SABABU YA UTASA na UGUMBA

✍🏾✍🏾Somo; UTASA AU UGUMBA✍🏾✍🏾

Miongozo Ya Biblia Tufunue

Kutoka:25;26. Mwanzo: 11;30

☝🏽Utasa ni nini?
Ni MTU aliyefungwa kizazi au Uzao na ufalme WA majeshi ya shetani asizae au kuzaa.

MTU huyu huweza kuwa mwanaume au mwanamke

UTasa Upo Unagawanyika katika Makundi 2

1⃣ Utasa uliorusiwa na MUNGU kama daraja LA kumjua MUNGU

2⃣Utasa WA kufungwa  na falme za Giza majeshi ya kuzimu Yanachukua uzao wako.

✍🏾✍🏾UTasa WA kufungwa visababishi huwa

1;Uzinzi
2;waganga
3!Uchawi
4!Majini
5!Mapepo
6!Ndoa za kipepo
7!Matumizi ya vilevi kwa wingi. Kama drugs abuse(Madawa ya kulevya.pombe kali  nk.

8!Mizimu

9!Majina ya kurisi au ya kujiita Tu.

☝🏽☝🏽Haya ndio Huwa mlango WA majeshi ya kuzimu kuingia nakufuga uzao wako usizae.

✍🏾✍🏾UTASa WA MUNGU

Huu huwa utasa unaorusiwa Na MUNGU upitie wakati huo ili Uweze kumjua na Kusimama naye Mungu Tu.

Vitu vinavyosababisha Akuite usimame naye MUNGU kwa njia ya pito hilo

1;Moyo wako humpendeza yeye

2!Kukuokoa ametuma watu hukumsikia

3;Tayari unakuwa umechanguliwa

4;Hukuongoza mpaka kwenye Ushuhuda wako

5;Atakupa Mchungaji wako akuongoze
.

6;Atamtumia kufungua tumbo lako

7!Lazima ukazae ukabarikiwe

8!Hukutaka ujisamamie na uwe mwaminifu kwake

9!Ujitoe kumpenda kuliko Jana.

🔛🔛 TATIZO Huisha kwa njia ya Imani tu

Ukimwamini atakupa uzao unaomjua MUNGU Vizuri

Atakubariki na kukufuñgua

Imani yako izae matunda

Ukayashuhudie Mataifa





By Pastor Richard

Holy Spirit Ministry Tanzania

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.