Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari 27, 2016

SOMO. KUHARIBU UJAUZITO.{kutoa mimba} KUTOKA 20-13" ZABURI.139:13

KUHARIBU UJAUNZITO NINI? ሰi kitendo cha mtu kuua kijusi kinachokua tumboni mwa mjamnzito. au nikua kiumbe cha mungu. KUNA SEHEMU KUU MBILI ZA KUHARIBU UJAUNZITO. 1"MIMBA KUHARIBIKA KWA NJIA YA SHETANI 2"MIMBA KUHARIBIWA NA MKE AU MME. KUHARIBIKA MIMBA KWA NJIA YA SHETANI. ኸተ kitendo kinachomfa mjamnzito mimba inaharibika au inatoka yenyewe tu kazi hii huwa ni shetani anatoa kafara kuzimu eiza kati yenu anapenda kushika dawa za kienyeji ni virahisi shetani kutumia ajent  wake wachukue kiumbe ktk tumbo lako hilo huwa mpango wa shetani kwa njia mbovu zenu SHETANI ANAHARIBU  VIPI MIMBA. shetani hutumia wafasi wake hawa. -MAPEPO YA KUTOA KAFARA KUZIMU -WACHAWI KAMA NYAMA YAO NA MAFUTA YA KUSAFILIA MBALI. -WAGANGA MMOJA WENUAU WOTE ANAPOKUWA MWANACHAMA WAO NJISI WANAVYOMUINGIA MTU. pepo humvaa  mwanamke anamnjazia mawazo nakumwambia toa ujauzito si baba yake kamkataa atatoa kijana nae pepo atamvaa na kumwambia wewe ujajipaga hutoweza kulea  mtoto ...

USHUHUDA WA MWANAMKE ALIYETOKWA BLIND KWA WIKI TATU MFULULIZO.

NILIFIKA WORD YA WANAWAKE HAPA NZEGA HOSPITALI. baada ya kufika hapo nikiwa nimeenda kuombea wagonjwa na kuwasalimia nilikutana na mwanamke aliyekuwa anamwanga damu kama maji nilijitambulisha kwake kuwa naitwa mchungaji richard nahusika na maombezi kwa watu wote nilimuuliza bint yangu unamda gani hii hali ikukute alisema wiki mbili alikuwa nyumbani tu na anawiki kaletwa hosptalin lakini hali ilikuwa mbaya sana nikamwambia unajua mungu apendi uteseke nikamwambia nataka nikaifunge hali hii je wa mwamini mungu alinijibu ndio nikamwambia baba ulisema utanituma kwa watu wako ninaifunga damu isitoke tena nawe damu na pepo uliekuwa unamtesa bint yangu mwachie mara moja na ikawe ivyo dani ya siku 3 katika jina la yesu. kweli siku ya tatu damu ilikuwa haimtoki kesho yake alitoka hospitalini. USHUHUDA HUU YAMKINI UNAPITIA KIFUNGO HIKI CHA KUBLIND DAMU NYINGI SASA WAKATI WAKO WA KUMPA YESU TATIZO LAKO NAITWA MCHUNGAJI RICHARD FROM NZEGA TABORA TANZANIA WASILIANA NAMI SIMU.+2557...