Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Novemba 12, 2020

NDOTO 105 NA MAANA ZAKE

NDOTO 105 NA MAANA YAKE Ndoto huwa Ni Taarifa juu ya mhusika anaeota Kutoka Katika Biblia;Ayubu:33;14-15 Dilili kutoka katika Qur'an 49:12 يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اجْتَنِبُوا كَثِيرًا مِّنَ الظَّنِّ إِنَّ بَعْضَ الظَّنِّ إِثْمٌ وَلا تَجَسَّسُوا وَلا يَغْتَب بَّعْضُكُم ...

NDOTO 105 NA MAANA ZAKE

NDOTO 105 NA MAANA YAKE Ndoto huwa Ni Taarifa juu ya mhusika anaeota Kutoka Katika Biblia;Ayubu:33;14-15 Dilili kutoka katika Qur'an 49:12 يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اجْتَنِبُوا كَثِيرًا مِّنَ الظَّنِّ إِنَّ بَعْضَ الظَّنِّ إِثْمٌ وَلا تَجَسَّسُوا وَلا يَغْتَب بَّعْضُكُم ...

MAOMBI YA KUPATANA NA MUNGU

JINSI YA KUOMBA MAOMBI YA KUJIPATANISHA NA MUNGU 🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️ Hatua Za Kuzingatia 1:Moyo wako uugue nafsi yako ilie Kinywa Chako Kinene Kwa uchungu. 2:Omba Ukiwa Umesimama au Umepiga magoti Kanisani au chumbani. 3:Omba maneno uyatoe yasikike yakitoka kwa uchungu 4:Baada ya Kumaliza mshukuru Mungu kwa kupigapiga makofi ukisema Ansate Sana Baba. Mathayo : Mlango 20 2 Naye alipokwisha kupatana na wakulima kuwapa kutwa dinari, aliwapeleka katika shamba lake la mizabibu. 🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦 Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta dakawa Simu Kupiga jioni Saa 12 00 Namba+255759861768 Bwana Yesu Nasimama mbele Zako Mimi Mwanao Richard Moyo wangu unaugua Kwako unashauku nawewe Baba Yangu Nafsi Yangu inalia inalia inasema Baba mbona umeniacha Mimi Mwanao Agalia Nateseka Agalia Nadharaulika Nayaleta mashika haya Kwako Baba Yangu Nasimama Mimi Mtoto wako unanijua Vyema Kuliko ninavyojielewa unajua mifupa ya mwili wangu unaju...

SOMO:YAJUE HAYA UNAPOTAKA UFIKE MBALI

SOMO : YAJUE  HAYA UNAPOTAKA UFIKE MBALI KIMAISHA. Kutoka:3:1,18:1-7 Matendo:7:22 Zaburi:68;6 Mathayo:3;9-17 na sura ya 4 Mwanzo:12 🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦 UTANGULIZI Hatua Zinakufanya ufike pale unapoenda Kukaa chini nakujikstia Tamaa Inakufanya Usifike Lakini Waitaji Ujifunze Kwanini Hutembei Upo pale pale ujiulize Kwanini Shetani mapepo wachawi na magonjwa yanazidi kwako hayaishi Kwanini Mwaka unaisha au Umeshindwa kuendelea na Masomo. Basi Katika Somo Hili Litakupa muogozo mzuri wa Kiroho utakao kufanya ufike mbali. Naitwa Pastor Richard Napatikana Morogoro Veta Dakawa Simu za Kuogea na Pastor+255759861768 Tafuta MAKUNDI haya au Watu wa Sifa HIZI Utembee nao katika maisha au Safari yako ya mafanikio 1:UTAFUTE WAL...