NJISI MUNGU ALIVYOPANGILIA MAISHA YAKO
SOMO 👉 Mungu alívyopangilia maisha Yetu
🏆🏆Mungu ameyapangilia maisha yako Kama ifatavyo
WALAWI.13 YEREMIA. 1;5
1:HATUA YA KWANZA
Kuzaliwa MUNGU alipanga uzaliwe na uje hapa duniani Uishi na kumwabudu yeye NA kumtumikia.
2;HATUA YA PILI
.ALipangilia mtiririko utakaouishi na kupitia mpaka kufika alipokuandalia Mapito yote aliweka
3:Hatua ya Tatu
Alipangilia majaribu na mawazo vishawishi ambavyo hutakiwa ushinde na Kusonga mbele sio ukate tamaa
4;Hatua Ya NNE
Alipangilia ukombozi wako Mtumishi atakayekulea kiroho na imani utakayo kudumisha kwake
5;Hatua Ya Tano
Alipangilia viungo ufahamu na vitu mbali mbali akakupa uwezo uvitumie vyema lakini ukikosea vinakupoteza na kukutenga naye
6;Hatua Ya Sita
Alipangilia NJEMA na Mbaya akakuelewesha kuwa mema ni yangu utendapo mema unanitukuza Mimi ukitenda maovu unamtukuza shetani kaa utumie akili na viungo nilivyokupa akamaliza.
7;Hatua Ya SABA
Alipangilia kuamini na kutoamini
Akakuambia ukiamini tu unapona na kujibiwa usipoamini tu hupokei hujibiwi.
8;Hatua ya nane
Alipangilia Watu watakaokusaidia kukulea kukuonya kukemea kukufundisha njia NJEMA na mbaya
9;Hatua ya Tisa
Alipangilia KUFANIKIWA kwa na kutofanikiwa Kuteseka na kutoteseka nk
Kumbe Mipangilio yote ilikamilishwa ukiwa Tumbo ni
Jiulize kwanini uteseke
By Pastor Richard
Holy Spirit Ministry Tanzania
MOROGORO shukia VETA DAKAWA
Maoni
Chapisha Maoni