Somo AGANO LA UCHUMBA
[5/1, 22:38] +255 755 553 249: Amen Mtumishi
[5/1, 22:43] 🙏🏽Holy 🙏🏽Spirit 🙏🏽Ministry 🙏🏽: *SOMO: AGANO LA UCHUMBA*
*Mwanzo: 2:24*
👆🏽👆🏽👆🏽👇🏽👇🏽👇🏽
KATIKA Uchumba Au Mtu anapoanzisha Uchumba Ili Uchumba wake uwe wa Kufikia Malengo Huwa Anatakiwa Bint Na Kijana watambue Kwanini wameanzisha Uchumba baina yake Na Mwandani wake Kisha waamue Kufata na Kuzingatia Maangano Au Kuwekeana Agano La Uchumba Ambalo huzingatia Mambo YAFATAYO 👇🏽👇🏽👇🏽
*KUNA AGANO LA UCHUMBA*
1: *KUTAMBULISHANA KWA MARAFIKI*
👂🏼👂🏼Hii itamfanya Mwenzi wako atambue Mengi Maana Pale Unapowaeleza marafiki na kuyaweka wazi Humfanya Yule umpendaye Atambue Popote Alipo rafiki yako wa Karibu ataweza kukujua kiundani na kupata Taarifa zako kwa uhakika katika Marafiki walio wa Karibu nawe Itatosha Kujenga Na kujuana uaminifu wenu
👆🏽👂🏼👆🏽👆🏽Pia Si Kila rafiki naye mzungumzia yule wa Karibu mnayeaminiana
_2: KUTAMBULISHANA KWA MCHUNGAJI_
👂🏼👂🏼👂🏼Hii Huwa inakufanya Upate Mtu wa kuombea Uchumba wenu na kuwashauri kiroho na kumuongoza kiroho ufikie Ndoa Uchumba usio na mlezi wa Kiroho Shetani kuuvamia ni Haraka sana
Unashauriwa uwe na Mlezi wako utakayemweleza na kushiriki kutoa Zaka Fungu la kumi Kukomboa na kuombea Ndoa Kufikia Hatua ya ndoa.
*3:KUTAMBULISHANA KWA Wazazi*
👂🏼👂🏼👂🏼👆🏽👆🏽Hii huwa hatua ya Mwisho ya kufikia Mkipata Baraka Wazazi wakawabariki Uchumba wenu unakuwa uchumba unaotambulika na wenye uhakika na Wewe Unafurahia Maisha ya Ndoa
Ukipita Mkato utaharibu mbeleni
HII NI AGANO LA UCHUMBA
Pastor Richard
KUTOKA Morogoro Veta DAKAWA
Maoni
Chapisha Maoni