SOMO: DALILI ZA MTU ANAETESWA NA UCHAWI WA MAJINI

SOMO; DALILI ZA MTU ANAETESWA NA UCHAWI WA KUTUMIA MAJINI

Tufunue Biblia Zetu Tusome;Luka:9;1-2 Hesabu;23;23 Isaya;47;10-13

            ✍️✍️✍️✍️ UTANGULIZI✍️✍️
Karibu ninayekuletea SoMo Hili Ninaitwa Pastor Richard nielimu inayoenda Kukusaidia Kutoka kwenye Vifungo vya kichawi maana wachawi wametapakaa kuleta Uharibifu wa maisha Yetu nasi Tunafungwa Ufahamu na kututesa endapo Tunaposua sua kusimama na Maombi Tunajikuta Tunapitia matatizo mbalimbali yanayosabambishwa na Ufalme wa WAGANGA na wachawi

Karibu Ujiagalie unazo dalili hizi Kama ndio jua wamekunasa wachawi

Tumia namba Zangu Pastor Richard unipingie Jioni+255759861768 au fika kanisani Morogoro veta Dakawa

Mara nyingi wachawi Hufanya Uharibifu na Kukufunga usiku

1;Mfano unaweza kuwa unaota mara kwa mara unalishwa vitu usingizini au unapewa madawa na wakati mwingine unakuta asubuhi umechanjwa chale mwilini au una mikwaruzo.

2;Unaweza kuota unafanya mapenzi na watu au wanyama

3;Unaweza ota unalima na asubuhi unaamka umechoka

4;Unaweza kuhisi mwili wako kuna vtu vinatembea kama siafu au joto lisilo la kawaida sehemu ya viungo

5:Kuhisi ganzi na kichwa upande mmoja kisichopona

6;Macho kushindwa kuona darasani au ofisini lakini ukiwa nje unakuwa sawa

7;Kushindwa tendo la ndoa au kuhisi hupendi kabisa na ukilazimisha unashindwa

8;Kupiga mihayo mingi mara kwa mara bila usingizi au njaa

9;Kuhisi umebeba vitu mgongoni na kuhisi kifua kizito

10;Kuhisi kuna mtu amekusimamia au anakufuata nyuma na ukigeuka huoni mtu huyo

11;Kukata tamaa ya maisha na kuona kila kitu hakiwezekani

12;Kuingia kwenye hedhi bila mpngilio na kwa shida

13:Kutoka damu ya hedhi bila kukoma kwa miezi au damu kupotea na hali huna mimba

14:Kuchukiwa na kila mtu bila sababu hata jamaa na marafiki

15;Kuongea usiku na kupiga kelele

16;Kuota nyoka mara kwa mara na paka hasa weusi

17;Kuota uko msituni mara kwa mara

18;Kuota uko chooni au bafuni au sehemu chafu mara kwa mara

19;Kuota unakojoa mara kwa mara na wakati mwingine unakaribia kukojoa kitandani

20;Kuota watu waliokufa na unaongea jamaa zako marehemu mara kwa mara

21:Kuota uko makaburini mara kwa mara

22:Choo inakuwa ngumu hata kama unakula matunda na unajisaidia mavi kama ya mbuzi kwa taabu na muda wote na hili hali minyoo

23:Kutingisha baadhi ya viungo vya mwili na kuhisi kitu kinatembea tumboni mgongoni au sehemu za mwili

24:Kuota unagombana na kundi la watu kwa vitisho mpaka unatoka jasho

25;Kuhisi woga na moyo kudunda mara kwa mara ghafla 

26;Kupata stroke zisizoeleweka chanzo chake hasa ukiwa na nafasi na neema kubwa kwenye kazi au biashara au unapoishi

27;Kushindwa kuongea ghafla na kuwa bubu mtu mzima aliyekuwa mzuri kwa kuongea na kushauri watu

28;uume kurudi ndani nakuwa mdogo kama wa mtoto au pili pili na hali ulikuwa na urefu wa kawaida

29;Matiti kurudi ndani kwa mwanamke ghafla

30:Kuchukia mke au mme na kuona ana sura kama ya mbwa au mbaya na wakati wengine wanamuona mzuri sana

31;Kusinzia sana na wakati mwingine kusinzia kazini na kushindwa kazi

32:Bosi na watu muhimu kukuchukia bila sababu hata kama ni mchapakazi hodari

33:Kupenda kuzini na kulewa mpaka ukaamua kuwa wewe na zinaa, pombe, maisha ndo sehemu ya maisha yako, shetani anakuwa anakuendesha kama gari

34;Kuzama kwenye matatizo makubwa ya kimaisha mara kwa mara na mikosi inakuwa kama ndo sehemu ya maisha yako

35;Kusikia unaitwa jina lako usiku au mchana na mtu aliyekuita humuoni

36;Kushindwa ibada na kusinzia wakati wa ibada na kwenye hotuba za dini zenye kuamrisha mema na kukataza mabaya hupendi na ukiwepo unasinzia mara moja bila kutaka

Naitwa Pastor Richard
Nipo Morogoro veta Dakawa
Simu+255759861768
Tovoti;www.mchungajirichardi.blogspot.com

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.