Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia 2020

SOMO:MADHARA YA KUZINI KWA MKRISTO

SOMO : MADHARA YATAKAYOJITOKEZA KWA MKRISTO UNAPOZINI TIBA YA KIROHO KWA UNAETESWA NA UZINIFU. Leo Tarehe 23/12/2020 nikiwa nimetulia ofsini nasikia Sauti ikinielekeza Fundisha MADHARA ya watu wangu walioitwa kwa jina la watoto wa Mungu Jinsi wanavyojitesa na Dhambi ya Uzinifu Wafunulie wapone maana moyo wangu unahuzunika walivyokosana nami Kupitia Uzinifu Somo hili Linalenga Bint na Kijana wa Kiume Karibu ujue Yanayokutesa chazo chake Ulizini na Dhambi Hiyo hajawahi kuongozwa Jinsi kuitubu NAKUKARIBISHA MTUMISHI WA BWANA BISHOP RICHARD Simu ya msaada wa Kiroho nipigie Jioni Saa 12:00 Namba +255759861768 Nipo Morogoro Veta Dakawa TUFUNUE Biblia Zetu 👉🏿✍🏼Warumi:13:9 Mathayo:5:27 Yet:13:27 MAANA YA KUZINI;- Nikufanya Tendo la Ndoa Bint au Kijana Ambaye hajulikani kwa wazazi wako Wala hajakutolea mahali au Kufanya Tendo la Ndoa na Bint Ambaye sio mkeo. MKANZIO;-KWA MABINT WA YESU Bint Yeyote anayefanya Tendo la Ndoa na Kijana Asiyejulikana Kwa Waz...

SOMO: YAJUE MADHARA YA KIAFYA YANAYOWEZA KUKUPATA UKIFANYA MAPENZI WAKATI WA PERIOD

SOMO: YAJUE MADHARA YATAKAYOKUPA UKIFANYA MAPENZI WAKATI WA PERIOD (HEDHI) Tufunue Luka:5:31 Yeremia:33;6 KUNA WATU WAMEKUWA WAKIITAJI WAFUNDISHWE MADHARA YA KIAFYA YANAYOWEZA MTU KUMKUTA ANAE FANYA TENDO LA NDOA NA MKEWE AKIWA KWENYE SIKU ZAKE EIDHA KWA TAMAA ZAKE ZA KIGONO NA ASIJUE AFYA YAKE ANAIHARIBU KARIBU NAITWA PASTOR RICHARD MWALIMU wa WANANDOA TUOGEE +18 Hairusiwi Mwenye umri chini ya miaka 18 Kusoma Masomo haya ya Wanandoa Nifatilie WhatsApp number+25575981768 Facebook Kanisa la Moto wa Yesu Website www.mchungajirichardi.blogspot.com Mithali : Mlango 3 8 Itakuwa afya mwilini pako, MADHARA MWANAUME ANAYOYAPATA 1:Kuzimba Kwa Mirinja Ya Uume wake inayotoa Mbegu za Kuume hata kibofu cha mkojo wakati akikonjoa atahisi maumivu makali. 2:Kuishiwa nguvu za Kiume na Uwezo wa Uume wake Kusimama. 3:Kuambukizwa Magonjwa mbalimbali Kwa haraka Sana Kutokana Kufanya Tendo la Ndoa Katika Piriod 4: Kufanya Kukizi Tamaa Yako Lakini Itakufanya UKIFANYA Tendo la Ndoa Katika Siku zake...

SOMO: AGANO LA UZAZI

SOMO;AGANO LA UZAZI 👉🏿👉🏿Mtoto wa MUNGU nakuarika Popote ulipo Kipindi Ni Mafundisho Ya Neno la MUNGU Karibu Ukale chakula Cha Kiroho ushibe Nafsi Yako mwalike na Jirani Yako Kisha Kaa Katika Utulivu usome Kwa making utakiponya Kizazi Chako na Watoto wako. Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Tufunue Biblia Zetu 👉🏿:Waebrania:7:6👉🏿Kutoka:1;7👉🏿Mwanzo:25:32 1Timotheo:2:15 AGANO LA UZAZI NI NINI..?Ni Patano linalofanyika Kati ya Kizazi Cha Mtu na MUNGU au SHETANI 👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿 KAMA AGANO LAKO LITAMHUSU SHETANI;-Utazaa watoto walioshidikana Wezi Walevi Wachawi Waganga Kwakua Unaagano na Kuzimu Sio MUNGU. 👉🏿&#128...

SOMO: AGANO LA UZAZI

SOMO;AGANO LA UZAZI 👉🏿👉🏿Mtoto wa MUNGU nakuarika Popote ulipo Kipindi Ni Mafundisho Ya Neno la MUNGU Karibu Ukale chakula Cha Kiroho ushibe Nafsi Yako mwalike na Jirani Yako Kisha Kaa Katika Utulivu usome Kwa making utakiponya Kizazi Chako na Watoto wako. Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Tufunue Biblia Zetu 👉🏿:Waebrania:7:6👉🏿Kutoka:1;7👉🏿Mwanzo:25:32 1Timotheo:2:15 AGANO LA UZAZI NI NINI..?Ni Patano linalofanyika Kati ya Kizazi Cha Mtu na MUNGU au SHETANI 👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿 KAMA AGANO LAKO LITAMHUSU SHETANI;-Utazaa watoto walioshidikana Wezi Walevi Wachawi Waganga Kwakua Unaagano na Kuzimu Sio MUNGU. 👉🏿&#128...

SOMO: NGUVU YA UTULIVU

SOMO: NGUVU YA UTULIVU 2Wathesalonike:2;11-12 1Timotheo:3:4 1Wafalme 19:12 Mithali:17:27 Isaya:32:17-17 Munubiri;4;6    👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿 UTAGULIZI NGUVU YA UTULIVU Ni SoMo linalokupa Maarifa ya Kutoka Kwenye Changamoto zinazokukabili✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼 ✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿👉🏿 Mtu mmoja alikuwa na familia Yaani Yeye na MKE na Mwanae Anna ikafika Kipindi Cha njaa kila kazi...

SOMO: UFANYE NINI UNAPOONA MAMBO HAYAENDI

SOMO: UFANYE NINI UNAPOONA MAMBO HAYAJAKAA SAWA..?? 🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦 Tufunue Mwanzo Kwenye uumbaji Mwanzo:1;2 na migine 2;Samweli:13:18-21 Yoshua:10:10-13 Ruthu:3;18 Matendo:19:36 Yakobo:3;8 Isaya:62;1 Estha:2:1 Kitu Cha Kwanza Kabisa Mungu alipomaliza dunia na mbigu Akaona Dunia IPO tupu haijakaa Sawa Alimua Atulie Kwanza Ili aweze Kuumba Vitu Vinavyoonekana Tunasoma👉🏿👉🏿Mwanzo : Mlango 1 2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maj Mfano Mwingine Kwa Yoshua ili ashinde Vita Yake nakuwavusha watu alipoona Vita vinaendelea kuwa vikali bila mafanikio yote alikaa chini Kwanza akatuliza Kichwa Kwanini Tunapingwa Akakubuka niseme na Baba Yangu alisimamishe Jua Kisha niingie vitani nanitashida Ni katika Mawazo ya Yoshua alifikiria nakusimamisha Jua Tusome;Yoshua:10:13 Hata Wewe Leo Naongea nawewe Mambo hayaendi Unazidi Kuharibu Vitu unazidi Kuumizwa na madeni Kwa Sababu...

SOMO: NGUVU YA AKILI

🥦🥦SOMO; NGUVU YA AKILI🥦🥦 Tufunue;Mathayo:22:37 Zaburi;119;66,1wakoritho:1:19 Luka : Mlango 24: 45 Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko              ;UTAGULIZI: Akili Ni kiungo chenye nguvu ya kumponya mtu au Kumwagamiza mtu Akili huenda sawa sawa naunavyoiendesha wewe mwenyewe Ukiendesha Akili YAKO uwe Mpumbavu kila Kitu utakuwa Mpumbavu Ukiendesha Akili YAKO uwe na Maarifa utakuwa na Maarifa. Akili inasehemu Kubwa Sana Ya Kufanya Maamuzi na Hatima ya Maisha YAKO na Imani YAKO ikaamini Kama Akili ilivyoongoza. Sasa Kwa Kuwa Mungu Anatupenda Ameamua Azifunue Akili Zetu Kwa Kutuletea Somo Hili Karibu ujifunze nguvu ya akili YAKO inavyoweza kukuponya Mimi Naitwa Pastor Richard Ninaishi MOROGORO VETA DAKAWA.Simu zakuongea nami piga Jioni SAA 12;00 Namba+255759861768 MAANA YA AKILI : Ni uwezo wa Kupambanua Vitu unavyoviona na Kuvisikia  Kisha kuruhusu Maamuzi yaliyosahihi ndani YAKO yaamue. Matokeo ya uamuzi wako huwa tunaita...

SOMO: NGUVU YA AKILI

🥦🥦SOMO; NGUVU YA AKILI🥦🥦 Tufunue;Mathayo:22:37 Zaburi;119;66,1wakoritho:1:19 Luka : Mlango 24: 45 Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko              ;UTAGULIZI: Akili Ni kiungo chenye nguvu ya kumponya mtu au Kumwagamiza mtu Akili huenda sawa sawa naunavyoiendesha wewe mwenyewe Ukiendesha Akili YAKO uwe Mpumbavu kila Kitu utakuwa Mpumbavu Ukiendesha Akili YAKO uwe na Maarifa utakuwa na Maarifa. Akili inasehemu Kubwa Sana Ya Kufanya Maamuzi na Hatima ya Maisha YAKO na Imani YAKO ikaamini Kama Akili ilivyoongoza. Sasa Kwa Kuwa Mungu Anatupenda Ameamua Azifunue Akili Zetu Kwa Kutuletea Somo Hili Karibu ujifunze nguvu ya akili YAKO inavyoweza kukuponya Mimi Naitwa Pastor Richard Ninaishi MOROGORO VETA DAKAWA.Simu zakuongea nami piga Jioni SAA 12;00 Namba+255759861768 MAANA YA AKILI : Ni uwezo wa Kupambanua Vitu unavyoviona na Kuvisikia  Kisha kuruhusu Maamuzi yaliyosahihi ndani YAKO yaamue. Matokeo ya uamuzi wako huwa tunaita...

SOMO;SI KILA TATIZO LITATOKA KWA MAOMBI

🥦S0MO : 🙋SIO TATIZO LITATOKA KWA MAOMBI.🥦 Tufunue Biblia Zetu;Mithali:12;1-4;Hosea;4;6;Warumi;10:2 Mithali:Mlango 8: 10 Pokea mafundisho yangu, wala si fedha,Na maarifa kuliko dhahabu safi. Isaya: Mlango 33:6 Nyakati zako zitakuwa nyakati za kukaa imara; za wokovu tele na hekima na maarifa; kumcha BWANA ni hazina yake ya akiba.✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼✍🏼 KARIBUNIKATIKA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU LEO HII JUMAPILI YA Tarehe 29/11/2020 Nataka Niseme na Mtu mmoja TU Ambae Amekuwa Akinifatilia Amekata Tamaa Kuligana Nakuombewa nakuhagaika Tatizo lake Bila mafanikio.  SI KILA TATIZO LINALOKUSUMBUA LAITAJI MAOMBI Ni Somo lenye Ufahamu na Maarifa ya Kukusaidia wewe Kama Mtoto wa Mungu namna ya Kutatua Changamoto Ambazo Zinakutesa Mimi Ni Mtumishi wa Bwana Yesu Pastor Richard NIPO MOROGORO VETA DAKAWA WhatsApp number+255759861768 Kwa msaada we Kiroho Piga Jioni saa12;00 NINI MAANA YA SIO KILA TATIZO LITATOKA KWA MAOMBI? Ni kukanusha Usemi wa Kutengemea Kuvuka Changa...

SOMO; KUKATA TAMAA

SOMO: KUKATA TAMAA INACHELEWESHA MAJIBU  ULIOMBA Tufunue:Ayubu;13;19 Isaya:15:5 Muhubiri:2:20 Naitwa Bishop Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Simu+255759861768 kuongea nae Jioni saa 12 00 Kukata Tamaa huwa Ni Asili Ya Shetani Moja ya Silaha anazozitumia Kumnasa mtu aliyekosa Ujasiri wa Kiimani. Shetani huadaa mazingira ya Upizani mbele yako ili Ifikie hatua Useme MUNGU AMENIACHA MIMI HIVI. kumbe kiukweli Hali hii Mapepo Majini wachawi na waganga humpiga mtu kiroho kwa Siraha Kuu Tatu 1;Hasira 2;Hofu 3:Kukata Tamaa UKIWEZA TU KUMPIGA shetani KWA SIRAHA HIZI 1:Hasira wewe Panda Upendo tu. 2:Hofu wewe Tumia Siraha ya Imani moyo JASIRI 3:Kukata Tamaa wewe Panda mataranjio au Matumaini utapata. UTAKUWA MSHINDI UKISIMAMA HIVYO TU TOFAUTI NA WEWE KUTENGUA SIRAHA ZA SHETANI ATAKUTESA NAKUIMBA HAKI YAKO. KUKATA TAMAA Ni Kukosa Ujasiri wa Kuendelea.. Muhubiri : Mlango 2; 20 Kwa hiyo nikageuka kukata tamaa moyoni mwangu juu ya kazi yangu yote niliyojishughulisha nayo chini ya jua....

MOYO ULIOKOSA UJASIRI WA MAOMBI

SOMO:MOYO ULIOKOSA UJASIRI WA MAOMBI. Mathayo:5:8 Mathayo:6;21 Matendo:8:21 Mithali:23:17 Naitwa Bishop Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa. Muda wa Kuongea Na Bishop Richard jioni Saa 12:00 Simu+255759861768 MOYO ULIOKOSA UJASIRI WA KUOMBA: huwa Ni moyo uliozungukwa na majukumu mbalimbali ya Kimwili moyo ulioelemewa na Dhambi . Watu wanaoteswa na huu moyo huwa Ni ngumu wao kusema moyo wao uwaongoze kuomba hauna hiyo tabia au UJASIRI utamkuta mtu Huyu akitaka kuomba TU huu moyo utamkumbusha majukumu ya Kimwili Ambayo anapaswa ayafanye kwa hiyo nguvu ya uwepo inatoweka UJASIRI unatoka Moyo huu humkosesha mtu MAJIBU yake. MOYO HUU HUWA MTU UNAMFANYA HIVI FATILIA UJUE HUU MOYO ULIOKOSA UJASIRI WA KUOMBA. 1:Huu Moyo Humkumbusha mtu Dhambi au Kumhamasisha Afikirie Dhambi. Utamkuta mtu Yupo katika Maombi Unafikiri anaomba kumbe Anadaiwa au Kuna Mchumba wake kanisani baadala Aelekeze akili yake Maombi atawaza wale anaowadai au Mchumba wake Yupo Kanisani na Kama ameingia Kanisani Jana al...

MAOMBI YA KUJIKOMBOA KUTOKA KWENYE UPOFU

JINSI YA KUJIKOMBOA KUTOKA KWENYE UPOFU WA KIROHO NAKUAZA KUONA NJIA YA KUFIKIA MAFANIKIO YAKO AU HUDUMA YAKO. Naitwa Bishop Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Maombi Haya nayokufundisha unatakiwa uombee macho yako ya damu na Nyama yaweze kuona mwelekeo wa Maisha yako Kuona Mlango wako wa Baraka.Ukitaka Kuongea nami kwa msaada piga Saa 12;00Jioni simu za Bishop Richard+255759861768 Marko:Mlango 10 🥦🥦Huu mstari wa kusimamia; 51 Yesu akamjibu, akamwambia, Wataka nikufanyie nini? Yule kipofu akamwambia, Mwalimu wangu, nataka nipate kuona ✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍🏼✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️ MAMBO HAYA ZINGATIA UNAPOOMBA USIOMBE BILA MAELEKEZO HAYA. 1:Maombi ya omba ukitamka Nafuta macho upofu kwa Damu ya Yesu. 2:Unapoomba Onesha ishara macho yako unafuta kitu ukiwa unayapapasa macho yako. 3:Kisha yaombee macho yako Yawe na Nguvu ya Kuharibu kazi za shetani wachawi wasikutazame mapepo yasisimame mbele yako 4:Tamka maneno na uyatoe maneno kwa kuamrisha Unapoomba. 5;Omba Ukiwa Umesimama au unate...

NDOTO 20 ZA KUTISHA ZIJUE MAANA YAKD

#NDOTO ZA KUTISHA ZIJUE MAANA YAKE: Tufunue Biblia:AYUBU:33:14-15 Mathayo:2:12-13 Matendo:2;17 NDOTO ZA KUTISHA huwa zinaoparetiwa na majeshi ya Shetani na hulenga kumjulisha mhusika majeshi hayo yalivyomfunga Alipo na Anafanya Nini kazi ngani wanamtumikisha nazo. mtu Huyu huhitaji akombolewe au ajue tu Maana ya ndoto hiyo na aombe kukemea hizo roho.Naitwa Pastor Richard Muda wa Kuogea nami jioni Saa 12:00 Jioni WhatsApp+255759861768 Tovoti👉:www.mchungajirichardi.blogspot.com HIZI NI NDOTO ZA KUTISHA NA MAANA YAKE 1:Ndoto Ukiota Unakimbizwa na watu wanamapaga✍️Unajulishwa Shetani anakutuhumu unakosa anakuadalia Tuhuma kwenye ofisi yako kazi yako Uombe ukemee. 2:Ukiota Upo ndani au umejificha Watu wanakutafuta hawakuoni✍️ Unajulishwa Umeshinda Adui zako katika roho. 3;Ukiota Upo Unaua au Unafyekwa Panga✍️ Unajulishwa Umekufa kiroho kila Kitu Kitakuwa kinakufa. 4:Ukiota umedumbukia shimoni au matope umezama✍️ Unajulishwa ...

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

NDOTO ZA SHULENI ZIJUE MAANA YAKE. AYUBU:33;14-15 Mathayo:2:12-13 Matendo:2;17 Mwanzo:41:1-32 NDOTO✍️Ni Taarifa inayomlenga muotaji Ikimjulisha Yaliyopo Katika maisha Yake au Yanayokuja Katika Maisha Yake au Yalishapita Katika maisha Yake. NDOTO Huoparetiwa au Kuendeshwa Na Mungu mwenyewe au Shetani Hawa hukufanya uote mtu asiyeota ndoto au Kukosa Maono hawezi Kufika Anakoenda au hawezi kuijua njia.✍️ Masomo haya yapo WhatsApp+255759861768 Youtube✍️https://youtu.be/0z6oPMGtVyY ✍️ Ukiigia Subscribe Utakuwa umejiuga YouTube ✍️✍️Pia Website: www.mchungajirichardi.blogspot.com KARIBUNI TUJUE MAANA YA NDOTO ZA SHULENI. 1:Ukiota Upo mazingira ya shule msingi na Unifom✍️ Unajulishwa Umefungwa Usifanikiwe waitajika uombe kukemea 2:Ukiota Upo shuleni unamwagilia mimea✍️ Unajulishwa Watu Utakuwa unawafanya wanafanikiwa kwa ulicho nacho wewe hutafanikiwa. 3;Ukiota Upo Palendi(Mstarini...

JINSI YA KUOMBA KUSHUGHULIKIA ROHO YA TAMAA

JINSI YA KUOMBA KUSHUGHULIKIA ROHO YA KUTAMANI MABAYA(TAMAA) Karibu Katika Maombi Ya Kushugulikia roho ya Tamaa inayozidi kukutesa na imeharibu maisha yako njia Zako uaminifu. 👉🏿 MSTARI WA KUSIMAMIA Warumi : Mlango 1 24 Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata wakavunjiana heshima miili yao. Naitwa Pastor Richard Kanisa la Roho Mtakatifu WhatsApp+255759861768 Morogoro Veta dakawa ✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️ MAELEKEZO YA KUFATA UNAPOOMBA. 1:Ombea hiyo Dhambi inayokufanya uitende kupitia Tamaa. 2:Chukua DAKIKA 45 TU zikishakamilika Stop Maombi haya. 3:Unaomba Kwa Unyenyekevu Katika Stayle ya Kupiga magoti. 4:Omba Kwa Kutamka Tamaa inayokutenga na Mungu MAOMBI YAOMBE HIVI Ansate Yesu Kwa Kunipa Ufahamu Huu nakuniona mwanao napotea katika D...

MAOMBI YA KUJIONDOA NA MIZIMU

🏌️🏇🤰JINSI YA KUOMBA KUJIKOMBOA KWENYE ROHO ZA MIZIMU🏇🗣️🧗 Karibuni Katika Maombi Haya  na maelelezo yakuomba Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta dakawa Simu Piga Jioni Saa 12:00 Jioni Kwa Msaada Zaidi WhatsApp+255759861768👉🏿👉🏿 YouTube 👉🏿https://youtu.be/NCJuVrn7MJk MSTARI WA KUSIMAMIA AU NENO LA KUDAI HAKI YAKO Wagalatia : 6: 5 Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe UFAFANUZI WA MAOMBI HAYA HASA NENO👉🏿MIZIMU  Mizimu Ni Nini,,?Ni Roho za Ukoo Inayoishi na mtu ndani Yake kwa uhalali ya kudai ukoo wake inaanza Kupata nguvu Kutoka kizazi Cha nne ukihesabu Kutoka ulipo Mfano:Richard Ni mimi👉🏿Julius Ni Baba👉🏿Linda Ni Baby👉🏿Kushoka Ni Ukoo wangu. Huyu Jinsi Alivyokuwa yeye huweza kumwigia kila mwanaukoo wake nakudai aishi nakuhagaika Kama hii roho itakavyo Huyu Kama alikuwa chifu lazima kwenu watapatikana viongozi Kama alikuwa mganga lazima kwenu watapatikana waganga Kama kwenu huwa mnakufa kwa ugonjwa Fulani itafata ukoo.Maisha Yoyote yanayof...

IJUE NDOTO YAKO

🥦🥦IJUE NDOTO YAKO INAMAANA GANI?🥦🥦 🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌🛌 Karibuni Katika Kipindi Kinachokupa Maarifa na Kujua ndoto yako inakujulisha Nini na unatakiwa ufanye. Naitwa Pastor Richard Naishi Morogoro Veta dakawa Kanisa la Roho Mtakafu Simu piga jioni Saa 12 00Jioni Namba+255759861768 💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪 Tufunue Biblia Zetu:👥Ayubu:33;14-15 Mwanzo:37;10-20 Matendo:2:17 👉🏿MAANA YA NDOTO NI Taarifa Ambayo mhusika aliyeota hupewa na Mungu au Shetani KUPITIA majeshi Yake ya majini,ma...

NDOTO 105 NA MAANA ZAKE

NDOTO 105 NA MAANA YAKE Ndoto huwa Ni Taarifa juu ya mhusika anaeota Kutoka Katika Biblia;Ayubu:33;14-15 Dilili kutoka katika Qur'an 49:12 يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اجْتَنِبُوا كَثِيرًا مِّنَ الظَّنِّ إِنَّ بَعْضَ الظَّنِّ إِثْمٌ وَلا تَجَسَّسُوا وَلا يَغْتَب بَّعْضُكُم ...

NDOTO 105 NA MAANA ZAKE

NDOTO 105 NA MAANA YAKE Ndoto huwa Ni Taarifa juu ya mhusika anaeota Kutoka Katika Biblia;Ayubu:33;14-15 Dilili kutoka katika Qur'an 49:12 يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اجْتَنِبُوا كَثِيرًا مِّنَ الظَّنِّ إِنَّ بَعْضَ الظَّنِّ إِثْمٌ وَلا تَجَسَّسُوا وَلا يَغْتَب بَّعْضُكُم ...

MAOMBI YA KUPATANA NA MUNGU

JINSI YA KUOMBA MAOMBI YA KUJIPATANISHA NA MUNGU 🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️🅰️ Hatua Za Kuzingatia 1:Moyo wako uugue nafsi yako ilie Kinywa Chako Kinene Kwa uchungu. 2:Omba Ukiwa Umesimama au Umepiga magoti Kanisani au chumbani. 3:Omba maneno uyatoe yasikike yakitoka kwa uchungu 4:Baada ya Kumaliza mshukuru Mungu kwa kupigapiga makofi ukisema Ansate Sana Baba. Mathayo : Mlango 20 2 Naye alipokwisha kupatana na wakulima kuwapa kutwa dinari, aliwapeleka katika shamba lake la mizabibu. 🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦 Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta dakawa Simu Kupiga jioni Saa 12 00 Namba+255759861768 Bwana Yesu Nasimama mbele Zako Mimi Mwanao Richard Moyo wangu unaugua Kwako unashauku nawewe Baba Yangu Nafsi Yangu inalia inalia inasema Baba mbona umeniacha Mimi Mwanao Agalia Nateseka Agalia Nadharaulika Nayaleta mashika haya Kwako Baba Yangu Nasimama Mimi Mtoto wako unanijua Vyema Kuliko ninavyojielewa unajua mifupa ya mwili wangu unaju...

SOMO:YAJUE HAYA UNAPOTAKA UFIKE MBALI

SOMO : YAJUE  HAYA UNAPOTAKA UFIKE MBALI KIMAISHA. Kutoka:3:1,18:1-7 Matendo:7:22 Zaburi:68;6 Mathayo:3;9-17 na sura ya 4 Mwanzo:12 🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦 UTANGULIZI Hatua Zinakufanya ufike pale unapoenda Kukaa chini nakujikstia Tamaa Inakufanya Usifike Lakini Waitaji Ujifunze Kwanini Hutembei Upo pale pale ujiulize Kwanini Shetani mapepo wachawi na magonjwa yanazidi kwako hayaishi Kwanini Mwaka unaisha au Umeshindwa kuendelea na Masomo. Basi Katika Somo Hili Litakupa muogozo mzuri wa Kiroho utakao kufanya ufike mbali. Naitwa Pastor Richard Napatikana Morogoro Veta Dakawa Simu za Kuogea na Pastor+255759861768 Tafuta MAKUNDI haya au Watu wa Sifa HIZI Utembee nao katika maisha au Safari yako ya mafanikio 1:UTAFUTE WAL...

DALILI ZA MTU ANAETESWA NA DHAMBI YA WIZI WA FUNGU LA KUMI

HIZI NDIZO DALILI KUU ZA MTU ANAETESWA NA DHAMBI YA WIZI WA FUNGU LA KUMI. Naitwa Pastor Richard Ninakukaribisha kujifunza nakujua viashilia vinavyokujulisha Mungu Umekosana nae KUPITIA Kukosa Uaminifu wa Kutoa Fungu la kumi MALAKI:3;10 1:Huingia roho ya kudhulumiwa au Kutapeliwa utakumbwa na matukio ya hivi. 2:Biashara mtaji wako utakufa au utaona Biashara  huuzi Hata Mia ujue Fungu la kumi 3:Utakopa madeni utashindwa kuyalipa na madeni yatakuzidi Kwa Kuwa hujui unatakiwa uaze kutoa Fungu la kumi utaombewa madeni hayataisha Hata nafuu hutaona. 4:Utakumbwa na kuuguza watoto wazazi pesa zako zote zitaishia kuuguza. 5;Kila utakalo Sema ulifanye utalifanya katika Makosa yaani utapatwa na HASARA.. 6;Utafukuzwa Kazi Utashushwa cheo chako 7;Utakosa Kibali mbele za Mungu na Kwa Wanadamu. 8:Hautapata ulizi wa kazi yako utaona Mambo kwenye kazi Yako yanaharibika 9:Utachangia kuua kanisa au Huduma kwa sababu KUPITIA Fungu Lako huifanya kanisa lijijjenge KUPITIA kikumi 10;Uaminifu...

SOMO:MOYO WA UTARATIBU

SOMO : MOYO WA UTARATIBU MZURI Tufunue Biblia 👉🏿✍🏼2Wathesalonike:3;5-10👉🏿✍🏼1Wakoritho:14:40✍🏼👉🏿1Wathesalonike:5;14 Karibuni Naitwa Bishop Richard Kanisa la Roho mtakatifu (Moto wa Yesu) Naishi Morogoro✍🏼 Tanzania WhatsApp number+255759861768 MOYO WA UTARATIBU MZURI 👉🏿✍🏼Huu Ni moyo unaokuongoza Uishi maisha ya utaratibu na mpagilio mzuri Kwenye maisha yako au Kwenye ndoa yako au Kazi zako. UTARATIBU; Maana Yake Muongozo au Mtiririko mzuri. LENGO LA SOMO: Uwe na Moyo uliojazwa katika utaratibu. Dhima Yetu;Kuuganisha Usawa na Umoja Katika Jamii kupitia Somo hili FAIDA ZA MOYO HUU. 1:Kuujega msingi ulioimara 2;Kufanya Maisha yako yawe ya mfano kwa Jamii. 3:Hufanya Moyo wako uvumilie na ufikie Lengo. 4:Hujazwa Hekima na Utashi Mkubwa Moyo huu 5:Ni Tabia Ya Ki MUNGU unapoishi Katika Utaratibu. HASARA ZA KUKOSA UTARATIBU 1...