TUMIA AKILI IPASAVYO
✔✔ *SOMO : TUMIA AKILI IPASAVYO*
1 koritho 2:11-14 Rumi 1:21-22
Akili ni sehemu Moja wapo aliyopewa mwanadamu avitumie ili kuishinda tamaa na hila za shetani ila akili Pekee haiwezi lazima apate msaada wa Roho Mtakatifu bila msaada wa Roho Mtakatifu akili Huenda kumpotosha na inapompeleka tofauti ni Pale huyu Mwanadamu anapoanza kujiuliza haya maswali au kuongea haya
1-Hakuna MUNGU au MUNGU hawezi Tenda hilo
2:MUNGU Anakubaliana na uovu au kumliganisha au kumchunguza tabua ukimuona Mtu wa hivi Amekwishapotea akili yake imempoteza wengine humtafit MUNGU Na kujiuliza Juu ya Uweza wake
Naposema Tumia Akili au Uwe Na Akili ya kupambanua vitu kujitambua Wewe ni mtoto wa kifalme ukasimama na Mungu Hakuna kushindwa
1:Tambua wewe na nani usijiliganishe na watu ambao hawajapata ufahamu wa kumjua MUNGU Yaani Kuokoka wakaachana na Yale ya nyuma
Ukijielewa hilo utasimama kiroho na utakuwa na kuleta matunda
2:Lazima Uwe na Akili ya kujiuliza Umeangizwa nini au ujiulize wagapi umewaleta kwa Yesu toka ulipookoka
Hili ni swali la kwanza ukifa utaulizwa Basi Kila mmoja Anatakiwa kusimama kuieneza injili na wenye wito kuiendeleza Holy Spirit Ministry Ulipo na kuhakikisha inasimama Kisha kunijulisha
3:LAZIMA Uwe na uhusiano mzuri na Mungu Kwa kujitoa kwako kuifanya Holy Spirit ifike mbali kuomba na kutafuta uso bila kuchoka
Mambo Matatu ukaweke mbele moyoni siku zote
1:Kuitambua Uweza wa MUNGU
2-Kuomba kuabdu kumsifu kujitoa kuwaleta watu kwa Yesu
3:Tambua Majaribu ni sehemu ya kuipima kiwango chako ulipofikia kwa hiyo Songa mbele usirudi nyuma
Akili yako Ikaanze vyema kwa viwango vya Juu
Naitwa PASTOR RICHARD
Mch.kiogozi WA makanisa YA Holy Spirit Ministry
Makao makuu VETA DAKAWA Tupo Morogoro
Simu +255759861768
Tovoti www.mchungajirichardi.blogspot.com
Maoni
Chapisha Maoni