo lake anakuacha mpaka  sasa baba na miaka 38 naona umri unanitupa mkono baba naomba uniombee niolewe MCHUNGAJI.pole sana binti yangu hivi unajua nadhiri ulishawawekea wagapi nadhiri FLORA.wengi sana bab MCHUNGAJI.nitafugua nadhiri na vifungo vya mapepo nilivunja nadhiri na kuanza kumuombea nikamuongoza toba nasamaha nikaanza kumuongonza njia ya mungu nashukuru alikuwa msikivu na dani ya miwili alijibiwa na mungu na akan...