SOMO. KUHARIBU UJAUZITO.{kutoa mimba} KUTOKA 20-13" ZABURI.139:13
KUHARIBU UJAUNZITO NINI? ሰi kitendo cha mtu kuua kijusi kinachokua tumboni mwa mjamnzito. au nikua kiumbe cha mungu. KUNA SEHEMU KUU MBILI ZA KUHARIBU UJAUNZITO. 1"MIMBA KUHARIBIKA KWA NJIA YA SHETANI 2"MIMBA KUHARIBIWA NA MKE AU MME. KUHARIBIKA MIMBA KWA NJIA YA SHETANI. ኸተ kitendo kinachomfa mjamnzito mimba inaharibika au inatoka yenyewe tu kazi hii huwa ni shetani anatoa kafara kuzimu eiza kati yenu anapenda kushika dawa za kienyeji ni virahisi shetani kutumia ajent wake wachukue kiumbe ktk tumbo lako hilo huwa mpango wa shetani kwa njia mbovu zenu SHETANI ANAHARIBU VIPI MIMBA. shetani hutumia wafasi wake hawa. -MAPEPO YA KUTOA KAFARA KUZIMU -WACHAWI KAMA NYAMA YAO NA MAFUTA YA KUSAFILIA MBALI. -WAGANGA MMOJA WENUAU WOTE ANAPOKUWA MWANACHAMA WAO NJISI WANAVYOMUINGIA MTU. pepo humvaa mwanamke anamnjazia mawazo nakumwambia toa ujauzito si baba yake kamkataa atatoa kijana nae pepo atamvaa na kumwambia wewe ujajipaga hutoweza kulea mtoto ...