Kijue kitabu cha Agano Jipya full chote

🎤🎤IJUE Biblia VIZURI🎻

🌏KARIBU Ujue Agano Jipya🌲🌲

Agano jipya ni kitabu kinachokusanya Maisha ya Yesu na mitume wake aliotenda nao kazi kuazia kuzaliwa kwake mpaka kupaa kwake.

🌳🌳Ni kitabu cha kipekee kilichokuja kunena unabii WA maisha ya mbeleni  na kutuongoza pakusimamia na kutufunulia mengi Tuliokuwa Hatuyajui.

🌴🌴Yesu ni nani?
Ni MUNGU mwenyewe aliyejivika vazi LA kimwili nakuja Hapa duniani kuokomboa ulimwengu Uliokuwa umemuacha MUNGU na kuishi maisha ya dhambi.

Tunaelezwa Kuhusu Yesu Yohana.1;1-6

Wengi mpaka Leo humfananisha Yesu Na mwingizaji mmoja aliyekuja  kuichochea Imani ndani mwa watu Briton Deacon

Kitu ambacho Yesu alikuwa ameshapaa

✍🏾✍🏾Agano jipya  Limeandikwa na waandishi tofauti tofauti mitume na wanafarisafa mbali mbali.

Katika Mazingira tofauti tofauti nyakati tofauti

👁👁UFaFanuzi WA Agano jipya👁👁

✍🏾VITABU ViLivyomo ni 27
Hivi ni vitabu  tu vilivyokusanywa humo

✍🏾Sura zilizomo ni 260
Hizi ni sura tu zilizomo

✍🏾Mafungu yaliyomo ni 7957
Haya ni mafungu tu yaliyomo

✍🏾Maneno Yaliyomo ni 180552
Haya maneno Tu yaliyomo humo

✍🏾Herufi Zilizomo ni 838380
Hizi ni zile herufi Tu zilizomo humo moja moja kitabu chote

👀KITABU KILICHO CHA KATIKATI👁

✍🏾2wathelonike

👁👁SURA YA KATIKA
✍🏾ni Warumi.8!9

👁👁FUNGU LA KATIKA
✍🏾ni Matendo.27;17

👁👁KITABU KIDOGO Kuliko vyote

✍🏾3Yohana

👁👁FUNGU FUPI Kuliko vyote

✍🏾ni Yohana.11;35

👁👁FUNGU Refu kuliko vyote

✍🏾ni Ufunuo 20;4(linamaneno 69

👁👁SURA NDefu kuliko vyote

✍🏾ni Luka 1

✔✔Huu ndio Ufafanuzi WA Biblia Agano jipya ilivyo

🔜🔜Pastor Richard🔚🔚
Holy spirit ministry Tanzania
Makao Makuu
MOROGORO shukia VETA DAKAWA

☦☦Mafundisho Ya Biblia☦☦

Share kwenye Magroup na marafiki wajifunze nao

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.