VIKUNDI VYA MAOMBI MIKOANI

UTARATIBU WA VIKUNDI VYA MAOMBI KILA MKOA TUTAKAVYOUONGOZA NA KUSIMAMIA SISI VIONGOZI 

Tunalenga Kujifunza na Kuomba Bila Kukoma
Kama Neno linavyotuangiza
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
1 Wathesalonike 5:16-18

[16]Furahini siku zote; 

[17]ombeni bila kukoma

[18]shukuruni kwa kila jambo; maana hayo ni mapenzi ya Mungu kwenu katika Kristo Yesu. 

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Kila mtu ni wajibu kujua kuomba na kujifunza kuomba Nami Kama Askofu mkuu wa makanisa ya Holy Spirit church Tanzania (Moto Wa Yesu yenye Usajili no 21139 )Yenye makao yake makuu Morogoro  Wilaya ya Kilosa Kata ya mbigiri Kijiji cha mateteni 

Napitisha  Tuwe na Vikundi vya Maombi kila Tulipo ili kusaindiana Kiroho na Kujengana Kiimani hii baada ya wengi kuniomba tufanye hivi


UTARATABU UTAKUWA HIVI;


RASMI KUANZA:Mwezi wa Pili Tutaanza rasimi saivi Unachotakiwa waandae wanaopenda maombi kuomba na kujifunza nawewe utakayeanzisha hili hapo ndiye utakuwa kiongozi wa msimamizi wa maombi eneo hilo utakapokuwepo.


JINA LA KIKUNDI; WANAMAOMBI MOTO WA YESU (W.M)

MSTARI UNAOSIMAMISHA KIKUNDI: Soma 2Wakoritho;10;4  Na 1wathelonike;5:17

Hii mistari inasimamisha.
"""""" .......,,,,,"""""""""'xxxxx,,,,,,,,,,,,
TUTAKUTANA; πŸ‘‰IJUMAA MUDA SAA;10;00-12:00 Jioni Tunamaliza Tunarudi majumbani
Tunakuwa Tumefunga masaa 12 

ENEO KUOMBEA; πŸ‘‰Tutakuwa na mzunguko wa kuzungukiana Sisi W.M Kila aliye kwrnye kikundi tutamfikia kwake.

SADAKA: πŸ‘‰Tutakuwa na matoleo kwa ajili ya kikundi chetu kukifanya kiwe hai baadae Tunaweza Tengeneza Matishet yatakayochapwa Jina la kikudi. MSIMAMIZI ATACHANGUA KIONGOZI WA KUTUNZA SADAKA NA KUMBUKUMBU ZA MATUMIZI YATAKAYOSOMWA KWA WANAMAOMBI.

        SIFA ZA KIONGOZI WA MAOMBI 
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡➖➖➖πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
1;Awe ameokoka na mwenye msimamo wa kiroho asiyeyumbishwa.

2;Awe Anapenda Maombi na mwenye kiu ya maombi
.
3.Awe na upendo kwa wegine na mwaminifu wa kuzingatia muda wakukutana.

4; Awe ndani ya Hili Group la Maombi Hata Kama Patakuwa na Maelekezo kutoka Kwa Mungu Juu ya Kikundi alichonacho apokee.


SIFA ZA MSAINDIZI WAKE ZIFANANE NA SIFA ZA KIONGOZI MSIMAMIZI.
πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†

            SIFA ZA MWANAMAOMBI.
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡➖➖➖➖πŸ‘‡πŸ‘‡➖➖πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
1.Awe mtunza siri za kikundi chenu na Siri Za Wezake Asienenze Matatizo au wanayopitia wezake nje ya kikundi.

2.Awe mtiifu na mwenye kuheshimu anayemuongoza

3.Akiona maono au ndoto juu ya maombi yao Awaeleze viongozi wake wa maombi nao wakishindwa kuelewa watanipigia Simu nakunieleza.

4:Mwanamaombi atoke dhehebu lolote Imladi anataka kujifunza kuomba na kuombeana.

5:Kila Jumapili ataenda kushiriki nakuabudu kanisani kwake Awe Anakanisa au Dini yake.

6;Awe mwaminifu wa muda na Kujali Maombi

7:Awe mtu mwenye kushirikisha wengine kuja kwenye maombi.

8;Anaweza akawa kwenye group la maombi au asiwemo

NAMNA YA  KUENDESHA IBADA.

1:Tutafungua kwa maombi Dakika 5

2;Nyimbo za kusifu na Kuabudu Dakika 10

Mnatoa Sadaka Kabla ya Neno

3;Somo fupi litakoenda dakika 15.
Kila mtu mwenye uwezo wa kufundisha atapangwa.

4:Maombi na Kuombeana.Dakika 30.
.
    KUOMBEANA 
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Tutaandika mahitaji yetu 10 
Tunakuwa tunaombeana Kila hitaji likijibiwa tunaweka jingine

Kila mmoja atabadilishana ile karatasi na karatasi ya mwezake UNAOMBEA KWA KULITAJA JINA LAKE DAKIKA 20 KISHA 
Kila mmoja ataandika Jina lake kufanya urahisi kwa Anayemuombea. KISHA MKIMALIZA KARATASI ATARUNDISHIWA MWENYE NAYO MSICHANE MPAKA UMEJIBIWA UNATIKI  KAMA IKICHOKA UNAKOPI NYIGINE MAHITAJI HAYO HAYO.

 πŸ‘†πŸ‘‡  KUOMBEA ENEOπŸ‘‰πŸ‘†

MTAINGIA MAOMBI YA KUOMBEA ENEO MLIPOKUTANIA KUKAMATA ANGA ARIDHI YA MTAA HUO 

MTAOMBEA ARIDHI NA HILO ENEO WATU WAZIDI KUJIUNGA NANYI

MTAOMBEA FAMILIA YA MLIPOKUTANIA

MTAOMBEA KAZI ZENU MAHUSIANO YENU NDOA WATOTO WENU

MTAOMBEA ROHO ZINOZOWACHELEWESHA

Kisha mtamuombea Pastor Richard Mwanzilishi wa maono na kuombea uongozi wenu kisha funika kwa Damu ya Yesu Mahitaji yenu 

.MWISHO 

Fugeni kwa Maombi nakupeana mkono.
Kama kuna matangazo au taarifa imetoka huku juu Mnapeana

MSINGI WA IMANI YETU.

Watu wafundishwe na waweze kujisimamia wao  kama Wao Bila Kutengemea mtu.

Mathayo:28;18-20

Usiwaaminishe watu mafuta au chumvi au maji waaminishe Jina la Yesu linanguvu kwao Pia Neno la Mungu Lina nguvu kwao.

Ukisikia Sauti ya Mungu uwe makini na ujihakikishie Ni Sauti ya Mungu Kweli kama hutaelewa Mpingie Pastor Richard unamweleza

.πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
JUMAPILI KILA MTU ANAENDA KUABUDU KANISA LAKE IJUMAA TUNAKUTANA.


Nitumie Jina full na mkoa na wilaya kijiji utakapokuwepo na simu yako.

Karibuni Tuanzishe vikundi vya kuomba kwa kushirikiana na wengine.

.Yohana 15:7
[7]Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa. 

Luka 11:1
[1]Ikawa alipokuwa mahali fulani akiomba, alipokwisha, mmoja katika wanafunzi wake alimwambia, Bwana, tufundishe sisi kusali, kama vile Yohana alivyowafundisha wanafunzi wake. 



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.