NDOTO 105 NA MAANA ZAKE
NDOTO 105 NA MAANA YAKE
Ndoto huwa Ni Taarifa juu ya mhusika anaeota
Kutoka Katika Biblia;Ayubu:33;14-15
Dilili kutoka katika Qur'an 49:12
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اجْتَنِبُوا كَثِيرًا مِّنَ الظَّنِّ إِنَّ بَعْضَ الظَّنِّ إِثْمٌ وَلا تَجَسَّسُوا وَلا يَغْتَب بَّعْضُكُم بَعْضًا
أَيُحِبُّ أَحَدُكُمْ أَن يَأْكُلَ لَحْمَ أَخِيهِ مَيْتًا فَكَرِهْتُمُوهُ وَاتَّقُوا اللَّهَ إِنَّ اللَّهَ تَوَّابٌ رَّحِيمٌ
Enyi mlio amini! Jiepusheni na dhana nyingi, kwani baadhi ya dhana ni dhambi. Wala msipelelezane, wala msisengenyane nyinyi kwa nyinyi. Je! Yupo katika nyinyi anaye penda kuila nyama ya nduguye aliye kufa? Mna
1. Mfano wa kwanza: Umeota umetumbukizwa kwenye Kisima, ... Yaani Ndugu zako wanataka kukutendea uadui, lakini kwa uwezo wa Mwenyezi mungu hawatafanikiwa wanavyotaka na utakuja kuwa na uwezo wa mali na mamlaka kuliko wao.
2. Mfano wa Pili: Umeota ndege amekudondoshea jiwe kichwani, Unaonywa kuwa unafanya yaliyovuka mipaka hivyo utaangamia.
3. Mfano wa tatu: Umeota Ndege anaokuambia kitu, Habari anayokuambia ni ya kweli hivyo unatakiwa uifanyie kazi haraka.
4. Mfano wa nne: Umeota unakurupuka na ukaambiwa kiama!, watu wengi wanakwenda wasipopajua, Tafsiri yake ni kuwa unapewa Onyo kuna jambo linalomchukiza Mungu unalifanya acha mara moja. kumbuka pale allah aliposema kuwaambia waovu "Hakuna wanachokisubiri ila ni kiama ambacho kitawakuta Ghafla.
5. Ukiota katika ndoto kitu chochote chenye Ncha kali kama kisu, mkasi, panga, shoka, msumari sindano na jamii ya vitu hivyo ndoto hiyo inaashiria wewe uliyeota kupata habari mbaya za kifo, au kufungwa, ugonjwa,kufukuzwa kazi, kuibiwa, kutapeliwa, moto
6. Ukiota katika ndoto kitu chochote chenye kungara au cheupe, iwe nyumba gari, nguo, hiyo kwa muotaji ni dalili ya kupata “bahati nzuri au mambo mazuri.” Kupata pesa, kupata mchumba,safari yenye faida, kupata cheo, kupona mgonjwa,kuzaliwa mtoto
7. Ukiota katika ndoto kitu chochote kichafu au kisichopendeza, hiyo kwa muotaji ni dalili ya kupata upinzani na bahati mbaya. Kama kupingwa katika mambo yako, kufanyiwa fitna kazini au katika biashara, kutorokwa na mke au mpenzi, kupoteza mali, kuibiwa,kupigwa, kukamatwa au polisi kupata ajali.
8. Ukiota katika ndoto unapanda Juu kwa njia yoyote ile kama vile kupaa, kupanda ngazi kupanda kwa kamba, hiyo kwa muotaji ni dalili ya kupata mafanikio ya kimaisha, kadri unavyozidi kupanda ndio mafanikio yatakuwa zaidi.
9. Ukiota katika ndoto unashuka au unaanguka kwa njia yoyote ile, hiyo kwa muotaji ni dalili ya kukwama na kupata pingamizi katika mambo yako, kadri unavyozidi kwenda chini ndio kiwango cha kuharibikiwa kwa mambo yako.
10. Ndoto za kuota unastarehe zina maana tofauti ziko za bahati mbaya na zipo za bahati nzuri, kwa mfano ukiota unafurahia labda ngoma au harusi au tafrija au unacheza mziki uliokufurahisha, hiyo kwa muotaji itakuwa dalili ya mafanikio lakini kama ukiota uko katika sehemu hizo na hufurahi yale yanayoendelea hapo hiyo ni dalili ya kupata bahati mbaya.
11. Ndoto zingine zinatafsiriwa kulingana na mazingira mfano ukiota Kabati limejaa, maana yake mambo yako yatakuwa mazuri, kama pesa zitaongezeka, kama ugonjwa utapona, kama safari itakuwepo,kama kazi utpata cheo na kadhalika.
12. Kama ukiota kabati tupu maana yake mambo yako wewe muotaji yatakuwa mabaya.yote uliyonayo yatapotea, utaibiwa utatapeliwa, utaumwa na mengine mengi.
13. Kama ilivyo ndoto ya maji ukiota maji yametulia ni dalili ya mafanikio na bahati nzuri, utulivu wa mambokama ni kesi utashinda anayekudai atatulia na utawashinda maadui zako.
14. ukiota maji yenye mawimbi inaashiria ugumu wa mambo na matatizo. Utapata misukosuko ya kimapenzi, kikazi na kimaisha
15. Ukiota maji machafu, hiyo ni dalili ya bahati mbaya. Katika jambo lakololote unalotaka kufanya.
16. Ukiota Pingamizi katika ndoto mfano Ukuta, mlango, kufuli, dirisha, bonde, milima, au uzio, hizo ni dalili ya ugumu na upinzani katika mambo yako ambao utakumbana nao, mfano ukiota mlango ambao unafunguka kirahisi, hiyo ni dalili ya kupata upinzani mdogo, lakini ukiota mlango unafunguka kwa taabu, tegemea kupata pingamizi kali au ugumu mkubwa katika mambo yako.
17. Kuna ndoto zingine zinatafsiriwa kinyume, mfano ukiota Unalia maana yake utacheka au utapata hasara katika jambo lako lolote.
18. ukiota una woga basi utapata ujasiri.
19. ukiota umekuwa tajiri basi utapata umasikini.
20. Ukiota umepoteza, maana yake utapata.
21. Ukiota unakula nyama punguza kusengenya watu.Wengine ukiona wanakula nyama huenda wanakusengenya angaliakasorozako.
22. Ukiota unacheza karata= utapata bahati
23. Ukiota unakula kabeji= utapata maradhi ya kujitakia.
24. Ukiota unaona karanga= vulugu haziishi nyumbani.
25. Ukiota umevaa nguo mpya= utazawadiwa
26. Ukiota umevaa nguo nyeusi= utapata mikosi.
27. Ukiota umevua nguo= utapata hasala lakini kama nguohiyo ni cchafu= mikosi ita kuondoka.
28. Ukiota unavaa nguo zilizo chanika= utapatwa na aibu.
29. Ukiota umevaa nguo za mapambo au za maua= utapata furaha.
30. Ukiota unaendesha kigari cha farasi= utakua ombaomba.
31. Ukiota unachoma mkaa= utaoa mwanamke alie achika.
32. Ukiota umepata mafua= una maadui wa kisilisili.
33. Ukiota umeona mahindi= utapata faida katika shugurizako.
34. Ukiota uko kwenye ukumbi wa mziki = utapata habari nzuli toka kwa rafikiyako wa karibu.
35. Ukiota kiza kinene= utadanganywa au utatapeliwa.
36. Ukiota unaona giza kisha ukawa mwanga= kama ni mfungwa atafunguliwa na kama si mfungwa ni dalili ya mamboyako kufunguka.
37. Ukiota uko msibani= harusi. Ila ndotohii ikijirudia ni dalili ya jinni maiti.
38. Ukiota jinni limekudhulu au umeliogopa kupita kiasi= kuna hatali mbeleni.
39. Ukiota unachimba shimo na kisha likapotea= nidalili ya kukosa mazao na utafukuzwa kazi na pia ni dalili ya kukosa nvua.
40. Ukiota unatumbukia shimoni= utapata mikosi na utateseka sana ki maisha.
41. Ukiota unavuka mto kwa kutumia gogo= utapata watetezi katika mambo yako na kama unakesi utashinda kwa msaada wa mtu.
42. Ukiota umemuona dragon= utapata utajili kwa njia ya mazingara(madawa)
43. Ukiota umemuona chatu= utapata utajiri.
44. Mwanaume akiota anaona nguo ya kike imeanikwa= atapatwa na mabalaa.
45. Ukiota unakunywa maji wakati jua linachomoza na una kunywa kwa kutumia mkono wa kushoto= utapata maradhi.
46. Ukiota umelewa pombe kupita kiasi= utapata marafiki wa maana na pia ni mafanikio ki mapenzi.
47. Ukiota unazama ndani ya maji =nidalili ya kupata mikosi.
48. Ukiota unamuona mtu anazama ndani ya maji= mikosiyako itaisha.
49. Ukiota unaona funza= kaachonjo kuna maadui.
50. Ukiota unakula= mikosi.
51. Ukiota unalishwakitu= nikweli umelishwa.
52. Ukiota umekufa kwa kupigania dini= ama lizako ni njema.
53. Ukiota unakunywa maziwa= utapata mafanikio.
54. Ukiota mkeo matiti ni makubwa= utapata mafanikio.
55. Ukiota mbalamwezi inang”aa= utapata furaha na mafanikio
56. Ukiota umepotezapesa= utapata hasala ki biashara.
57. Ukiota umepatahela = mafanikio ila si kuokota.
58. Ukiota unaokotahela= utapata mikosi.
59. Ukiota umekunja chuma= umewashinda maadui.
60. Ukiota nyota inang”aa wakatihuo una mchumba= mtafarakana na mchumbawako.
61. Ukiota nyota imeanguka= afyanjema.
62. Ukiota umemuona bata mzinga= ndoa yenu ni ya mafanikio na mtapata watoto wengi.
63. Ukiota unang”okajino= utapoteza rafiki wa karibu.
64. Ukiota umeng”oka meno ya mbele utapoteza marafiki wengi na ndugu watakuchukia.
65. Ukiota unakunywa maji masafi= utapata furaha.
66. Ukiota unakunywa maji machafu= matatizo yanakunyemeleya.
67. Ukiota unaona maba= utapata maumivu.
68. Ukiota unachomwa mwiba= utapoteza pesa.
69. Ukiota radi inapiga= mafanikio katika biashara.
70. Ukiota radi imekupiga= umekumbwa na jinni.
71. Ukiota umemuona kobe= biashara zako zitaenda polepole
72. ukiota unakula kobe= mtalekebisha tofautizenu za ndoa.
73. Mwanamke alie achika akiota anafunga ndoa= ni mikosi.
74. Mgonjwa akiota anafunga ndoa na mwanamke alie achika= atakufa.
75. Ukiota unalia= ni fulaha na upendo.
76. Mgonjwa akiota anafunga ndoa na msichana ambae haja olewa= atapona,
77. Ukiota unaona karatasi nyeupe= utapata mke wa maana na watoto wa heli.
78. Ukiota unachana karatasi= utaendekeza umalaya.
79. Ukiota unatembea katika bara bara lililo nyooka= mafanikio mbeleyako na ni afya njema.
80. Mwanamme akiota anamuona tausi= atapata mke mzuri na atatajilika.
81. Mwanamke akiota anamuona tausi atapata mwanamme tajiri lakini ni muongo muongo.
82. Ukiota unamuona bundi= nimikosi na vifungo
83. Ukiota njegele zimepikwa= mafanikio.
84. Ukiota unakula mkaa= utapata mikosi na ni dalili ya kulishwa kitu.
85. Ukiota unaona vitunguu= utapata habali njema.
86. Mwanamme akiota anaona vitunguu= atapata mwanamke mwaminifu ila ni mwenye hasira.
87. Ukiota unachimba kaburi= jinni maiti na pia ni dalili ya kwa mba kuna tabia unayo ifanya si nzuli itakuingiza katika wakati mgumu.
88. Ukiota unalima na ng”ombe= mafanikio.
89. Ukiota watu wanalima na ng”ombe lakini zinazama= nidalili ya mavuno mabaya.
90. Ukiota watu wanalima juu ya mlima= utapoteza mifugo.
91. Ukiota umepewa tundadam chachu= utagombana na rafikiyako.
92. Tajiri akiota nasali= furaha
93. Maskini akiota anasali= matatizo na mikosi.
94. Mwanamme akiota anachota maji kisimani= ataoa.
95. Mwanamke akiota anachota maji kisimani= ataolewa.
96. Ukiota una kunywa wiski= ni mikosi, mabalaa, majuto.
97. Ukiota upepo wa kimbunga= utaoa mke mwenye makelele.
98. Tajili akiota amebemba mbao= mikosi
99. Maskini akiota amebeba mbao= bahati.
100. Ukiota una andika=jihadhari na kaulizako.
101. Ukiota unapiga miayo= rafikizako wamekuchoka.
102. Ukiota unaona kitu chochote cha njano= mafalakano katika mapenzi yenu.
103. Ukiota unamuona punda milia= kua mwangalifu katika maishayako.
104. Ukiota watu wanapiga talumbeta.= utapata mikosi na matatizo.
105. Ukiota unaona ndim= utapata ugonvi au kutukanwa.
106. Ukiota unaona mwanamke bikra= utapata habali njema.
107. Maskini akiota anatapika atapatapesa lakini kwa tajili atafilisika.
108. Ukiota vita= matatizo na huzuni.
109. Ukiota unamuona mamamkwe= utaugua.
110. Ukiota unaongeana mama yako vizuli= uta fanikiwa kwa lolote.
111. Ukiota mpishi yuko ndani ya nyumba= utaoa mwanamke wa maana na kama una matatizo. Yataondoka.
112. Mgonjwa akiota anamuona mpishi= haliyake itakua mbaya.
113. Ukiota unaona kisu= mafaninio.
114. Ukiota unamuona paka, utaibiwa.
115. Ukiota paka amekuuma= utaletewa habali za uongo.
🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦🥦
Kwa msaada na ushahuri piga
Namba za Pastor Richard+255759861768
Maoni
Chapisha Maoni