SOMO: MBINU ZA MAOMBI
DARASA LA UJUNZI WA KUOMBA SOMO: MBINU ZA MAOMBI 1wafalme:8:28-45, Zaburi:6;9,๐๐ฟ17:1,๐๐ฟ39:12 Kuna mtu mmoja Anajiuliza Kwanini Ufalme wa ngiza Bado unamtawala Wakati Kuomba Anaomba Sana TU Hakuna Unafuu Karibu Ujifunze Mbinu na Tarata Ya Kuomba Katika Maarifa. Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa WhatsApp Number+255759861768 MAANA YA NENO MBINU ZA MAOMBI Ni ujuzi wa kuwasilisha mahitaji mbele za Mungu nakupokea. MBINU ZA MAOMBI ๐๐ฟMaarifa ya uombaji kwa mtu anaeomba SABABU YA SOMO HILI KUFUNDISHWA Ni kumuwezesha mwanamaombi aombe Vizuri na alete MATOKEO Ni Kuuteka ulimwengu wa Roho Mtakatifu Nakuumiliki Ni Kuwa mtawala na Mmiliki wa Ushindi wa Maisha Ya Kiroho. KUNA MAKUNDI MAWILI YA UTAALAMU NA UJUZI WA KUOMBA 1:MBINU YA MAOMBI YA KIJESHI๐๐ฟ{1samweli;17:25-58) ✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️ 2:MBINU YA MAOMBI YA KIFALME๐๐ฟ{Esther:2, Yakobo;2;8,1Nyakati;29;25 ✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️ 3: MBINU ZA MAOMBI YA KIKUHANI๐๐ฟ{Kutoka:19;6-24 Waebrania:7;10-28} ✔️✔️✔️✔...