Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei 23, 2026

SOMO: MALAIKA WAKUU 12 NA KAZI ZAO

SOMO: MALAIKA WAKUU 12 NA HUDUMA YAO KWA MWANADAMU ​Malaika ni "roho watumikao, wakitumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu" ( Waebrania 1:14 ). Kila malaika ana sifa, kazi, na mamlaka maalum aliyopewa na Mungu. Ni Vizuri Mno Kuwajua Malaika Na Ukajua Namna Ya Kuwa tumia Leo nimekuletea Malaika 12 Utawala Kamili Wa Ki Mungu Ufunuo;21:12 Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro Nipo Vets Dakawa Morogoro WhatsApp+255710889892 ​1. Malaika Mikaeli (Mlinzi na Shujaa) ➖​ Sifa & Kazi:✍🏾 Kiongozi wa majeshi ya Mungu; mpiganaji dhidi ya shetani na nguvu za giza. ​➖ Anavyotusaidia:  ✍🏾Kutulinda na mashambulizi ya kiroho, kutupa ujasiri, na kuvunja vifungo. ​ Maandiko Ya Kusimamia  ✍🏾: Yuda 1:9, Ufunuo 12:7-8. ​2. Malaika Gabrieli (Mjumbe wa Habari Njema) ➖​ Sifa & Kazi:✍🏾 Mjumbe mkuu wa siri za Mungu; mtaalamu wa mawasiliano ya kimungu. ​➖ Anavyotusaidia:✍🏾 Kuelewa kusudi la Mungu, kupata habari njema, na kufungua milango ya fursa. ​ Maandiko Ya Kusimamia ✍🏾 ...

MAOMBI YA KUOMBA KABLA HUJALALA

MAOMBI YA KUOMBA  WAKATI UKIWA UNALALA Neno la Usiku (Zaburi 121:3-4) ​ "Asiuache mguu wako usogezwe; Akulindaye asisinzie. Tazama, Yeye alindaye Israeli hasisinzii wala halali usingizi." ​Maombi ya Usiku ​1. Shukrani ​"Mungu Baba, asante kwa neema yako iliyoniongoza siku ya leo. Asante kwa pumzi ya uhai na kwa ulinzi wako katika kila hatua niliyopiga. Nakushukuru kwa riziki, afya, na kwa kuniepusha na mabaya yaliyokuwa wazi na yale ya siri."Katika Jina la Yesu.Ameen ×3 ​2. Toba ​"Naomba unisamehe kwa yote niliyokukosea leo, iwe kwa mawazo, maneno, au matendo. Takasa moyo wangu na unipe roho ya unyenyekevu na upendo kwa wengine. Katika Jina la Yesu. Ameen×3 ​3. Ulinzi na Amani ​"Baba, nikienda kulala sasa, naomba malaika wako wa ulinzi wakazunguke nyumba yangu na familia yangu. Ondoa kila hofu, wasiwasi, au mashaka ya kesho. Funika usingizi wangu kwa damu yako takatifu; niamushe nikiwa na nguvu mpya na tumaini jipya la kuendelea na majukumu yang...