SOMO :NJISI UKIMWI UNAVYOPONYWA NDANI YA Yesu
*SOMO, :KANISA NA UKIMWI*
YEREMIA 32:27
Zaburi,, 103:3-4
Ukimwi ni uharibifu wa kinga mwilini
Ni ugonjwa unaosababishwa na Virusi viitwavyo H. I. V human immunodeficiency virusi
UKIMWI "uligudulika rasimi mwaka,, 1980/1980
Huko marekani Florida San Francisco
Mwaka, 1983 uliingia Africa ya Kati mwaka 1986" uliingia Tanzania na mtu wa kwanza alipatikana kagera ugonjwa huu ulienea kwa kasi na kuua watu wengi
UGONJWA HUU mara ya kwanza kutokana na mafundisho ya wachungaji wengi waliwaaminisha wa kristo kuwa mtu aliyeokoka anaweza asipate h. I. V KITU AMBACHO KILIWANJENGEA WENGI KUAMINI KUWA ni Pepo wapo wengine walikufa kutokana na kukatazwa wasinywe dawa au kufata Ushauri wa madokta pasipo kuelewa Dhambi huzaa magonjwa na magonjwa huleta mauti
Na hii Husababishwa na dhambi ya uzinzi kwa Wanandoa au walio katika mahusiano Hali hii huwa dhambi ya kuitafuta mwenyewe na mtu huyu anaweza kusababisha hata mtoto kuzaliwa na tatizo hilo mtoto huwa Hana hatia kosa humrudia yule ambaye katika njia zake akitembea katika uzinzi
UGONJWA huu huambukizwa
1:Kushirikiana Tendo la ndoa mkawa na mchumbuko sehemu za siri na mdomoni
2:Vitu vya ncha kali
3:Damu iliyo na Virusi kuogezewa mzima
*4:Njia za ajali kajifungua nk
*
JE UKIMWI UNAPONA
Je inapona kwa Mungu jibu ndio inaisha nimeshuhudia wengi niliowaombea wengi wakaponywa
H. I. V ni nini?
Ni ukosefu wa kinga yenye kupambana na magonjwa mwilini mwako hizi huwa sell zilizopo kwenye damu zinazoshambulia Kila kinachoingia mwilini kiharibu afya yako huwa zinapokosekana magonjwa mtu humvaa kiurahisi
H.i.v haiuwi kabisa na huponywa kabisa isipo kuwa kama umeshajijengea wazo au hofu kuwa hili ni tatizo kumbwa kuponywa haliwezi Huwa kuponywa Hakuna kutokana na hofu na kupitia hofu hiyo huwa mtu inamua au anakufa kwa kupungukiwa cd4 hizi ni sell hai nyeupe zinzopambana na mwili wako usiugue isipokuwa hiv huwa ukisimama na Mungu inaisha Nimeshuhundia mabint wenye Imani kali pale Dar walifika wakiwa na tatizo hili wakaponywa kabisa Imani isiyo na mashaka Huondoa Tatizo
VITU VINAVYOKUFANYA UPONE HIV
, 1:Okoka na usimame hasa na Mungu
2:Anza kumtolea MUNGU fungu la kumi kujitoa kumtumikia na kuihubiri injili yake
3:"Acha uzinzi na starehe zote Simama Na Yesu
4:"Elimisha wa kristo wengine ukiwashuhudia mazara yake
5:"Rudi ukapime Baada ya kuwa Imani yako imemtengemea MUNGU usiache dawa Kabla ujaenda kupima ukakuta uko vizuri
6:""Ombea hizo dawa Kila utumiapo
7:Aliye na Imani ya uponyaji asiyetumia Asimame hasa na Awe wa kucheki afya mara kwa mara mpaka ajiridhishe Majibu Yako vizuri
Futa dhana ya kusema H. I. V haiponi inaisha ukiwa utasimama tu na Yesu ukatubu uovu wako
Hiv sio ugonjwa utakaozuia usiolewe au kuoa
Kuzaa kufanya kazi nk
Hiv huwa ipo ya kipepo na ugonjwa wa maambukizi
Kwa hiyo Futa zana ya Kuamini Kila kitu Pepo hapana lazima utambue hata kama umeokoka magonjwa au Matatizo yapo tu Lakini Huwa tunayashinda
Hiv huwa ni virusi vinavyokaa kwenye mshipa ya damu ile inayotoa na kuingiza kusambaza kwenye mwili hivi vijidudu huwa vinajishika kwenye kuta za mifupa kwa ndani kwa hiyo mtu anapopima akagudulika anahiv sio ndio kapata wakati huo mbali vilikuwa Bado tu havijaoneka kwenye mashine
Ukiwa Unamcheka au kumuona mwenye Hiv kama anatatizo tambua hata wewe Unaweza ukaja ukapata hivi ni vijidudu haviabukizwi kwa Tendo la ndoa pasipo na Sehemu za siri kama hamna mchumbuko.
Nimesema huwa vinakaa kwenye mishipa ya damu kwenye kuta za mwili Ikiwa bado havijaaza kuonekana
Kwahiyo huwa vinaambukizana kupitia damu inapogusana na damu yenye hiv
UKISIMAMA Na Mungu usiwe na hofu Tatizo huisha
Mimi nakutia Moyo mwenye Tatizo hili haliuwi kabisa kinachouwa ni Hofu ile ya kuwaza na kuliona kama Tatizo Kubwa haliwezekani kwa MUNGU
SHARE SOMO HILI LIFUNGUE WENGI
NAITWA PASTOR RICHARD MCH.KIOGOZI HOLY SPIRIT MINISTRY
NIPO VETA DAKAWA MOROGORO
Maoni
Chapisha Maoni