WENYE HERUFI E NJISI YA KUFAnikiwa
✍🏾✍🏾Njisi YA KUFANIKIWA Wenye Majina Ya HERUFI E
HAYA FATENI ILI Mkawe Washindi
1-kuweni wenye kujitoa kwenye maswala ya Mungu
2-Kuweni Watu Wenye Msimamo
3-Pendeni Mungu na kushika
4-Epukeni Kutengemea Kusaidiwa
5-Jitume kujishughulisha chochote
6-Usiwe kigeu geu wakuhama hama na MTU usiye tulia
7-Wajitume kufanya kazi waepuke kutengemea MTU katika kazi zao
MWENYE JINA HILI HARUSiWI AWE NA URAFIKI NA MTU AU ABWETEKE ASIFANYE KAZI ASimame YEYE KAMA YEYE NGUVU ZAKE ELIMU YAKE NDIVYO MSAADA WAKE VIGINEVYO ATAJUTA Asimamie Miladi yake mwenyewe Kazi zake asichanganye Mali zake na MTU mwenye herufi Tofauti naye
By Pastor Richard
MOROGORO shukia VETA DAKAWA
Maoni
Chapisha Maoni