MAOMBI HUJIBIWA KWA MUDA GANI
✍🏾✍🏾 *MTU HUJIBIWA* *BAADA YA MUDA GANI*🔥🔥🔥
Ukimuombea/Ukiomba majibu huletwa baada ya Muda GANI..?
Miongozo Biblia
Kutoka;23;30
Nitawafukuzisha kidogo kidogo watoke mbele Yako
*Obadia* :1:17.
KUMB. TORATI. 7;1-2
HABAKUKI; 2;3
*
✍🏾✍🏾Watoto wengi wamefikia wakati wanajichanganya nakukata Tamaa WATU
MAJIBU HUJIBIWA KULiNGANA na Uvumilivu na Subira Yako
Watu ambao huwa hawajibiwi wasio kuwa na Imani
Wenye kukata tamaa
Wenye kupuuza neno
✍🏾✍🏾MUNGU HUJIBU BAADA YA Muda huu toka uombewe.
*1⃣Dakika*
Muda WA dakika kazaa unapokea majibu hupokea MTU.
*2⃣Siku*
Muda WA siku kazaa MAJIBU yako hupokea na kutendewa
*3⃣Wiki*
Muda WA wiki Tu MTU hupokea majibu Anapombewa
*4⃣Miezi*
Muda WA Miezi tu huwa lazima MTU afuguliwe ajibiwe Kila anapoombewa MTU.
*5⃣Mwaka*
Muda WA mwaka tu HUJIBIWA MTU na kufuguliwa
✍🏾✍🏾.ILI Upokee Majibu Yako
1- Uwe nasubira
2-Usirudi nyuma
3-Kazana kufatilia neno nakupenda
4-Shika neno moja tu LA kujitoa kwa MUNGU katika
-Kushuhudia
-Kuwa balozi wake
-Fungu LA kumi
-Maombi tunayoomba usiku
✍🏾MUNGU yupo kunituma nikuletee Majibu cha kusikitisha kila ninapoletewa unakutwa umekata Tamaa nawapatia wanangu wengine namwambia Baba tumpatie Fulani hebu muyapokee majibu yenu
Share kwa nduguyo mwambie kwanini Anakata Tamaa
🔥🔥By *Pastor Richard*
From MOROGORO shukia VETA DAKAWA
Mch. Kiongozi Holy Spirit Ministry
Maoni
Chapisha Maoni