Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Novemba 17, 2020

NDOTO 20 ZA KUTISHA ZIJUE MAANA YAKD

#NDOTO ZA KUTISHA ZIJUE MAANA YAKE: Tufunue Biblia:AYUBU:33:14-15 Mathayo:2:12-13 Matendo:2;17 NDOTO ZA KUTISHA huwa zinaoparetiwa na majeshi ya Shetani na hulenga kumjulisha mhusika majeshi hayo yalivyomfunga Alipo na Anafanya Nini kazi ngani wanamtumikisha nazo. mtu Huyu huhitaji akombolewe au ajue tu Maana ya ndoto hiyo na aombe kukemea hizo roho.Naitwa Pastor Richard Muda wa Kuogea nami jioni Saa 12:00 Jioni WhatsApp+255759861768 Tovoti👉:www.mchungajirichardi.blogspot.com HIZI NI NDOTO ZA KUTISHA NA MAANA YAKE 1:Ndoto Ukiota Unakimbizwa na watu wanamapaga✍️Unajulishwa Shetani anakutuhumu unakosa anakuadalia Tuhuma kwenye ofisi yako kazi yako Uombe ukemee. 2:Ukiota Upo ndani au umejificha Watu wanakutafuta hawakuoni✍️ Unajulishwa Umeshinda Adui zako katika roho. 3;Ukiota Upo Unaua au Unafyekwa Panga✍️ Unajulishwa Umekufa kiroho kila Kitu Kitakuwa kinakufa. 4:Ukiota umedumbukia shimoni au matope umezama✍️ Unajulishwa ...