Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili 10, 2022

SOMO;MUNGU WA FOMULA

SOMO ;●MUNGU WA KANUNI KATIKA UTENDAJI WAKE  ___------____-----____--____------___^^^^^^^***** Mungu wetu hutumia Kanuni rahisi Sana Kutembea nasisi Watoto Wake Isipokuwa sisi Wanae hatuna Uelewa Kuhusu Fomula au Kanuni Za Mungu Basi Nakukaribisha Baadhi Naenda Kuzieleza. Karibuni Tujifunze Kanuni za Kimungu Katika Kitembea naye. 1:UKIKATA TAMAA KANUNI YA MUNGU ANAKUACHA KUKUTETEA UNASHINDWA NA ADUI USIJIBIWE ULICHOOMBA. MAOMBI YAKO ANAMJIBU AMBAYE HAJAKATA TAMAA. Wewe anakuacha na hivyo mpaka uje uache kukata tamaa au kumunug,unikia Mhubiri 2:20 [20]Kwa hiyo nikageuka kukata tamaa moyoni mwangu juu ya kazi yangu yote niliyojishughulisha nayo chini ya jua.  2:USIPOOMBA MUNGU  HAKUPI HITAJI LAKO KANUNI YA MUNGU HAKUPI HAJA YAKO KAMA HUOMBI  ANAMPA AOMBAYE  NDIYO ANAMJIBU WALA HAJISHUGHULISHI NAWE AMBAYE HUTAKI KUJISHUGHULISHA NAE  Ukimuomba lazima Akupe utakacho au haki yako  Yohana 15:7 [7]Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, o...