SOMO;wewe MSHINDI

😴😴😴TUSOME HAPA MPAKA MWISHO_ELIMU HAINDAGANYI NA BIBLIA Yer:1;19 Haidaganyi😴😴

🔥🔥SOMO;WEWE NI MSHINDI TOKA TUMBONI.🔥🔥

Tufunue Biblia Yeremia;1;19,18:19 Ufunuo;12;8A,Zaburi:13;

Naitwa Pastor Richard
NIPO Morogoro veta Dakawa
Simu+255759861768

Turudi Darasani Kindogo Unajua Unapoambiwa wewe MSHINDI unazani unatiwa moyo na Mungu anapokuambia nilikujua toka nikiwa tumboni uelewi.

Karibu

Mwanzo wa Wewe Ulivyoanza Kushinda.

Biology Inatuambia Mwanaume Anapofanya tendo la ndoa hutoa mbengu takiribani milioni Mia tatu(300,000,000) mbengu Hizi huwa zinaongelea kukimbia kufika kwenye ovary(yai) lakini katika milioni Mia tatu wote Wanaofanikiwa kulifikia yai Ni mia Tano (500) Kutoka kwenye kukutana na yai la kike na la Kiume huendelea mbengu kuongelea mpaka kwenye mfuko wa Uzazi ambao hufika mbengu Moja TU(1)AMBAYE Ndio Wewe Hapo Unayesoma Ujumbe huu.

JIULIZE KAMA KIPINDI HUNA MACHO MIGUU MIKONO ulishindana na watu milioni Mia tatu(300,000,000 ) Ukawashinda

MKABAKI WATU MIA TANO(500) Ukawashinda Tena ukiwa huna miguu Wala mikono

UKABAKI WEWE UNAESOMA UJUMBE HUU UKAZALIWA.

Sasa Unamiguu Unaakili Unamikono Inawezekanaje wewe Kushindwa

Umepambana tumboni na watu milioni Mia tatu uliwashinda.

#🏃🏃TAFAKARI JINSI ULIVYOWAKABILI WALE MILIONI MIA TATU KISHA MUOMBE MUNGU AKUREHEMU ULIPOMUWAZIA VIBAYA AU KUKATA TAMAA

KAMA KUKATA TAMAA UGEKATA TAMAA TUMBONI LAKINI WEWE NI MSHINDI SIKU ZOTE.

🗣️🗣️shirikisha wengine


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.