SOMO: SHETANI , IBILISI
👆🏽✔ *SOMO: SHETANI (IBILISI)*
EZEKIELI :28:12_18
MATHAYO 13:39
Shetani ni nani?
Shetani huwa ni kiumbe aliyeumbwa na Mungu pia ni Malaika aliyeasi na kutupwa hapa duniani
Mambo ya kujua ni haya Kuhusu shetani
1:Aliumbwa akiwa mkamilifu Alikuwa mmoja wa makerubi Mbinguni hawa ni Malaika waliozunguka kiti cha enzi Mbinguni
EZEKIELI 28:12-14
ALIKUWA NA KILA SIFA ALIKUWA MCHA MUNGU ANAYESIFU UTUKUFU WA MUNGU ALIKUWA NA HESHIMA KUMBWA ALIYOPEWA KATIKA YA MAKERUBI KULE MBINGUNI
EZ. 28:13
, 2:KUAGUKA KWA SHETANI
Shetani alipoona Anaongoza sifa kumwinua MUNGU kuwa ameheshimishwa katika ya Malaika wengine aliingiwa na Sifa hizi
-Dhambi yake
Aliaza kiburi na Jeuri nyingi kama ilivyo Leo anapowaingia watu huwa wanasahau walikotoka hata mtu akiinuliwa tu kidogo anaanza dharau au mtoto wa kiroho Anakuwa hivi huwa shetani anaanza kumtumia
Alijitazamia alivyo
Mzuri
Kuinuliwa kwake
Hekima yake
Mithali 16:18
3 *:BAADA YA KUTUPWA KWA SHETANI*
1:Amekuwa chanzo cha dhambi zote Amekuwa chanzo cha wasio na Imani kuwaagusha kiroho na kuwafanya wa kristo wengi wamuasi MUNGU wa kweli na kufata Mafundisho ya uongo yaharibuyo nafsi zao au kuwapotosha
2The2:7 Mwanzo 3:1-6
*TABIA ZA Shetani huwa ni hizi*
Yeye hujenga uadui na Mungu Na watoto wa MUNGU wanaosimama kwa Imani na kristo wasivunjwe Moyo au kuaguka na Mambo madongo ya dunia hii wenye misuli ya Imani ndio huwa wanamshinda
Mathayo 3:39
ANAJIDhihirishaje ndani ya mkristo
Shetani huwa roho na kama roho haifi wala haizidiwi pasipo Imani ya kristo kusimama kwa Yesu hasa
Huwa mtu mwenye tamaa ya pesa huwa linamkamata kwa kumletea hivyo
Mwenye tamaa ya uzinzi humkamata kwa kumletea kishawishi hicho
Mwenye tamaa ya wizi wa fungu la kumi hukamatwa kwa kuletewa Moyo huo usitoe
Shetani huingilia Kati ndani yako
-Kuliimba Neno LA MUNGU Yaani nachokufundisha hapa
-Huchukua ufahamu na kukuvurunga kwa kukuinulia kushindwa kukata tamaa kuelemewa na Anasa dhambi na Kurudi nyuma mara kwa mara unashindwa kuwa na ufahamu wa kusimama kabisa kimaombi na kiimani
Kumbe basi Wewe Jielewe ni mshindi kwa kuwa licha ya kuwa shetani ni roho lakini hana uwezo wa kumshinda mtu mwenye Imani
Hata mapepo yake na majaribu hayawezi kumzidi yakamwagusha mtu mwenye Imani
Naitwa PASTOR RICHARD Mch.kiogozi WA makanisa YA Holy Spirit Ministry
Nipo VETA DAKAWA Morogoro
Simu, +255759861768
Tovoti www.mchungajirichardi.blogspot.com
Maoni
Chapisha Maoni