SOMO:MAMBO MATANO UYAFANYE UKITAKA MME MWEMA

MAMBO MATANO UKITAKA MME MWEMA
MABINT.
Mithali;3:1-10
Naitwa Pastor Richard
Ninakukaribisha katika Darasa la mahusiano

1;Epuka Kuzini au Kukaa na mwanaume ambaye hajafata Taratibu au kujulikana.

2;Kuwa mtu wa ibada na manisha kuokoka asiache kanisa kwenda.

3;Jitambue na Ujituze vizuri jiepushe na watu wanaokushauri mabaya.

4:Jitengemee Kuwa na Kazi Yako inayoendesha nakukupatia mahitaji yako.

5;Usile Pesa Ya Mwanaume au Kuchukua chochote bure.

MAMBO HAYA BINT YASHIKE ILI UPATE MME MWEMA

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.