MAOMBI MBALIMBALI Ingia hapa

🌳🌳 *MAOMBI  MBALI MBALI*🌳🌳

*1:Maombi yakufuguliwa*

2:coritho 10:3-6

Mambo ya kuzingatia uingiapo maombi haya

a. TOBA YA KWELI

b, Kumkiri Kristo (Uokoke uachane na Yale ya kale na Uwe mfatiliaji wa Mafundisho na injili kuihubiri kwa wengi

3:Imani Uwe na Imani

Baada ya  Kujichunguza ukajiona upo nayo hii rahisi kufughuliwa

Anza na  maombi haya kuombea kufuguka kwa matatizo yako

1:Agalia Tatizo linalokutesa huwa linaanzia wapi

2:Jiulize kwanini huwa hivyo

3:majibu unayopata Sasa ANZA kuomba kwa kufuga mlango unaoingiza Tatizo

Maombi Yake

Baba Ansate Katika jina la Yesu  Ninaomba nisamehe Baba nimekukosea sana ndio maana maisha yangu yamevurugika mimi mwanao___Natubu najuta naahidi sitakuacha tena nakataa hali___YA mimi(Taja Hali iliyokufuga au iliyomfunga unayemuombea)  nafugulia Afya nakufuga hali ya___sitaki niishi maisha hayo katika jina la Yesu Mnazareth Amen

Hakikisha unalikataa Tatizo na Roho zote zilizoshika wewe uteseke

Gusa sehemu ya pale Tatizo Mfano huzai shika Tumbo ufugulie Uzao

Mfano huoi Huolewi Gusa kidole cha ndoa fugulia mme aje uliyepangiwa  fuga nguvu za kijini na ndoa za kijini

Mfano kifafa ngusa kifuani Fugulia Ufahamu komboa ufahamu sema Pepo wa kifafa nakukemea katika jina la Yesu

KAMA Hufanikiwi komboa nafsi  na nyota hapa huwa unaomba kuamrisha nafsi nafsi popote maisha yangu yalipotumiwa kinyume na Mpango wa Mungu  nayaita maisha yenye mafanikio nyota yangu ikag.aeee katika jina la Yesu Mnazareth 

Amen


🌳🌳 *2:MAOMBI YA KUFUGHULIA  MANADHIRI*

Hesabu 30

Nadhiri Huwa Maneno na vifugo unavyojifungia kwa kuishi na mpenzi wako pasipo mipango ya ndoa kutoleana Mahali hiyo ujue mtu Kuna kamba inamtafuna Nadhiri ninayoongelea hapa ni ya mwanadamu baina ya Mwanadamu

Upo Unaishi maisha yakuahidi tu usitimize nitakuoa Halafu humuoi au sitakusalit wewe Unakuja kumsalit Mimi nk

Vifugo hivi huwa vinatimizwa na Mungu kama mnaahidiana wawili YUPO ashuhudiaye watatu ambaye huwa MUNGU  Yeye huagalia kudhibitisha

Katika kufugua Omba Baba naomba Unafugulie kutoka kwenye Nadhiri katika jina la Yesu Mnazareth  Amen
Futa Maneno niliyojifuga pasipo kujua

Futa Nadhiri nilikuweka na mchumba wangu__1__2__3__wataje Kisha kama baba mama itaje hiyo Nadhiri naifute katika ulimwengu wa Roho


🌳🌳 *MAOMBI KWA  WAGONJWA*

Baba ansate Katika jina la Yesu Mnazareth  natangaza mara Moja___kiachie kiachie kiachie katika jina la Yesu Mnazareth Amen

*Taja ugonjwa unakutesa ukiishika sehemu inayouma*

🌳🌳 *MAOMBI  KURUDISHA* *KITU*CHAKO KILICHOPOTEA

Kikubwa Uwe na Imani

Uwe umemkiri kristo kuwa Mwokozi wa Maisha Yako

*Omba Hivi*

Baba ansate Katika jina la Yesu Mnazareth  Narudisha  pesa yangu niliyopoteza Narudisha Amani katika ndoa Yangu narudisha_____Taja  endelea kuamka kurudisha kukomboa kurenjesha Tumia muda mwingi kuwa unaomba mara kwa mara


🌳🌳✔ *MAOMBI  YA  KUREJESHA NAFSI*

Baba ansate Katika jina la Yesu Mnazareth kuanzia Sasa nakomboa nafsi yangu iwe ipo makaburini njia Panda Kwenye chupa popote pale maisha yangu walipoyafungia lazima yaachie  Nasema lazima itokee na inifate katika jina la Yesu Mnazareth Amen

Wewe omba kukomboa nafsi tu g.ag.ana mara kwa mara maisha yako na mipango ukibomoa kuta za kijini mapepo wachawi

🌳🌳 *MAOMBI  YA  TOBA*

Baba natubu mbele zako unisamehe nilipokosa au kwenda kinyume katika jina la Yesu Mnazareth Amen

Hapa jinyenyekeshe sana Tena sana

🌳🌳 *MAOMBI  KWA  ajili ya Wachawi Usiku*

Mambo haraka haraka usiku unateswa Na wachawi

1:Kushituka shituka wachanga usiku

2:Kuliaa sana usiku saa 7_10usiku

3:Mwili kuchoka ukiamka

4:Mipaka kulia Mfano watoto panya wakumbwa mijusi mikubwa mwili kisisimka hofu usiku mbuni kulia Nk

Omba Hivi

Kuanzia Sasa natamka wachawi wote kuanzia mwenyekiti karibu wao na wajumbe wao barabara zao midunde yao popote watakapogusa watakutana na Moto wa Yesu  maana mimi ni Moto katika jina la Yesu  Mnazareth Amen

Hakikisha wewe ni mfatiliaji wa masomo haya yameshaingia nawe upo fire

🌳🌳🌳 *MAOMBI  YAKULALA*

Baba ansate Katika jina la Yesu Mnazareth  nakushukuru Kila hatua umeniwezesha kuwa mshindi nifanye Endelea kunilinda hata Sasa nakabidhi viugo vyangu kwako uvilinde katika jina la Yesu Mnazareth Amen

🌳🌳 *MAOMBI  YA  KUFUGUA WADENI  WAKO*

Nafugulia madeni yote katika jina la Yesu na hata NAO wadai nafugulia  katika jina la Yesu Mnazareth  waaze kunilipa Nataka nikufanyie____katika pesa yangu MUNGU WANGU
Amen

Hapa MUNGU huagalia  Mambo Matatu utamfanyia nini je Umejitoa kitu chochote hata ukapeleka vitabaa kanisani huwezi kumshawishi MUNGU Kama katika Mali yako au kitu chako mgumu ndio kigezo

Cha kushinda kutapeliwa kudhulumiwa nk


🌳🌳🌳KUOMBEA  MTU  ANayetumia vilevi

Mbangi madawa Pombe

Anza na Kumpa SOMO Juu ya madhara na Asali muulize faida alizozipata akutajie

Pili Eleza kwa upana somo kama ni kijana gusa Mambo ya Ujana kama Mzee gusa Mambo ya kizee

Kisha Muache nenda naye taratibu mpaka masomo ya mwingie abadilishe Tabia usimfokee usipaniki nenda naye kama rafiki yake Ukisoma Uelewa wake Juu ya atumiacho

*Akiokoka muogoze Toba
*
Eee  Bwana YESU  ninakuja kwako mimi mwenye dhambi nimekukosea Mengi kwa kujua na kutokujua nilikuwa naiba Mzinzi mlevi nisamehe naifute kwenye kitabu cha hukumu niandike kwenye kitabu cha Uzima nakiri sitakuacha namkataa shetani na tamaa zake Eee Yesu niongoze amen

🌳🌳 *MAOMBI KURUDISHA* MMEO

Baba nisamehe naomba umrudishe mme wangu nguvu yoyote iliyomshika mme wangu natuma Moto Moto napindua mawazo yake nayashika nayaongozo Yakawaze Nyumbani arejee Tutuze ndoa yetu katika jina la Yesu Mnazareth  kuanzia Sasa namwita kwa nafsi yake___Mtaje Endelea mpaka maombi yAkate

Shughulikia falme za kijini

🌳🌳 *MAOMBI YA BINT AMBAYE  HUJAOLEWA* 🌳🌳au  kijana ajaoa

Natuma Moto kufungua yule Jini anzura anayeshughulika  na mabint wasiolewe vijana wasioe lazima aachie ndani yangu maana mwili wangu MOTO NA mme/mke Moto lazima uachie katika jina la Yesu Mnazareth

Amen

🌳🌳 *MAOMBI  YA  NDOA Zilizovunjika* 🌳🌳

Natuma Moto kuuguza huyo Jini Maradi anaye vunja ndoa za watu namuunguza aachie ndoa Yangu Na alikompeleka mme wangu mke wangu Nampa mateso ya Moto huyo Jini Maradi mkuu wakuvunja ndoa za watu Leo nakuendelea argue na kuteseka mpaka anirudishie Mme wangu Awe yumo ndani yako kwa mmeo Moto wa Yesu aliketi Mahali PA Juu umtese  endelea


Maombi yako shughulikia Tu huyo jini


🌳🌳 MAOMBI YA  WANAOHARIBU  MIMBA
*

Natuma Moto wa Yesu  Moto Moto lazima Jini sumira Anayefanya mimba iharibike lazima augue Katika jina la Yesu Mnazareth

Shughulikia Jini huyo tu shika kizazi komboa bomoa makazi yake

🌳MAOMBI KWA kutokwa damu kutoblind Tumbo kuuma

Natuma Moto wa Yesu  huyo Jini Subiriani lazima aachie alipo shika katika jina la Yesu Mnazareth Amen

Shughulikia huyu Jini tu shika uombee kwa Imani tu


🌳🌳MAOMBI  KWA Wasiofanikiwa🌳🌳

Natuma Moto wa Yesu  huyo Jini Murafali anayeshika Mafanikio ya katika jina la Yesu Mnazareth  lazima aachie hatua zako Mafanikio yako

Shughulikia huyu Jini Mtaje kwa jina ndie Pepo Kiongozi anayezuia usifanikiwe


🌳🌳 *MAOMBI  KWA UPOTEVU WA  PESA* 🌳🌳
Natuma Moto wa Yesu Kwa Jini Ratifu ambaye amekuwa anapoteza pesa zako lazima anirudishe kwa mamlaka ya jina la Yesu Mnazareth 

Shughulikia huyu Jini tu ndiye mhusika

🌳🌳MAOMBI YA MTU Ateswaye chuma ulete

Natuma Moto wa Yesu Pepo liloshika uchumi wako Jini johari lazima aachie Nafunika Moto wa Yesu Kila uwekapo pesa zako hatazichukua tena katika jina la Yesu Mnazareth

Shughulikia huyu Jini wewe pesa haiturii mkononi


🌳🌳MAOMBI ya Kumpokea Kristo

Kabla ujaingia vita anza na Sala hii mkabidhi Bwana Maisha Yako

Ee Bwana YESU Nakuja mbele zako mimi mwenye dhambi naifute kwenye kitabu cha hukumu niandike kwenye kitabu cha Uzima niwe Moja ya watoto wako wanaongozwa katika Roho Mtakatifu  Namkataa shetani na tamaa zake katika jina la Yesu Mnazareth

Amen



Hakikisha unaomba sio kunog.ona Tamka Maneno shughulikia Jini huyo tu

Tayari umeshaokoka Sasa Fata utaratibu na kutafuta makanisa ya Holy Spirit Ministry  Ulipo au kanisa la kipetekoste hapo uzidi kufundishwa au Fatilia fb MASOMO mara kwa mara

✔🌳🌳 *KILA  JAMBO  UNALOPITIA  Limebeba Maana kumbwa kwa Mungu sana* Unatakiwa ulishinde kwa kuomba kukemea na kukataaa Mambo ya shetani na kazi zake kemea tu.  PEPO ANAKUACHIA

Umezaa Uzao wako wote walevi au mayalaya wagomvi sana nk

Usilie ujue Kunatatizo ulilifanya wewe lilokinyume na Mungu kabla hujawazaa au uliwalea nje ya misingi ya kumjua MUNGU

Ukiona Unadhurumiwa  Pesa hulipwi pesa Ujue wewe Unaitaji ufundishwe Juu ya Utoaji pesa zako unazitumia kujenga Mambo ya shetani

Hapa ujue huwa mwizi wa fungu la kumi Soma kwenye Tovoti

Lakini Kuna mapito mengine kukupima Imani Mfano

Unaugonjwa ukiombewa hauponi ujue MUNGU amerusu akuone utasimama wapi

Ukiwa unavuka magumu unakosa hata pesa ya kula ujue ni mapito

Ukiwa Unaomba omba kutokana na Shida yako

*By PASTOR Richard Founding of the Holy Spirit Ministry*

*Morogoro VETA DAKAWA*

Simu +255710889892

Voda +255759861768

Tovoti www.mchungajirichardi.blogspot.com

*** FOLLOW  fb  Moto wa Yesu*

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.