SOMO:MJUE MTU ALIYEFUNGWA NA Maroho Bila KUJUA
SOMO: MJUE MTU ALIYEFUNGWA NA Maroho Bila KUJUA.
Karibu katika Somo hili uweze kujitambua namna ya kushughulikia roho zinazokutumikisha Katika Ulimwengu wa roho bila wewe Kujua au Kutambua kama unateswa na roho.
Somo hili unaruhusiwa kushare nakuwafundisha wegine.
Naitwa Pastor Richard
Nipo Morogoro Veta Dakawa
WhatsApp inbox +255759861768
TUSOME MISTARI HII
Mithali 1:7
[7]Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.
1 Wakorintho 12:7
[7]Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa kufaidiana.
πππππππππ
Nitaenda Kuongelea Vifungo na Pepo linalosababisha hilo tatizo ili kukusaindia kujua ushughulike vipi unapojifungua au kuomba.
KUNA WATU MAPEPO YAO YANAWATUMIKISHA KULA VITU VIFATAVYO:_
_________^^^^^^^_______^^^^^^^_____
1:KULA UNDOGO WOWOTE =Jini nyoka
Ukiona unakula undogo unapepo la nyoka kemea.
2.KULA MKAA= Jini Cheketu.
Ukiona mtu anakula mkaa anapepo hili linamtumikisha Kemea.
3.KULA NGODORO= Jini la Uvuvi.
Ukiona mtu anakula ngodoro anapepo la uvivu kemea hiyo roho.
4:KULA MCHELE= Jini la udhuruaji.
Ukiona mtu anakula mchele atakuwa mtu asiyetulia sehemu moja roho inakuwa inamtumikisha kemea.
B.KUNA WATU WANAOFUNGA KUCHA KUMBE WAMEJIFUNGA.
1: KUFUNGA KUCHA KIDOLE CHA MWISHO.
(KINDOGO)= Unaujulisha ulimwengu wa kuzimu huna mume lazima zitakufunga usiolewe.
2.KUFUNGA KUCHA KIDOLE CHA PILI BAADA YA KINDOGO.=Unaujulisha ulimwengu wa roho unamume au mke asiyezaa roho zinakufunga kupitia hiyo kucha.
3.KUFUNGA KUCHA KIDOLE CHA TATU BAADA YA KINDOGO =Unaujulisha Ulimwengu wa roho Unamume lakini umeolewa katika roho au umeowa katika roho kemea hiyo roho.
4:KUFUNGA KUCHA YA KIDOLE CHA NNE.=Unaujulisha Ulimwengu wa roho mume wako au mkeo amefariki
5:UKIFUNGA KUCHA KINDOLE KIKUBWA CHA MWANZO=Unaujulisha ulimwengu wa roho wewe hutaolewa tena
Kucha roho huzitumia kama atena ya wewe kukunasa mtu wa Mungu.
KUNA WATU HUWEKA KOPE ZA BANDIA MENO YA BANDIA KUCHA ZA BANDIA KUMBE WANAZIRUHUSU roho ziwavae.
ππππππππ✍✍✍✍✍✍
1:WANAOBANDIKA KOPE= Jini Asha Bint Kitako hili pepo huwavaa watu wengi kupitia kope bandia.
2: KUWEKA MENO BANDIA= Jini Koikoi hili ni Pepo linalowavaa watu wanaopenda kupachika keno ya bandia
3:LIPSIT NA KUJICHUMBUA=Jini maimuna ndiyo mwenye kupenda kupaka Enjoface lipstikiπ Kujichumbua unapofanya unamuruhusu angie akutese.
4.KUWEKA KIPINI KWENYE KITOVU=Jini makata ujue huyu pepo unampa lango aingie akutese.
5:MWANAUME AKITOMBOA MASIKIO=Jini Koikoi hii roho huwavaa wanaume.
6;UKITOMBOA PUA =Jini Asha Bint Kilulu hii ni pepo linalowafanya watu wanaotoboa pua kuwavaa nakuwatumikisha.
WAPO WATU MAPEPO YAWAVAA KUPITIA SHANGA.
Shanga ni matapishi ya majini kuzimu na viwanda vyake hapa nchini hakuna zipo Aina mbili za shanga ndogondogo na Kubwa.
1:SHANGA RANGI NYEUPE=Unamvaa sharifu Jini mahaba ukiona mtu amevaa shanga nyeupe roho ya ukahaba itamtesa.
2;SHANGA ZA KAHAWIA= Unamvaa Jini Subiani hili ni pepo linakuwa linashughulika na blidini nk
3:SHANGA ZA NJANO= Unamvaa Jabari hili ni pepo linaingia mwilini kupitia shanga hizi.
4:SHANGA NYEKUNDU= Unamvaa Jini Makata ukivaa shanga rangi hii unavaa hili roho .
5:SHANGA ZA KIJIVU= Unamvaa Jini Paramamba hili pepo humwigia mtu anapovaa shanga rangi hii.
6:SHANGA NYEUSI=Unamvaa Jini Koikoi hili linamvaa mtu anayependa kuvaa shanga rangi hii.
NINI UFANYE SASA;
____________________
Kila mmoja kuna sehemu nimemfungua Neno husema mtu hupotea na kuagamia kwa kutokujua lakini akijua hapotei haya ni mapepo yanavyowavaa watu bila wao kujua wala kutambua.
ππππππ
Hosea 4:6
[6]Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
Jambo la Kwanza Kuwa balonzi kwa wengine wajue hili.
Jambo la pili kemea hizo roho na uviache vitendo hivyo acha kula undogo ukiwa na mimba au mkaa au mchele.
Amua Kuokoka kama Bado
Nipigie nikuombee+255759861768
Uliyeamua kuacha na kutubu unieleze kila kitu utakapoongea na mimi.
Ansateni wote.
Maoni
Chapisha Maoni