JINSI YA KUOMBA MAOMBI YA KUJIPATANISHA NA MUNGU 🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️ Hatua Za Kuzingatia 1:Moyo wako uugue nafsi yako ilie Kinywa Chako Kinene Kwa uchungu. 2:Omba Ukiwa Umesimama au Umepiga magoti Kanisani au chumbani. 3:Omba maneno uyatoe yasikike yakitoka kwa uchungu 4:Baada ya Kumaliza mshukuru Mungu kwa kupigapiga makofi ukisema Ansate Sana Baba. Mathayo : Mlango 20 2 Naye alipokwisha kupatana na wakulima kuwapa kutwa dinari, aliwapeleka katika shamba lake la mizabibu. 🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦 Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta dakawa Simu Kupiga jioni Saa 12 00 Namba+255759861768 Bwana Yesu Nasimama mbele Zako Mimi Mwanao Richard Moyo wangu unaugua Kwako unashauku nawewe Baba Yangu Nafsi Yangu inalia inalia inasema Baba mbona umeniacha Mimi Mwanao Agalia Nateseka Agalia Nadharaulika Nayaleta mashika haya Kwako Baba Yangu Nasimama Mimi Mtoto wako unanijua Vyema Kuliko ninavyojielewa unajua mifupa ya mwili wangu unaju...